Fahamu kuhusu muigizaji N!xau maarufu kama Bushman

Fahamu kuhusu muigizaji N!xau maarufu kama Bushman

Jina lake halisi anaitwa N!xau. Inakadiriwa alizaliwa kati ya mwaka 194 au 1944, kwani yeye binafsi hakuwa akijua umri wake. Alikuwa ni mzaliwa w nchini Namibia kijiji cha Tsumkwekatika jangwa la Kalahari.

Hakuwahi kujifunza sanaa ya uigizaji hapo kabla, kwa sababu huyu alikuwa ni mtu pori halisi [yaani kama vile anavyoishi kwenye mu zake basi huo ndio uhalisia wa maisha yake aliyokuwa akiishi hapo kabla] hivy katika maisha ya porini na Jangwani hakukuwa na sanaa ya maigizo. Ila wazungu walimtafuta mtu ambaye alikuwa ni bushman halisi ili wamuwek kwenye muvi zao ndipo wakakutana na huyu bwana.

Hivyo alianza maisha yake mapya ya ucheza filamu mwaka 1980 -1994. Zifuatazo ni filamu maarufu zaidi alizopata kucheza na zikaja kuwa kubw Zaidi ulimwenguni kote hata kufanikiwa kujishindia TUZO mbalimbali: "The God Must Be Crazy II, Crazy Safari, Crazy Hong Kong na The Gods Must Be Funn in China".

Katika movie yake ya kwanza ambayo ni "The Gods Must Be Crazy "alilipwa dollars 300 tu za kimarekani, ambazo kiuhalisia ni kiasi kidogo mno cha pesa, lakini hela hizo zote alizichan sababu hakuwa akijua matumizi ya hela kwa sababu hapo awali hakuwa kutumi hela. Ila baadae baadae alifundishwa umuhimu wa hela, hivyo katika filamu zilizofuata akaanza kudai malipo tena makubwa kweli kweli.

Pia kabla ya kucheza filamu yake ya kwanza alikuwa bado hajawahi kuwaona Wazungu machoni pake, tena hakuwa amewahi kufika mjini. Baada ya kumaliza maisha yake ya uigizaji huko ughaibuni ndipo aliporudi nchini kwao Namibia, ndipo alipoanza maisha mapya alijenga nyumba nzuri ya kifahari kisha akaanza kujihusisha kwa shughuli za kilimo na ufugaji, ambapo katika mifugo aliyokuw akifuga haikuzidi idadi ya 20, na hiyo ni kwa sababu hakuwa akiweza kuhesabu zaidi ya 20.

Lakini bado hakuacha tamaduni yao ya Uwindaji hivyo aliendelea kuwa hivyo licha ya utajiri aliokuwa nao. Nchini kwao Namibia anaheshimika mno kuwa ndiye Msanii mkubwa na mtu maarufu zaidi kuwahi kutokea nchini mwao.
 
7155cbe92245ec6528d18bb8df0f6ad1.jpg
nixau.jpg
the-gods-must-be-crazy-07.jpg
 
Aiseee huyu jamaa nlikua nataman sana kumjua yn...ahsanteni waungwana
 
Salute Comrades..
Habari wana JF intelligence, leo tuko pamoja tena. Nakusogea kisa cha mwigizaji wa filamu ya Gods must be crazy..

Anaitwa N!xau Toma (sinus inavyotamkwa, we tamka Nishau). Alisha ni mkulima kazaliwa tarehe 16 Dec 1944 nchini Namibia, alikua mkulima tu huko maporini. Inasemekana Kabla ya kuanza kuigiza muvi za Gods must be crazy alikua kaona Wazungu watatu tu!. Alikua anaongea lugha kadhaa kama Afrikaans, Twasna etc.
Inasemekana pia alikua hajui umri
N!xau_2003.jpg
wake


Inasemekana alitoka kwenye jamii ambayo haijui thamani ya fedha za makalatasi (Noti) Waweza sema walikua bado Jamii yao ilikua inaishi maisha ya ujima huwezi amini japo filamu alizocheza za god must be crazy ziliingiza mamiloni ya dollar ila yeye alilipwa $3000 tu (Dollar elfu tatu tu)
Pesa hiyo aliitumia kujenga nyumba ya Maldonado ya kuchomwa
The Gods Must Be Crazy - Wikipedia
 
Si alisha faliki huyu jamaa?! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
kumne alizipokea? nlijua walizikataa kwani hawakujua kazi yake
 
Si alisha faliki huyu jamaa?! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna wacheza movi za bongo tena mastar hawajawahi kushika dola 3000 kuptia usanii wao labda wadange au wauze mdwa.
kumne alizipokea? nlijua walizikataa kwani hawakujua kazi yake
Inaendelea..
Kafariki mwaka 2003 alizikwa pembeni ya kaburi la make wake was pili. Wale watoto wawili hawafahamiki walipo wala familia zao hazijulikani. Hakuna picha zao tufauti Na zile walizopiga wakiwa wanaigiza
 
Back
Top Bottom