Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Dooh sasa kati ya mi na wewe nani anatakiwa amuamkie mwenzie, ndio maana tunakataa kuwekwa kundi moja na nyie vitoto vya 2000 maana hamna adabu, kama hapo tayari mmeshaanza kutuona watoto wenzenu 🤣🤣Nilidhani nyie ni gen Y kumbe Z
Kesho muanze kuniamkia🤸