Ndama Matandiko
Member
- Jun 24, 2024
- 34
- 50
- Thread starter
- #21
Karibu kwenye uwanja wa majadilianoNaifuatilia hii mada.
Sawa nduguNataka kujua garama ya kituo cha kuuza mafuta ya taa kiwe na pampu 8
kwanza kabsa kabla hujapata hasala unapaswa kujua mafta ya taa Kwa Sasa hayana soko Tena.
Kwa hiyo usipoteze Fedha zako kwenye mafta ya Taa.
Kama unataka kujenga Petrol station Dili na Diesel na Petrol pekee hapo tutapiga pesa .
Na Kwa udadis mzur pita vituo vya mafuta 3 tu uliza kama wanamafta ya taa Kisha utaona jibu langu lipo je.