Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

Mkuu ninashamba masasi pia, lkn maafisa wa misitu wanakataza kutumia chainsaw kuangusha miti, hivyo tunalazimika kutumia moto na misumeno baridi kwako hali ipoje?
Hata huku hali ni hiyo hiyo
 
Changamoto nyingine kubwa kwa shamba jipya ni nyani! Hawa wanyama wanaweza kukutia hasara hadi ukashangaa maana huwa wanafukua miche ya mikorosho na kuing'oa. Labda Kama kuna utaalam wa kuwathibiti tofauti na kuweka mtu wa kulinda tusaidiane ujuzi tafadhali
 

Mkuu, Mimi Nyani wameniharibia shamba la korosho ekari 30 Ikwiriri, mpaka leo tunahangaika nao
 
Mkuu, Mimi Nyani wameniharibia shamba la korosho ekari 30 Ikwiriri, mpaka leo tunahangaika nao
Akuna mdudu mwenye akili za ki pumbavu Kama nyani anafukua iyo Miche wala Hali Ila to anadhan umeficha kitu chin me walini sumbua sana Lindi.
 
Akuna mdudu mwenye akili za ki pumbavu Kama nyani anafukua iyo Miche Wala Hali Ila to anadhan umeficha kitu chin me walini sumbua Sana lindi
Nimekutana na hiyo changamoto Liwale. Wamefukua eka 12 nikarushia, wakafukua Tena kama 8 [emoji25][emoji25]
 
Nimekutana na hiyo changamoto Liwale. Wamefukua eka 12 nikarushia, wakafukua Tena kama 8 [emoji25][emoji25]
Hahaha yan awa wadudu shida Sana ASA umuone anavyofukua utacheka maana anato mche alafu anaanza kufukua shimo. Utasema anatafuta madin baadea anaanza kuuchambua mche mizizi yote then anahamia mche mwingine.
 
Hahaha Yan awa wadudu shida Sana ASA umuone anavyofukua utacheka maana anato mche alafu anaanza kufukua shimo. Utasema anatafuta madin baadea anaanza kuuchambua mche mizizi yote then anahamia mche mwingine
Washenzi sana Hawa. Inabidi kumtega mmoja halafu unamwamba mtini na kumtundika ili wenzie wamuone
 
Mkuu kwa nini majarida mengine wanasema miche ipandwe mita 12 kwa 12 kwa mstari kwa mstari na mche kwa mche

Kipi ni kipimo sahihi kwenye upandaji wa mikorosho?
 
Mkuu ulipanda kwa umbali kutoka mche mpaka mche na mstari kwa mstari, msaada tafadhali.
 
Ila mkuu hiyo bei ya mahindi ni kwa sababu msimu uliopita mvua hazikuwa nzuri hivyo watu hawakuvuna vizuri.
 
Ila mkuu hiyo bei ya mahindi ni kwa sababu msimu uliopita mvua hazikuwa nzuri hivyo watu hawakuvuna vizuri.
Uko sahihi, lakini ulichokisoma leo kiliandikwa mwaka jana so bei ilikua hiyo. pia sina imani bei itabaki hiyo hiyo unayoisema.
 
Mkuu kwa nini majarida mengine wanasema miche ipandwe mita 12 kwa 12 kwa mstari kwa mstari na mche kwa mche

Kipi ni kipimo sahihi kwenye upandaji wa mikorosho?
17x17 Yaani mikorosho 25 kwa eka
 
Kangomba
 
Asante kwa ushauri LUMUMBA.Kama hutojali naomba namba yako. Yangu ni 0715217124 na ni mdau wa kilimo hichi baada ya kuhamaaishwa na member mmoja wa JF ambaye kwa sasa ni jirani yangu huko shambani Liwale
 
Msimu was kupanda Miche bora ya korosho umewadia , mwenye kuhitaji apige 0784474935, utaletewa popote ulipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…