Fahamu Kuhusu Outsourcing and Managed Ventures

Fahamu Kuhusu Outsourcing and Managed Ventures

Masokotz

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
3,713
Reaction score
6,121
Habari za wakati huu;

Ni matumaini yangu kwamba unaendelea salama na Shughuli za Ujenzi wa Taifa.

Leo nimeona nilete mjadala mdogo kwa ajili ya wale ambao wanatamani kuazisha biashara ila hawajui ni aina gani ya biashara waanzishe na watumie mfumo gani wa kuianzisha na kuiendesha.Mada ya leo inahusu Mfumo wa Usimamizi na Uendeshaji wa Biasahara ambao Unaitwa Outsourcing au Managed Ventures.

Outsourcing ni nini?Hiki ni kitendo cha kampuni au biashara kuingia makubaliano maalum na kampuni au kwa ajili ya kutoa huduma kadhaa kwa niaba ya kampuni au biashara yake.Makampuni mengi sana duniani yanatumia Mfumo huu hasa katika maeneo ya Information Technology,Customer Service,Marketing,Research and Development,Marketing etc.Kampuni Nyingine zimeenda Mbali kwa kufanya Full Operations Outsourcing au kwa jina lingine Managed Ventures

Full Operation Outsourcing(FOO) ni kitendo cha kampuni kuamua kuingia mkataba na kampuni nyingine ili kutoa huduma zake zote huku yenyewe ikisimamia Usimamizi wa ngazi za Juu yaani Top Management Pekee ambayo inaweza kuwa ni Kurugenzi tu (Board)

Kwa hapa Tanzania Huduma hizi zimekuwepo kwa muda ila kwa sasa kutokana na maendeleo ya teham Uwezekano umezidi kuongezeka wa Kuwa na Aina tofauti na Ya kipekee ya Usimamizi wa Outsourcing.

Karibu tujadili zaidi kuhusu Outsourcing na namna ambavyo inaweza kusaidia katika kuboresha huduma zinazotolewa
Je ungependa kuanzisha kampuni katika mfumo huu wa Outsourcing?Je ungependa kufanya Outsourcing ya Baadhi ya huduma katika kampuni yako?
 
Habari za wakati huu;

Ni matumaini yangu kwamba unaendelea salama na Shughuli za Ujenzi wa Taifa.

Leo nimeona nilete mjadala mdogo kwa ajili ya wale ambao wanatamani kuazisha biashara ila hawajui ni aina gani ya biashara waanzishe na watumie mfumo gani wa kuianzisha na kuiendesha.Mada ya leo inahusu Mfumo wa Usimamizi na Uendeshaji wa Biasahara ambao Unaitwa Outsourcing au Managed Ventures.

Outsourcing ni nini?Hiki ni kitendo cha kampuni au biashara kuingia makubaliano maalum na kampuni au kwa ajili ya kutoa huduma kadhaa kwa niaba ya kampuni au biashara yake.Makampuni mengi sana duniani yanatumia Mfumo huu hasa katika maeneo ya Information Technology,Customer Service,Marketing,Research and Development,Marketing etc.Kampuni Nyingine zimeenda Mbali kwa kufanya Full Operations Outsourcing au kwa jina lingine Managed Ventures

Full Operation Outsourcing(FOO) ni kitendo cha kampuni kuamua kuingia mkataba na kampuni nyingine ili kutoa huduma zake zote huku yenyewe ikisimamia Usimamizi wa ngazi za Juu yaani Top Management Pekee ambayo inaweza kuwa ni Kurugenzi tu (Board)

Kwa hapa Tanzania Huduma hizi zimekuwepo kwa muda ila kwa sasa kutokana na maendeleo ya teham Uwezekano umezidi kuongezeka wa Kuwa na Aina tofauti na Ya kipekee ya Usimamizi wa Outsourcing.

Karibu tujadili zaidi kuhusu Outsourcing na namna ambavyo inaweza kusaidia katika kuboresha huduma zinazotolewa
Je ungependa kuanzisha kampuni katika mfumo huu wa Outsourcing?Je ungependa kufanya Outsourcing ya Baadhi ya huduma katika kampuni yako?
Yap ni nzur sana hasa ambao wanapenda kufanya biashara za technology inafaa zaidi na inapuguza gharama
 
Duh hiyo FOO inakiwaje?
Yan operation nzima unaachia watu wengine au Kila department una outsource kwa watu tofauti. Ebu fafanua vizuri mkuu Yani ukiachia wengine Kila kitu wewe utajiaje mwenendo wa kampuni yako?
 
Duh hiyo FOO inakiwaje?
Yan operation nzima unaachia watu wengine au Kila department una outsource kwa watu tofauti. Ebu fafanua vizuri mkuu Yani ukiachia wengine Kila kitu wewe utajiaje mwenendo wa kampuni yako?
Mkuu,Imagine.Unakuwa na Kampuni yako ambayo.Product Development,Marketing,Recruitment,Sales etc.Inafanywa na Outsource.Wewe Kazi yako na Kuangalia Salio Benki,Kusign Cheque za malipo na Kutambulika kama Mmiliki Wa Biashara.Utakataa?Hio Ndio inaitwa FOO
 
Mkuu,Imagine.Unakuwa na Kampuni yako ambayo.Product Development,Marketing,Recruitment,Sales etc.Inafanywa na Outsource.Wewe Kazi yako na Kuangalia Salio Benki,Kusign Cheque za malipo na Kutambulika kama Mmiliki Wa Biashara.Utakataa?Hio Ndio inaitwa FOO
Sorry nmechelewa kujibu lkn unaweza kuoutsource kwa campuni moja ikufanyie kila kitu au izo department unaoutsource kwa campuni tofauti tofauti?
Mfano marketing unaoutsource kwa campuni A, HR kwa campuni B, product development kwa campuni C, wewe unabaki na management tu au management nayo unaoutsource kwa campuni D. Sa wewe utakuwa unafanya nini utajuaje mwenendo wa campuni yako? Hata wakikuipia mfano wakiamua kushirikiana na afui zako kufanya hostile takeover utaweza kupambana nao tena?coz watakua wanaijua kampuni kuliko wewe
 
Back
Top Bottom