Edychristian
New Member
- Sep 14, 2021
- 2
- 1
Watu wengi hawafahamu Ugonjwa wa Homa ya Ini maarufu kama HEPATITIS B ugonjwa huu unasababishwa na kirusi anaeitwa hepatitis B virus ugonjwa huu unawezamuingia mtu mwilini kwa njia ya majimaji yatokanayo mwilini kwa mtu alie athirika na ugonjwa huu
Umoja wa mataifa wamesema Ugonjwa huu unaua mtu mmoja kila baada ya sekunde 30 ni hatari mnoo.
Ugonjwa ukiingia mwilini una unaenda moja kwa moja kwenye ini na kuanza kulishambulia Ini hvyo basi kusababisha Ini kufeli na kuoza hivyo unapelekea Ini kiushindwa kufanya kazi zake na njia pekee ya mtu kupona ni kupandikiziwa Ini
(picha na google picha)
UTAJUAJE MTU ANASHIDA YA INI?
1.Kubadilika Rangi kwa mtu kuwa wa Njano kwenye macho
2.Tumboo kuvimba au kuwa kubwa
3.Miguu kujaa
4.Homa
5.kuharisha
TOA MAONI YAKO ,PLEASE VOTE FOR ME
Umoja wa mataifa wamesema Ugonjwa huu unaua mtu mmoja kila baada ya sekunde 30 ni hatari mnoo.
Ugonjwa ukiingia mwilini una unaenda moja kwa moja kwenye ini na kuanza kulishambulia Ini hvyo basi kusababisha Ini kufeli na kuoza hivyo unapelekea Ini kiushindwa kufanya kazi zake na njia pekee ya mtu kupona ni kupandikiziwa Ini
(picha na google picha)
UTAJUAJE MTU ANASHIDA YA INI?
1.Kubadilika Rangi kwa mtu kuwa wa Njano kwenye macho
2.Tumboo kuvimba au kuwa kubwa
3.Miguu kujaa
4.Homa
5.kuharisha
TOA MAONI YAKO ,PLEASE VOTE FOR ME