Fahamu kwanini limbwata huwekwa kwenye papuchi

Hapana kulala au kutolala nayo ni uamuzi wake.
Asipotaka kulala nayo huitoa na kuiweka ndani ya kingozi cheusi kilichopakazwa vumbi la kimti cha limbwata kile cha brown.


aiseeeh!!!!!!
huyo uliyemfanyia ilijibu?...............
 
Ha ha ha!
Wawawekeege tu si hamtaki kutulia! mnaruka ruka kama mwewe.
Mkuu tunaisubiri ya sindano utuambie kesho.
 
Mbona haueleweki!! upo ni uchaw mkubwa zaid kati ya huo NYAMA na SINDANO?
 


kama ni hit and run , saa ngapi utapata muda wa kula kwake?
 
LIKUD mamboo!
naona tafiti zinaendelea.

ila kama ningekuwa mwanaume unilishe hyo nyama halafu nijue!! ntakachokufanyaaa ....

yani papuchi niile na nyama iliyooza pia nile daaaa!
 
Last edited by a moderator:
hao hawajalogwa ila
ni uwendazimu wao wa kutaka kuonyesha maujuzi kumbe wanajitafutia
kansa ya koo!!!!

waiiii
hivi wewe ni wa wapi aisee!

kwa hyo ukiwa na mwenzio unawaza kansa ?

au ndo zile za leo kona bar, kesho kisuma keshokutwa buguruni malapaa!
 

LIKUDi tufafanulie huu wa shuntama upoje
 
Last edited by a moderator:
Hivi vitu vina wenyewe aisee...khaah
 
Kule kwetu Tanga kila baada ya nyumba 3 ya 4 lazima umkute mwanaume aliyelishwa limbwata.

Ndo maana ukaamua kunilisha na Mimi??
Hivi wakati umehifadhi hiyo nyama kunako papuchi, si nikiingiza mshedede naweza kuisokomezea ndani??
 
Usiogope hili mammy; siku hizi vijana wanakula papuchi yenyewe (Uvinza), huo uchawi wa limbwata siku hizi hauna mashiko tena-haikamati!:majani7:

Mhh haya mambo haya....sintokaa nifanye kama hanipendi hanipendi tu

kukimbizana kwa waganga kuweka nyama kwenye K.kumlisha mwenzio aisee

ni uchafu wa hali ya juu sana.....
 
:doh:...na hii hiyo yote ni kwa sababu ya nini? kama hupendwi hupendwi tuu. LIKUD huu uchawi hauna expiry date? maana sipati picha siku iikiisha nguvu yake itakuwaje.....Mimi najiuliza hiyo nyama inawekwa kwenye papuchi halafu baadae inachanganywa na nyuma fresh hivi si ni rahisi kwa mwanaume aliemakini kuigundua kwani itakuwa imebadilika sura hata harafu na ladha yake wakati inatafunwa itakuwa sio? naamini hata ikitiwa viungi kiasi gani bado itabaki kuwa tofauti tuu....
Yanii uchukue nyama ushamganye kwenye nyama usubiri mpaka ioze umlishe mtu ayaaaaaa wee
 
Last edited by a moderator:
Limbwata ni dalili ya kutojiamini wivu au uoga wa kuachwa? Hebu lete maoni yako, yaweza kuwa msaada kwa wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…