Fahamu kuhusu VPN

Je,nikitumia VPN kuna bando la ziada huwa linaliwa?
Ujinga gani sijui ulinifanya niache kutumka ila kiukweli VPN ni best maana mimj nilikuwa natumia Internet sema kwa kulipia Mwezi tsh 5000 ipo vizuri sana ila Hizo za Burw ndo chqngamoto.
 
Wakuu kwa walio jaribu vpn kwa sim zao ikakubali wanielekeze na mimi maana kwangu inagoma
 
Mtandao wako upo chini sana. Jaribu kuzima simu na kuwasha then connect tena.

Ikigoma omba msaada watu wengine wakupe VPN zao.

Pole sana.
najaribu tena Mkuu lkn hawa watu waliominya Internet sio wazuri
mnaopata / kutumia VPN tuarifuni huko Duniani hasa Pemba na Unguja kunaendeleaje
naona maandalizi ya kuapishwa mtu kesho yanaendelea
Labda watatufungulia Internet
 
Kwanini nikiconnect baada ya dakika 10 inadisconnect! Nimetumia UFO VPN,TURBO na STAR VPN zote zinazingua.Nifanyaje ili niwe permanently connected to the VPN!
 
Kwenye namba tatu apo je, niko bongo kwa vpn na nimepata punguzo nanina kiu niipatw bidhaa nifanye kitu gani ili niweze kuipata
 
Swali l pili kile kipengele cha vpn kwenye simu yetu hakina uwezo wa kutumika mpka tutumie vpn za kudownload akati kwa simu iko ki neno kipo? Kama ni ndio je tunafuata hatua zipi kuseti vpn apo , kama sio je nn kazi ya hio feature kwa vpn
 
Safi sana mkuu.
 
Vp kuhusu zile built in VPN kwenye simu km za Samsung? Kwangu naiona ila sijui namna ya kuitumia maana ni manual VPN.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…