Fahamu kwa kina ujenzi wa kituo cha mafuta kutokana na ukubwa wa eneo pamoja na gharama zake

Fahamu kwa kina ujenzi wa kituo cha mafuta kutokana na ukubwa wa eneo pamoja na gharama zake

Joined
Jun 24, 2024
Posts
34
Reaction score
50
Ndugu mwana JF,

Napenda kuzidi kuwakumbusha kuhusu biashara ya mafuta saivi ndio biashara inayoshika hatamu Kwa Kasi sana.

Biashara ambayo inakupa faida Kwa haraka bila mawazo kwani biashara hii ni nzur sana.

Unaweza wekeza kituo 1 Cha mafuta ndani ya mwaka 1 ukawa na uwezo wa kujenga kituo kingine kizuri na Bora zaid bira kuwa na wasiwasi.

Na pesa ya kuendesha mradi wako ikawa ni sehemu tu ndogo ya faida Yako katika kituo chako Cha mafuta (shell).

Changamka Mwana JF mafanikio Yako makubwa yapo mkononi mwako na Ili uweze kufikia mafanikio zaidi lazima ukubali kujitoa Ili kufika pahara pazuri zaidi.

Pesa Yako Sasa sio wakati wa kuiweka Bank na kukaa tu muda ni Sasa wa kuizalisha Ili iongezeke mara dufu.

KARIBU NIKUFANYIE KAZI YENYE UBORA KATIKA KITUO CHAKO.
UKIHITAJI USHAURI
USHAURI NI BURE KABISA BILA MALIPO YEYOTE

IMG_20240818_183023_185.jpg
IMG_20240818_125624_173.jpg
IMG_20240716_185049_393.jpg
 
Mkuu vipi wewe tayari una kituo cha mafuta?

kazi kwelikweli/jobtruetrue


#ponda mali kufa kwaja
 
Mbali na Eneo la Kuweka Kituo,gharama gani nyingine zinahitajika kuanza hii biashara?Mtaji Fedha kama Milioni au bilioni ngapi?
Kuna Eneo lipo barabarani naliwazia Matumizi.
 
Mkuu vipi wewe tayari una kituo cha mafuta?

kazi kwelikweli/jobtruetrue


#ponda mali kufa kwaja
Mkuu upande wangu Sina Kwa sasa natoa huduma ya ujenzi Kwa watu wenye mitajikwa
Mbali na Eneo la Kuweka Kituo,gharama gani nyingine zinahitajika kuanza hii biashara?Mtaji Fedha kama Milioni au bilioni ngapi?
Kuna Eneo lipo barabarani naliwazia Matumizi.
Gharama zinazohitajika ni Fedha ya ujenzi wa Kituo namanisha gharama za vifaa vya ujenzi kulipa mafundi kama utahitaji mradi wako uuendeshe mwenyewe na wataalam wako katka ujenzi.
Nyingine ni ununuzi wa pump za mafuta ambazo ndio gharama kidogo imechangamka ukitaka nzur ni milion 16-20
Hapo ni mahitaji Yako mkuu.
Vibari sio nshu sana gharama yake ni ndogo.
Kiufup unaweza kuwa na mtaji usiopungua milion 350 na ukawa umekamilisha mambo yote kulingana na eneo lako
Pia ninaweza kusema hii huwa ni ngum Kwa makadilio kutokana na eneo ulilonalo mpaka kuliona.
Kingine pia kama hutaki mambo yawe mengi anza ujenzi Kisha ingia ubia na makampun makubwa Ili iwe rahis katika biashara Yako.
Kwa ushauli mzuri nikifka katika eneo lako tuweza shauliana mambo mazuri zaid.
Karibu sana mkuu
 
Back
Top Bottom