Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic

Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic

Ukiweka OD na upo speed above 60 utaona gari linakimbia utadhani halina engine.
mm sijaelewa maana ya Overdrive gear ni namba ngapi?
basi huko nyuma katika Mada nyingine tumedanganyana
 
Generally speaking, overdrive is the highest gear in the transmission. Overdrive allows the engine to operate at a lower RPM for a given road speed. This allows the vehicle to achieve better fuel efficiency, and often quieter operation on the highway.

When it is switched on, an automatic transmission can shift into overdrive mode after a certain speed is reached (usually 70+ km/h [40-45 mph or more] depending on the load). When it is off, the automatic transmission shifting is limited to the lower gears.

Overdrive should usually be selected when the average speed is above 70 km/h (40-45 mph)
Ukijichanganya ukaweka OD on wakati unatembea speed zaid ya 60km/hr maana yake unatumia gia no 1 na 2. Lazima wese lilike kwa sana. OD ni kama upo miji ya jams sana. Ila kama unatembea zaid ya km 60 toa od
 
huyo aliyesema ukivuka 80 kpm unatumia mafuta kidogo sidhani kama ni mkweli.unavyokanyaga zaidi ndo mafuta yanakwenda zaidi.theory hiyo inawork kama uko kwenye speed kubwa zaidi kama 140 kmp au zaidi au chini ya 80.otherwise overdrive ni kwenda gear number 5 na kwa mazingira ya day iweke off daima kwani wataalam wanasema kuiacha on saa zote ina damage engine kinamna achilia mbali suala la consumption kubwa
Wewe ndo hujui tulia
 
Gari ikiwa no 5 hutumia mafuta mengi sawa ila engine inazunguka kidogo na matair yanazunguka zaidi hivo mafuta huenda kidogo sana
 
Bado kuna mkanganyiko. Je pale kwenye Dashboard, Overdrive ikiwa 'ON', ni pale Dashboard inapowaka au inapokua imezima?
Overdrive ikiwa "OFF", ni pale Dashboard inapokua imezima au inapokua imewka?
Hii inachanganya sana, hasa kulinganisha matendo ya kubonyeza Nob yake pale kwenye gear rod!
 
Bado kuna mkanganyiko. Je pale kwenye Dashboard, Overdrive ikiwa 'ON', ni pale Dashboard inapowaka au inapokua imezima?
Overdrive ikiwa "OFF", ni pale Dashboard inapokua imezima au inapokua imewka?
Hii inachanganya sana, hasa kulinganisha matendo ya kubonyeza Nob yake pale kwenye gear rod!
Wewe ndiyo unajichanganya! OD ikiwa off ndiyo inawaka kwenye dashboard lakini ikiwa on inatoweka kwenye dashboard

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi kureply hii post kuhusu OD. Baada ya kuwa na project ya kubadilisha engine kwenye gari na kuweka engine tofauti na ile ilokuja na gari ndio nikapanua uelewa wangu kwenye overdrive.

OD ni highest gear. Kwaio kama gearbox yako ina gear nne za kuendesha, ile namba nne ndio over drive (ON). Kuna baadhi ya magari pale kwenye shifter utakuta P R N D 3 2 L.

Ukiweka kwenye 3 maana yake OD iko Off, ukiweka kwenye D manake OD ipo ON na gari inaweza kuchanga kutoka 3 kuingia gear ya 4. Gari zenye mfumo huo, huwa hazina button ya overdrive wala kwenye dashboard hakuna taa ya OD off.
 
Niliwahi kureply hii post kuhusu OD. Baada ya kuwa na project ya kubadilisha engine kwenye gari na kuweka engine tofauti na ile ilokuja na gari ndio nikapanua uelewa wangu kwenye overdrive. OD ni highest gear. Kwaio kama gearbox yako ina gear nne za kuendesha, ile namba nne ndio over drive (ON). Kuna baadhi ya magari pale kwenye shifter utakuta P R N D 3 2 L. Ukiweka kwenye 3 maana yake OD iko Off, ukiweka kwenye D manake OD ipo ON na gari inaweza kuchanga kutoka 3 kuingia gear ya 4. Gari zenye mfumo huo, huwa hazina button ya overdrive wala kwenye dashboard hakuna taa ya OD off.
Nilitegemea kwa kuandika hvyo ukiweka 3 ndio OD inakuwa ON.
 
Hapana,tembelea TAA IKIWA IMEZIMA,DASHBOARD ikiwa plain. Kadri ilivyo,taa yoyote kwenye Dashboard ni kuwa kuna matatizo(malfunctions) au kuna kitu Dereva umekiweka kwa sababu maalum. Kwa mfano,hiyo ikiwa inawaka,na kuna mtu unataka kumpita,iweke kwa haraka halafu kanyaga mafuta kwa kasi uone gari linavyopaa,ndani ya sekunde 10 tu utaweza kum overtake na kuweza kukaa sehem salama kuepuka kugongana uso kwa uso na gari la mbele yako maana kuna madereva huko barabarani(highway) wana roho za ajabu sana
Hapana sio kweli, inatakiwa kuwa inawaka maana inakwambia pale ukisoma ni OD/OFF sasa ukibonyeza ile batani maana ndio umeiwasha.

Na overdrive huwa inatumika kuanzia speed ya juu kutegemea na gari na gari na nguvu yake..... Kwa mfano vigari kama passo, vits, ist, porte, etc ukifika 40 km/h ni speed nzuri kuiwasha..... Na huwa kawaida ukishaiwasha inapendeza uwe katika highway yaani barabara ambayo iko plain na hakuna foleni ndipo utaenjoy kuitumia, kwa maana ukiiwasha katika barabara zenye foleni gari inakuwa nzito inapoanza kutembea na ikichanganya inafanya hali fulani kama mshituko kuondoka.....
 
Ukijichanganya ukaweka OD on wakati unatembea speed zaid ya 60km/hr maana yake unatumia gia no 1 na 2. Lazima wese lilike kwa sana. OD ni kama upo miji ya jams sana. Ila kama unatembea zaid ya km 60 toa od
Overdrive ni kwaajiri ya kuspeed na sio kutembea taratibu sasa why unasema hivyo.....
 
Asee hii kitu kwenye gari yangu huwa ina blink na kuikosesha mwendo gari..!
Msaada wowote wakuu.
 
mm sijaelewa maana ya Overdrive gear ni namba ngapi?
basi huko nyuma katika Mada nyingine tumedanganyana
Sio gear ni kama function ya gari ya kuongeza nguvu kwenye engine. Kama vile ukiwa unaangalia movie za Need for speed unaona kuna kitu wanaitwa Nitrous kina kama mtungi hivi ukiwashwa gari inaongeza nguvu basi na overdrive ni hivyo hivyo.....
 
Bado kuna mkanganyiko. Je pale kwenye Dashboard, Overdrive ikiwa 'ON', ni pale Dashboard inapowaka au inapokua imezima?
Overdrive ikiwa "OFF", ni pale Dashboard inapokua imezima au inapokua imewka?
Hii inachanganya sana, hasa kulinganisha matendo ya kubonyeza Nob yake pale kwenye gear rod!
Unapobonyeza button ya overdrive ile taa huwa inazima kuashiria umeiwasha but ukiizima ile taa huwa inabakia imewaka muda wote
 
Nilitegemea kwa kuandika hvyo ukiweka 3 ndio OD inakuwa ON.
Hamna, 3 ni OD off pamoja na 2 na 1/L ikiwa mfumo wa gearbox wako una gear 4. Overdrive ni the highest gear. Unapoweka D, manake unaweze kushift kutoka zile gear za chini 1-3 kwenda 4 ambayo ni ya mwisho, na unapoweka OFF manake haitoingia gear ya mwisho.
 
Sio gear ni kama function ya gari ya kuongeza nguvu kwenye engine. Kama vile ukiwa unaangalia movie za Need for speed unaona kuna kitu wanaitwa Nitrous kina kama mtungi hivi ukiwashwa gari inaongeza nguvu basi na overdrive ni hivyo hivyo.....
Overdrive ni gear mkuu. Na ni gear ya mwisho kwenye gearbox yako. nimetoa vimaelezo kidogo apo juu cheki
 
Overdrive ni gear mkuu. Na ni gear ya mwisho kwenye gearbox yako. nimetoa vimaelezo kidogo apo juu cheki
Boss gari lina gear 4,tena baada ya hapo kuna gear namba ngapi?!
 
Overdrive ni gear mkuu. Na ni gear ya mwisho kwenye gearbox yako. nimetoa vimaelezo kidogo apo juu cheki
Maana kama haujajua hata kwenye list ya gear pale huwa kuna ile gear inaandikwa nadhani ni D2 ambayo ukiweka mzunguko wa gari unaongezeka.... So hebu nipe ufafanuzi
 
Boss gari lina gear 4,tena baada ya hapo kuna gear namba ngapi?!
Kuna Gear 5, sita, nane zote zipo izo. Kwaio kama gari yao ina gear nne, ile gear ya nne huwa Overdrive ON. na unapoweka stick kwenye tatu ni sawa na kuwa umeweka OFF. Maanake yake, haitoingia gear ya mwisho. Kwenye gari za kawaida ambazo zina button ya OD, ukiweka D halafu ukaiweka ON manake sasa gari itatoka gear ya tatu kwenda ya nne.
 
Back
Top Bottom