Fahamu kwanini limbwata huwekwa kwenye papuchi

A na B vyote saw plus ukosefu wa akili
 
Mwanaume ukitaka kupikiwa ndio matatizo yake hayo. Kama ni kula hio pusi, usipange siku.
 
hii kitu ni mbaya sana ila ndo hivyo huwezijua moyo wa mtu anawaza nn
 
wanaume wameumbwa na tamaa sana nakutotulia kwao wanalishwa vitu vingi mnooo maana imagine mtoto wawatu kakuonya wee huonyeki tuliaa hutaki anakutuliza kwa nguvu na ukimwii huu waganga watatajirika kwa mapenzi honest naaminii kua uchawi ulianzia kwenye mapenzi unajua wanawake hawana nguvu za kupigana ila revange ya mwanamke ni hiyo umefanya uchafu wako mtoto wawatu katulia tuu analia ana nyamaza hujiulizi why haniachi matokeo yake unakorogwa mpaka dudu yako itulie sehemu moja nasubiri kwa hamu hiyo yasindano
 
Hili Mungu aniepushie. I wouldnt stoop so low.
 
Kama ipo ipo 2 tabu yote ya nini kuitia papuchi ganz kwa kuiweka v2 vsivyostahili inahuu.
 
Kwa style hiyo cancer za kizazi haita isha, wanawake msije mkadanganyika na hayo makitu, mapenzi hayana dawa wala uchawi mtaja umbuka bure na kujitafutia maradhi yasiyo na tiba.
 
sasa mwanamke anapata faida gani kupendwa na mtu anayejua kabisa amemlazimisha ampende!shit!!!!!!!!!!!!, na akigundua utakiona cha mtema kuni na kujuta kuzaliwa!
 
Uchafu tu.

Yote ya nini hayo?

Unafanya uchawi ili upendwe? Loooh
 
Teh kitu siku 7, poleni wanaume. Ptuuuuu. BTW hiko kinyama hakitoi hata harufu au?


Haahaaaaaaa, eti hakitoi harufu...gaaal! 😀

Manake hapo imagine the mixture.
Ninavyoelewa ni kwamba huwezi kuacha nyama mbichi (or any dairy) kwenye warm environment for more than 2 hrs, cos itaharibika. Sasa siku saba?
Si hata kihifadhaio chenyewe kitaugua?
 
Ujinga, uju.ha, na u.pumbavu wa Mwafrika!

Huwezi ukawa na akili timamu halafu ukaamini hayo mambo.

Uchawi haupo!
 
Hapo kwenye kuiweka inawezekana ila kwenye siku saba sina hakika
 
Nafikiria huo mwendo "miondoko" ya mtu aliyehifadhi pande lake la nyama siku Saba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…