Mashine yenye Reduction hub fujo zake ni balaa hasa inapokutana na mazingira magumu kama milima huwa naikubali vby mno.G series always mkuu
G stands for general condition, yani gari iliyoundwa ili ipite mazingira yote off road na on road , zamani zilikuwa zinakuwa na double chassis , hiz series 5 zonakuja na single but very robust chassis, zinakuja na diff ratio ya 3.08 as standard japo ukibahatisha pia unaeza kuipata yenye reduction hub high speed speced...
Hivi mkuu kati ya Tag axle na Mid lift hasa kwa mazingira yetu haya ipi tractor nzuri hapo?G series always mkuu
G stands for general condition, yani gari iliyoundwa ili ipite mazingira yote off road na on road , zamani zilikuwa zinakuwa na double chassis , hiz series 5 zonakuja na single but very robust chassis, zinakuja na diff ratio ya 3.08 as standard japo ukibahatisha pia unaeza kuipata yenye reduction hub high speed speced..
Tag axle all the way!!! Kiufupi tag axle ni kama cheapest and lightest version ya 6x4,Hivi mkuu kati ya Tag axle na Mid lift hasa kwa mazingira yetu haya ipi tractor nzuri hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Scania ndio mume wa hao wote. Nilithibitisha kwa safari ya Mbeya hivi karibuni. Basi la Sauli ni Scania saa moja nimefika Mbeya kawapita wote, la pili Alysaid nayo Sacania na tatu nia Imani ambalo ni Higer. Narudi Bongo tena Sauli katufikisha saa moja na dakika 15, ikafuata Imani na baadae Alysaid. Hizo za kichina nasikia ziliingia saa nne.
Kwan deer yeye havunji ??Wakina Mwanyilu wanakata nyanya saiz nyumbani Sauli bila kuvunja sheria km 100+ kph hawez kua mbele ya Deer
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sauli na Golden Deer hawa wanakimbizana hawapeani nafasi ya kupumua.Kwan deer yeye havunji ??
mkeka wa mwez huu..
Mkuu actross ni bora sababu nyingi zinakuja kwetu zikiwa immaculate condition, ni wachache pia wanaweza kununua sababu mtumba wake unakuwa ghali, R series huwa tunaona mbovu kwetu sababu nyingi zinakuwa zimwtumika sana ulaya, trust me nyingi zinakuwa over million, ndipo first owner anaamua kuuza,
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa chage boyBila shaka hiyo ni kangi lugola....sasa waulize hao alieko mbele ni nani..unasema sa saba na nusu wakat allys DQZ inapitaga hapo sa sita na nusu😊😊
Mie nadhani udereva pia hii some time huwa inaingia saatano mwanza.
Tumetoka Ubungo saa 12 asubui Sauli nikaiona Shekilango ktk ule mzunguko wa sheli ya Total....nikaja iona tena Mbezi foleni asubui....nafika Morogoro nailizia wauza korosho wananiambia itakuwa inaitafuta iringa hapo ni kama saa tano tano hivi aiseeee kama ni kweli ile gari achana nayo...............Scania ndio mume wa hao wote. Nilithibitisha kwa safari ya Mbeya hivi karibuni. Basi la Sauli ni Scania saa moja nimefika Mbeya kawapita wote, la pili Alysaid nayo Sacania na tatu nia Imani ambalo ni Higer. Narudi Bongo tena Sauli katufikisha saa moja na dakika 15, ikafuata Imani na baadae Alysaid. Hizo za kichina nasikia ziliingia saa nne.
nilitaka kumpandisha mtu Sauli ela ikapungua akapanda New force.........ameingia mbeya saaa 2 wakati Sauli imeshaingia saa moja....inawezekan baadhi ya siku hiyo gari anayosema ilnawai ila kwa Sauli huo ndo muda wake....Hahahaha, hizo zingine sizijui na siandiki uongo naindika muda niliofika na tulizoongozana nazo. Zaidi ya hizo tatu zijui zingine ilikuwa mara ya kwanza kufika Mbeya
Tulikuwa tunagundua ugali hahaaaaaIla jamani wazungu tuwashemu sana,yani mwaka 1758 hii kampuni ya magari aina ya MAN ndio ilianzishwa,sisi huku Afrika sijiu tulikuwa tunafanya nn kipindi hicho
Upo sahihi Mkuu na bei pia za Nissan Diesel sio ndogo ndio maana watu wanakimbilia Scania yaani ukikuta Scania ya mwaka mmoja na Nissan Diesel hiyo diesel inakua bei juu kidogo huko kwa wauzaji hata Kama hujui kitu utaona hapo kuna tofauti..Pamoja na kwamba scania inadumu zaid ya basi za kichina lakin umetia chumvi
Gari za kichina zinadumu sana tu kama zikipewa service ya kueleweka, cummins kiasili sio technology ya mchina, ile ni mmarekan pure.
Hizi story za kuona scania ndo gari ngumu barabaran ni za kizaman, magari mengi yanayovuka boda kwenda lubumbashi na zimbabwe ni NISSAN DIESEL na MAN, hayo madude ni roho ya paka zaid ya scania
Sent using Jamii Forums mobile app
Faza Huyo sauli akapambane na Jeshi la Mtu Mmoja ivi KANGI LUGOLA - COVID 19 Dar to Kahama atafurahia hiyo mashine Zhongtong Bus Chuma la Masaa KISBO SAFARIScania ndio mume wa hao wote. Nilithibitisha kwa safari ya Mbeya hivi karibuni. Basi la Sauli ni Scania saa moja nimefika Mbeya kawapita wote, la pili Alysaid nayo Sacania na tatu nia Imani ambalo ni Higer. Narudi Bongo tena Sauli katufikisha saa moja na dakika 15, ikafuata Imani na baadae Alysaid. Hizo za kichina nasikia ziliingia saa nne.
Kinauzwa sana kwa sababu ni bei ndogo,na watu hawamudu bei ya hivyo vingine kwa sababu ni ghali.Mjinga mama yako, determining factors za mauzo ni nn?
Ukiona kitu kinauzwa sana jua ni bora pumbaf
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna yale ma-INTERNATIONAL sijui mmarekani yule exhaust mbili huku na huku zinatema juu angani ni noma balaa. Dude lina tani 70 na linatembea kama teksi! Ule ni zaidi ya Scania na Volvo.Mkuu scania itabaki kuwa juu siku zote upende usipende, sio kwa zamani tuu hadi sasa, in fact anything Swedish bado ni superior product.
FYI mwaka 1969 scania ndio ilikuwa the most powerful truck in Europe @350hp. Scania (140), miaka ya 90, Scania ndio ilikuwa truck ya kwanza kuvuka 500hp barier scania (143 500),na hadi sasa ninavoandika the most powerful lorry ni Volvo fh750 ikifatiwa na scania s730( both Swedish)
American diesel engines (cummins, Detroit na caterpillar) zinabebwa tu na Jina kubwa la USA, lakini hazijawahi kuwa mahiri barabarani na kiufanisi kiu jumla ndo mana hata hizo basi cummins mchina bado zinasumbiua.
Sent using Jamii Forums mobile app