Fahamu Machache kuhusu Corona Virus

Fahamu Machache kuhusu Corona Virus

Nadhani njia za kujilinda zinapaswa kuwa utamaduni wetu...
IMG-20200324-WA0055.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
COVID ATTACK LEVELS

Level 1 - Inatibika
Mwili kuchoka
Maumivu ya mwili mzima na viungo
Kichwa kuuma & Kizunguzungu

Level 2 - Inatibika
Kukosa hamu ya kula
Kushindwa kunusa harufu
Homa
Kikohozi
Kukosa pumzi (Kupumua kwa shida)

Level 3 - Hatari na ngumu kutibika

Kifua kubana
Makohozi yenye damu au njano nzito
Kushindwa kupumua (Kukosa hewa - unawekewa oxygen)
Homa kali
Mapafu kujaa maji (Pneumonia)

Kwa Level 1 & Level 2 dawa zifuatazo zimewasaidia wengi:

Azithromycin, Amoxillian&Clavunate Potassium, Junior Aspirin,
Ped zinc,
Vitamin C na
Prednisolne.

C & P
 
Back
Top Bottom