Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Mna ujinga mwingiWatanzania wengi wana shida ya akili, especially watumiaji wa Iphone, akili zao ni fupi fupi na ni wajinga vibaya mno.
Sio wote.. baadhi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mna ujinga mwingiWatanzania wengi wana shida ya akili, especially watumiaji wa Iphone, akili zao ni fupi fupi na ni wajinga vibaya mno.
Sio wote.. baadhi.
Watu wako kama hawana akili timamu 🤣🤣Hakuna reasearch imefanyika ikaonyesha kuwa watumiaj wa iphone hawana akili.
Iphone ni brand ya simu ya brand zingine, kila mtu ana nunua anachokipenda
Sion reasons ya kumchukia mtu anae amua kuchukua iphone
14 pro max na 15 pro max ku hack ni ngumu sana kiufupi tu ili uweze kuhack inabidi ununue software / code za ma million usd so sio rahisi hivi ndugu ila hizi x / xr / 11 zote zinawezekana
Watu wako kama hawana akili timamu [emoji1787][emoji1787]
Huyo jamaa ndo wale kula pilau mpaka sikukuu.
😂😂Iphone x maybe but si 11
Uzuri zote zinatumia ios, kwa wale wenye ku update currently iko ios 17.1
So tell me how to hack ios 17.1 on iphone 11 and xr?
Ukiwauliza kwanini wanapiga mdomoHatari sana kukosa hela kusitufanye tukachukia tunda la Steve Jobs
Nikiki 😂 mbayaaaMwaka wa 800 huu, android tuna hii kitu 😂View attachment 2819415
Tulia hapo hapo na apple lako la 2023 lenye ladha ya 1800 😂Nikiki 😂 mbayaaa
Sitoichukua wallah
Naikubali iliyopo
amka upesi acha kujitoa ufahamuNaona nimewakera watu wa Android [emoji1787] pixel anafanya poa lakini bado hamfikii iPhone kwenye photo
Mjomba umenena vyema. Nimetafuta hizi nyuzi kwa sababu leo nahamia iphone rasmi baada ya kuchoka na androidKiufupi iphone ni simu zuri pia hizo nyingine nizuri pia kingine kila mtu atumie uwezo wake utakuta mtu ana pixel 3a anamponda mtu wa iphone 14 pro max eti pixel inapicha kali ipo vizuri iphone ni simu zakike sijui wanaopenda kutumia iphone wanafake mara hazikai na chaji ivi unajua sasahivi iphone inakaa na chaji kuliko flagship yoyote maisha acheni wivu tafuteni pesa ili nanyie mtumie ata pixel 7 au 6 sio unatumia pixel 3 / 4 unaiponda iphone 12/13/14/15 sio sawa wewe iponde iphone x/xr kushuka chini acheni dharau kila mtu anatumia anachokipenda watumiaji wengi wa iphone wametoka android bongo watu wengi wamevamia iphone mwaka 2015 kama sijakosea ilipotoka iphone 4 ila huko nyuma wengi tulikuwa na android so jaribu kununua samsung s23 au pixel 7 ndouiponde iphone 14 pro max
Usilie kwa sauti sasaMtu Unaishi uswahilini unashindia energy drinks na vitumbua afu unatambia security ya iphone 😂
Nimeshajifuta machoziUsilie kwa sauti sasa
Hana chochote anachokilinda eti!!!🤠🤠🤠🤠Mtu Unaishi uswahilini unashindia energy drinks na vitumbua afu unatambia security ya iphone 😂
Tuacheni uku uku Android tuinjoy vibwengoMjomba umenena vyema. Nimetafuta hizi nyuzi kwa sababu leo nahamia iphone rasmi baada ya kuchoka na android