Fahamu mambo mbalimbali kuhusu biashara ya bidhaa za electronics

Fahamu mambo mbalimbali kuhusu biashara ya bidhaa za electronics

Mtoa mada njoo utupe mrejesho.. vipi ulifanikiwa kuanza? unaionaje biashara?
 
Sikufanikiwa.
Wakati najiandaa kuanza ndio nataka kulipia Frame nikapata barua ya uhamisho. Sasa nabuni biashara nyingine kutokana na eneo ambalo nipo.
😂😂😂 Ww jamaa bhana 😂😂😂
Mm pia napenda sana kuwa na duka la vifaa vya umeme wa majumbani.
 
Mkuu mimi Niko kwenye hiyo field naweza kukushauri. Kwa capital hiyo Naona its possible na ukapata faida sana. Biashara ya vifaa Vya umeme inakua nzuri sana Kama una mtaji wa kutosha Hasa Kwa mtu ambae uko nje ya Kariakoo, Naona kabisa unaenda kumake profit nzuri Kwa sababu una connection na wadau wa umeme.

Ukiwa na mtaji unakua na mzigo wa kutosha na unanunua bei ya jumla zaidi na unaweza kuvutia wateja Kwa kupunguza bei zaidi ya wengine.

Kama ikikupendeza pia changanya na vitu Vya bomba, Liwe duka la umeme na bomba. Kuna hela sana humo.
Otherwise all the best champ
Asante hii nami ntafanyia kaz
 
Habari wana JF na wasakatonge Wenzangu nimepata wazo la biashara ambayo itapelekea kuweza kuanzisha Kikundi cha vijana hasa wenye ujuzi na electronics na wale wa plastics,

wazo langu limetokana na kuona vifaa vingi vya electronics kutoka china vikiuzwa kwa bei ya chini uko china na vinpoletwa huku africa huwa bei ghali kidogo hususani vifaa vya Muziki.

China kuna makampuni mengi hasa ya PCB yanayotengeneza motherboard za electonics na kuziuza .nimejaribu kubomoa baadhi ya vifaa kama redio ,charge ,mp3 player ,na kukuta Motherboard za vifaa hivyo zimeudwa namakampuni tofauti , kampuni iliyoweka jina imekiunganisha tu.

Nilihitaji hasa kununua china motherboard , speaker, wire, lcd nakisha mimi kudesign shape ya nje, kupiga rangi , na label na kushawishi mafundi redio walio mitaani kuja kuunganisha vifaa hivyo na kupata kifaa kamili.
Natumai hu mzima, vp ulifanikisha mpango wako wa kuagiza speakr, wire na motherboard kutoka China, ili uweze kuunda device mwenyew?
Habari wana JF na wasakatonge Wenzangu nimepata wazo la biashara ambayo itapelekea kuweza kuanzisha Kikundi cha vijana hasa wenye ujuzi na electronics na wale wa plastics,

wazo langu limetokana na kuona vifaa vingi vya electronics kutoka china vikiuzwa kwa bei ya chini uko china na vinpoletwa huku africa huwa bei ghali kidogo hususani vifaa vya Muziki.

China kuna makampuni mengi hasa ya PCB yanayotengeneza motherboard za electonics na kuziuza .nimejaribu kubomoa baadhi ya vifaa kama redio ,charge ,mp3 player ,na kukuta Motherboard za vifaa hivyo zimeudwa namakampuni tofauti , kampuni iliyoweka jina imekiunganisha tu.

Nilihitaji hasa kununua china motherboard , speaker, wire, lcd nakisha mimi kudesign shape ya nje, kupiga rangi , na label na kushawishi mafundi redio walio mitaani kuja kuunganisha vifaa hivyo na kupata kifaa kamili.
Habari wana JF na wasakatonge Wenzangu nimepata wazo la biashara ambayo itapelekea kuweza kuanzisha Kikundi cha vijana hasa wenye ujuzi na electronics na wale wa plastics,

wazo langu limetokana na kuona vifaa vingi vya electronics kutoka china vikiuzwa kwa bei ya chini uko china na vinpoletwa huku africa huwa bei ghali kidogo hususani vifaa vya Muziki.

China kuna makampuni mengi hasa ya PCB yanayotengeneza motherboard za electonics na kuziuza .nimejaribu kubomoa baadhi ya vifaa kama redio ,charge ,mp3 player ,na kukuta Motherboard za vifaa hivyo zimeudwa namakampuni tofauti , kampuni iliyoweka jina imekiunganisha tu.

Nilihitaji hasa kununua china motherboard , speaker, wire, lcd nakisha mimi kudesign shape ya nje, kupiga rangi , na label na kushawishi mafundi redio walio mitaani kuja kuunganisha vifaa hivyo na kupata kifaa kamili.
Tunaweza kumake deal brooh
Habari wana JF na wasakatonge Wenzangu nimepata wazo la biashara ambayo itapelekea kuweza kuanzisha Kikundi cha vijana hasa wenye ujuzi na electronics na wale wa plastics,

wazo langu limetokana na kuona vifaa vingi vya electronics kutoka china vikiuzwa kwa bei ya chini uko china na vinpoletwa huku africa huwa bei ghali kidogo hususani vifaa vya Muziki.

China kuna makampuni mengi hasa ya PCB yanayotengeneza motherboard za electonics na kuziuza .nimejaribu kubomoa baadhi ya vifaa kama redio ,charge ,mp3 player ,na kukuta Motherboard za vifaa hivyo zimeudwa namakampuni tofauti , kampuni iliyoweka jina imekiunganisha tu.

Nilihitaji hasa kununua china motherboard , speaker, wire, lcd nakisha mimi kudesign shape ya nje, kupiga rangi , na label na kushawishi mafundi redio walio mitaani kuja kuunganisha vifaa hivyo na kupata kifaa kamili.
 
Habari Wapambanaji.

Nina wazo la kuanzisha duka la vifaa vya umeme wa majumbani na baadhi ya vifaa vya viwandani.

Vifaa vya majumbani kama vile.. Taa, switches, conduits pipes, cables, wires, earth roads, circuits breakers, junction boxes, square boxes, distribution boards nk.

Vifaa vya viwandani kama. Magnetic Contactors, timers, relays, CBs push button switches nk.

Pia katika duka hilo natarajia niwe natoa na huduma za kusuka starters kwa wale wahitaji kwakuwa nina ujuzi wa ku design circuits mbalimbali kama za DOL, YD, Jogging, Forward and reverse nk. Nimeongea na bank moja kwamba naweza kupata mkopo wa angalau 35m.

Je hiyo inatosha au naweza ku fail katika biashara hiyo. Nipo katika Wilaya moja ambayo inakuwa sana kiuchumi na kazi za viwandani ni nyingi sana.

Ushauri please.


Aisee kufeli au kutokufeli Kw Biashara kunamhusu mwenye Biashara, ku attempt tu kuuliza hili swali Ni Dalili kwamba utafeli.

Hii biashara Ni nzuri Sana Kama una mtaji, Ila whether Kwa utafiti, au chochote, kabla ujaanza hakikisha nafsi, Mwili Na roho yako vinaamini itafanikiwa.

Wala usifanye biashara sababu mke, Baba, Mchungaji Kasema italipa, Fanya sababu wewe unaamini itakulipa; Na sio jamii forum .
 
Sikufanikiwa.
Wakati najiandaa kuanza ndio nataka kulipia Frame nikapata barua ya uhamisho. Sasa nabuni biashara nyingine kutokana na eneo ambalo nipo.
🤣🤣🤣
Jamaa walikuwa wanakulia mingo.
ile kuanza tu wakakuhamisha
😁😁😁
 
Usichukue mkopo kwanza, naifahamy hiyo biashara kiasi kizuri. Sasa anza mdogo mdogo ulisome soko vizuri
 
Watu wa Mungu habari!
Natamani sana kuanzisha biashara ya kuuza vifaa vidogo vidogo vya umeme, mfano:
-switches
-bulbs
-extension cables
-holders
-n.k

Naomba kufaham, nahitaji mtaji kiasi gani kwa kuanzia.. nakusudia iwe biashara ya kuanzia chini kabisa, hivyo msaada wa kujua minimum capital.

Lakini pia naomba kupata ushauri wa jumla na changamoto zake, ikiwemo upatikanaji wa vifaa, maduka ya kununulia n.k

Ahsanteni sana!
 
Back
Top Bottom