Fahamu kuhusu msongo wa mawazo na visababishi vyake

Fahamu kuhusu msongo wa mawazo na visababishi vyake

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
G5TV3.png

Ripoti ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam kitengo cha Afya inaeleza kuwa, Msongo wa Mawazo ni mfadhaiko wa akili anaoupata mtu kutokana na shida, taabu, dhiki, matatizo au changamoto zinazomkabili katika maisha.

Ripoti inabainisha mgawanyiko wa sababu za Msongo wa Mawazo kuwa ni sababu za kibiologia na kisaikolojia. Sababu za kibiologia ni pamoja na mtu kurithi vinasaba kutoka kwa Mzazi na Magonjwa ya muda mrefu.

Sababu za kisaikolojia ni kama vile matukio yasiyofurahisha ikiwemo ubakaji, uvamizi, ajali, kufiwa, kutekwa nyara, kutoelewana na jamii pamoja na changamoto za kila siku kama Ugoni, Talaka, Mimba kuharibika, kufungwa au kukosa kazi pamoja na migogoro sehemu za kazi.
 
Chuo Kikuu cha Daslam ndio maana kinadharaulika sana. Utafiti gani sasa huo usiokuwa na suluhisho?

As in watu wafanye nini ili kuepuka au kupunguza huo msongo wa mawazo.
 
Case study ipi?
Mbona tafiti Kama hizi zipo kabla hata ya vita ya kwanza ya dunia
Naona tu wamefasiri wikipedia
 
utafiti unafany kwa kusoma makala na hata makala ya zamani imeandikwa vizuri🤣 chuo kikuu cha wap?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom