Fahamu Mambo 10 kuhusu Jenerali Robert Mboma, CDF pekee kutokea Kamandi ya Anga

Wanacheza magemu ya gta 🤣 😂
 
Wanacheza magemu ya gta 🤣 😂
Ukipita forums za hao mapilot wa hizo mig21 wanasema ni ndege ngumu kuzi operate na ilihitaji uwezo haswa.

Wanasema zilkuwa ni ndege hatari hata kwa usalama wao... Lakini huyu jamaa hapa anakusimulia Gen Mboma aliruka akapiga ndege ya UG , akapiga maneuver chap akakaa nyuma ya ndege ya adui akawa anamfuata nyuma akamshambulia na yeye, akaingia UG akapiga bank ya Libya baadae akapiga kona akashambulia radar....


Duh!!! Hii chai hainyweki.. sio rahisi kufanya yote hayo kwa ndege kama mig21 za 1950s...

Sisi hata ile vita kilichotusaidia makundi ya watu wa UG ambao hawakumtaka Amin, na jeshi la Obote, tulikuwa hoi tu... Hata UG ilikuwa vizuri kijeshi kutuzidi.
 
Wewe kinda sana endelea kubisha. Hiyo siyo cinema ambayo matukio yanapangwa na kuwa rehersed bali ni spontaneous activity at speed of light.

Gen Robert Mboma mwenyewe yupo Mbezi Beach nenda kumhoji
 
Soma hapa nimekuletea material halafu urudi

 
Chache sana ni za kichina halafu old model na zina umri mrefu.
Idadi yake zikiwa nyingi sana ni 15..
No mwaka flan sio mbali nikiwa sehem nlkuta wanazo zngne kutoka chna vna rangi ya pinki resemble na mig...nazan by now total fleet kuazia 100...( Minimum estimation)...
 
Wanaohakikisha usalama wako huko vichakani unakoishi! Mkishavuta mibange yenu mnandika chochote!
Tumuulize tuu kama JWTZ ni mgambo je, jeshi la wananchi la nchi yake linaitwaje!?
 
hizi sasa ndio habari zake nzuri nilikuwa nazijua
 
Wewe kinda sana endelea kubisha. Hiyo siyo cinema ambayo matukio yanapangwa na kuwa rehersed bali ni spontaneous activity at speed of light.

Gen Robert Mboma mwenyewe yupo Mbezi Beach nenda kumhoji
Kinda anakuzidi maarifa sana.Hizo sifa unazombambikia Gen hazina muunganiko mzuri unaoeleweka na kushawishi.
 
Hii Historia Imenikumbudha Mambo Mengi ya Utotoni Mboma Alikuwa jirani yetu hapo Isamilo mimi nikiwa mtoto Mdogo nikiwa naishi Isamilo nakumbuka nilikuwa naenda kuvhexa kea mboma nakumbuka Alikuwa na Watoto Mkubwa Alikuwa Anaitwa Sophia Mboma na Wa Pili Issa Mboma popote Mlipo nawakumbuka tulicheza wote.
 
Tu nampongeza Mboma Cdf mstaafu na wenzake kwa kazi kubwa ya kupambana na Idd Amin, na kumtoa madarakani. Vita ni mapambano makali sana yanataka ujasiri na weredi mkubwa kushinda, tunakutakia maisha marefu na tutawakumbuka daima.
 
Niliwahi kuhudhuria hafla fulani nyumbani kwa Mboma miaka ya themnini huko Oysterbay akiwa Brigadier ila wakati huo sikujua kama ni Brigadier ila nilipofika ndipo nikakutana na walinzi wanajeshi. Sasa wakati hafla inaanza rasmini akatutambulisha marafiki zake wakiwa ni makanali na maluteni kanali kadhaa pamoja na meja mmoja. Nilpokunywa bia kadhaa za bure nikapata ushujaa kumwuliza kuwa vipi mbona anajuana na maafisa wa juu wa jeshi na mji wake pia unalindwa na wanajeshi, kulikoni. Akanijibu kwa uungana tu kuwa hao wote ni wafanyakzi wenzake Jeshini na yeye mwenyewe pia ni mwanajeshi nakamanda wao. Nikatosheka na jibu kabisa.
 
Hivi ile skendo ya yale mafuta ya jeshi hadi kuwekewa "rangi " kuyatofautisha ilikuwa kweli?
 
Nakumbuka enzi hizo akiwa CDF alikuwa anakuja ukweni kwake huko kijijini Rwanda, Kamachumu , Muleba mkoani Kagera akiwa kwenye helicopter ya jeshi, alikuwa anakusanya wanakijiji wengi waliokuja kushangaa chopa ya jeshi.
 
Mkikaa na huyo mmalila mwambie kwao alipotoka katika kata ya santilya ,kijiji cha santilya hakuna maji wala umeme na ni sehemu vijana wanakataa shule mbaya zaidi kwa takwimu za mwaka jana ni kijiji cha pili kwa upande wa mkoa wa mbeya kuwa na maamumbukizi ya virusi vya UKIMWI .

Najaribu kusema kuwa awakumbuke nduguze huko kwao wamebaki kulia na kusema wamewahi mtoa mkuu wa majeshi ila hajawasaidia chochote ndiyo maana pale alipouhitaji ubunge wa mbeya DC alipofika kwao alizomewa sana .

DUGA KUHAYA MWANAWITU MBOMA ,TWAKUGONELA SANA IWE
 
Dada
 
Wanajeshi wanakuaga humble sana. Shida kwa ndugu zetu polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…