Fahamu maajabu ya Vinasaba vinne vya msingi

Umejitahidi sana kufafanua kuhusu binary. Hongera sana
 
 
Kwa hiyo unawashauri binadamu wachaguane wazuri ili wazae watoto wazuri...
Mtoto anaweza kurithi vinasaba vya babu, bibi, mjomba , Shangazi nk. , ndio maana unakuta jitu liko hovyo ila watoto ni wazuri balaa...,

 
 
 
Mkuu kwanza hongera kwa huo ujuzi ulionao maana ni wachache sana hufahamu mambo hayo. Mimi naomba kufahamu kuhusu ugonjwa wa ukoma(leprosy) kwani nimekua nikibashana na watu sana kuhusu huu ugonjwa. Huu ugonjwa ni ugonjwa wa kurithi (genetic inherited) ama ni familial disease?
 
Unakopi kutokea mtandao gani?
 
Kwa haraka haraka, Ugonjwa unaoambukizwa baada ya mtu kuwa keshazaliwa huwa sio wa kurithi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…