Fahamu kwa kina ujenzi wa kituo cha mafuta kutokana na ukubwa wa eneo pamoja na gharama zake

Fahamu kwa kina ujenzi wa kituo cha mafuta kutokana na ukubwa wa eneo pamoja na gharama zake

Joined
Jun 24, 2024
Posts
34
Reaction score
50
Mwana JF Leo nipo hapa kukuoneaha (kukuambia) umuhimu wa kuweka Beam chin kabla kuzika Tank la mafuta.

Ukiweka bim inakusaidia Kwa 90% kuwa na uhakika wa Tank lako kutokupanda juu au kuibuka.
Hakikisha unaweka bm yenye chuma za kuanzia mm16 mpaka mm25 kulingana na ukubwa wa Tank

Kunja huk za kufungia Chen ya kufunga Tank ukishalishusha shimon.

Kumekuwa na watu wengi wanaingia gharama na kulalamika kuwa Tank umeibuka au imecheza Kwa asilimia kubwa mpaka inapelekea vipimo kupoteza uhakika na kuhis Kuna hasara stick haisomi vizur na inapelekea kufnya vipimo kabla ya wakat wake.

Sasa mkuu ukiwa na kituo Cha mafuta unalekebisha au kujenga zibiti hizi hasara Kwa kuweka vitu hivi Ili uwe na uhakika zaidi wa jambo lako Kwan KITUO CHA MAFUTA ni KISIMA CHENYEWE CHENYE KUTUNZIA MAFUTA kabla ya kumuuzia mteja wako.

Namanisha Tank ndio kituo chako Kwa asilimia kadhaa.
IMG_20240728_182617_528.jpg
 
Last edited:
Mkuu mbona ume andika kuhusu beam pekee ?
-Ukubwa wa eneo zima la petrol station unatakiwa uwaje?
- Masharti na taratibu mahali pa kujengwa petrol station?
Kuna mambo mengi hadi kufikia eneo kuitwa
Kituo cha mafuta hujatuambia mkuu
 
Tofauti ya filling station na Service station ni ipi mkuu? Je hivyo viwili vinahitaji eneo la ukubwa Gani? Je kujenga ile canopy ya filling vs station gharama zikoje?

Je kufanya franchise na kujenga mwenyewe ipi Bora na kwa nini?

Changamoto kuanzisha hiyo biashara ni vibali? Mtaji? Au gharama za uendeshaji?
 
Mkuu mbona ume andika kuhusu beam pekee ?
-Ukubwa wa eneo zima la petrol station unatakiwa uwaje?
- Masharti na taratibu mahali pa kujengwa petrol station?
Kuna mambo mengi hadi kufikia eneo kuitwa
Kituo cha mafuta hujatuambia mkuu
Ni kweli mkuu Eneo la
petrol station ⛽
Kwa sasa naona hakuna mashariti makubwa sana kama zamani kwanza kuhusu ukubwa wa eneo ni vile utakavyo wewe Kuna vituo vina Eneo la canopy Sehem ya kuzika mataki na Sehem ndogo ya kuegesha gari chache tu.
Na zinafanya biashara vizuri tu.
Na hizi petrol station za namna hii mara nyingi zipo miji mikubwa Kwa wingi.
Na hii hutokana na upatikanaji wa eneo kuwa Bei ghari sana na kuwa na shughuri za kibinadam nyingi hususan makaz ya watu pia.
// Ikiwa unataka kukijenga kituo chako Eneo lenye makazi ya watu taratibu ni Kwamba.
// Kwanza kabsa Unatakiwa kulibadilishia matumizi Eneo lako kutoka eneo la makaz mpaka kuwa eneo la biashara
// Chukua vibari kutoka NEMK na vibari vyote vya ujenzi Ili mradi wako uwe salama wakati wa ujenzi
// uongozi sehemu husika ushirikishwe ufaham uwepo wa mradi wako.
// Wakazi wa eneo husika wafahamishwe Ili wafahamu nini kinafanyika hapo kama Kuna mwenye pingamizi aseme.
Na aseme Kwa nini anaweke pingamizi?
Lakini hii huwa sio nshu sana hayo yote huishia (...) tu.
Kwa maelezo zaidi mkuu karibu unaweza kupiga simu 0719639433
 
Tofauti ya filling station na Service station ni ipi mkuu? Je hivyo viwili vinahitaji eneo la ukubwa Gani? Je kujenga ile canopy ya filling vs station gharama zikoje?

Je kufanya franchise na kujenga mwenyewe ipi Bora na kwa nini?

Changamoto kuanzisha hiyo biashara ni vibali? Mtaji? Au gharama za uendeshaji?
Mkuu swali lako namba
(1) hapo Kuna KITUO CHA HUDUMA
Na KITUO CHA KUJAZA.
Lakin Lengo la biashara ni kuuza mafuta mkuu.
Kuhusu ukubwa wa Eneo ni wewe na nguvu Yako ya kulipata Eneo namanisha kulimudu gharama za kulinunua na gharama za ujenzi
(2) Gharama ya Ujenze wa canopy hutegemeana na canopy yenye unataka ya ukubwa gan na iwe yenye muonekano upi.
(3) Kuhusu kujenga ukitaka kuepuka gharama kubwa zaid Jenga mwenyewe Ili utumie gharama ndogo Cha msingi uwe na wataramu tu wa ujenzi wa vituo vya mafuta.
(4)Shida kubwa hapa huwa ni mtaji wakati wa ujenzi ila ukishaweza kumudu gharama za ujenzi na ukakamilisha ujenzi vizur na hata ukiwa hujakamilisha ujenzi Cha kuzingatia hapo uwe na eneo zuri unaweza kuingia mkataba wa kutumia Bland ya company kubwa kama vile
Oryx, oilcom, Puma n.k
Ili kurahisisha baadhi mambo kuwa mepes
/// Na Ikiwa umejenga kituo chako vizur Kwa kufuata taratibu zote wanazotaka EURA hapo hakuna changamoto kubwa kwenye vibari mkuu.
 
Back
Top Bottom