Platinum Consultancy
Member
- Jul 3, 2016
- 19
- 13
- Thread starter
- #21
Nahitaji business plan ina cost tshs ngapi?
Habari mdau.
Kwa "percentage wisely" tunatoza 0.5 ya value ya mradi (hapa ni kwa miradi ambayo thamani yake ni zaidi ya Mil 100) , kwa "flat rate" tunatoza 200,000 mpaka 300,000 (hapa ni kwa miradi ambayo thamani yake ni pungufu ya mil 100)
"But.....there is a room for bargaining"
Kwa maelezo zaidi tutafute kwa namba zetu hapo juu.
Karibu sana mdau