LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Shukrani[emoji120][emoji120][emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani[emoji120][emoji120][emoji120]
Mkuu, unaweza kupanda mazao mengine kwenye shamba la mikotosho hasa inapokuwa bado midogo?Nashukuru sana kwa maelezo yako. Na nilijaribu kuyafanyia kazi mwaka huu sema nilishindwa kutokana na sabab zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Ko nilifanikiwa kupulizia mara mbili tuu. (Kutokana na ghalama za viwatilifu kuwa juu) ila mwakani tumejipanga maana tumeshaandaa viwatilifu na kila kitu (serikali imetuletea huku katavi) mvua hizi zinazoanz zikiisha tuu Mungu akijalia tutaanza mapema ili tupige sumu na dawa kwa zaidi ya mara 6 kabla ya mavuno. Nashukuru sana kwa maelekezo yako. MUNGU AKUBALIKI
Unaweza kupanda kiongoziMkuu, unaweza kupanda mazao mengine kwenye shamba la mikotosho hasa inapokuwa bado midogo?
🙏🙏🙏Unaweza kupanda kiongozi
Nashukuru sana kwa maelezo yako. Na nilijaribu kuyafanyia kazi mwaka huu sema nilishindwa kutokana na sabab zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Ko nilifanikiwa kupulizia mara mbili tuu. (Kutokana na ghalama za viwatilifu kuwa juu) ila mwakani tumejipanga maana tumeshaandaa viwatilifu na kila kitu (serikali imetuletea huku katavi) mvua hizi zinazoanz zikiisha tuu Mungu akijalia tutaanza mapema ili tupige sumu na dawa kwa zaidi ya mara 6 kabla ya mavuno. Nashukuru sana kwa maelekezo yako. MUNGU AKUBALIKI
Ndio ndio unaweza ukapanda kabisa maana hata sisi ndivyo hufanya huku.Mkuu, unaweza kupanda mazao mengine kwenye shamba la mikotosho hasa inapokuwa bado midogo?
AhsanteKwa kuongezea na mikoa ya Morogoro, Tanga, na Kilimanjaro pia mwaka huu Serikali ilipeleka mbegu. Ni mikoa ambayo watafiti wamesema inafaa kwa korosho.
Aisee!Mkuu wengi hawajaelewa fursa iliyopo kwenye KOROSHO ,Cha msingi we kaushia tu usiwaamshe waliolala!
Najuta lile Shamba la miti kwanini sikufanya iwe korosho!
Nafikiri na Kakonko mkoani KigomaInaweze kustawi kwani kwa mujibu ya mikoa iliyovyanyiwa utafiti ifuatayo imeeonekana kuweza kulima/kustawisha zao hilo: DODOMA, SINGIDA, KILIMANJARO, na TABORA.
Gharama za viautilifu zinaweza cost bei gani kwa eka ?Nashukuru sana kwa maelezo yako. Na nilijaribu kuyafanyia kazi mwaka huu sema nilishindwa kutokana na sabab zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Ko nilifanikiwa kupulizia mara mbili tuu. (Kutokana na ghalama za viwatilifu kuwa juu) ila mwakani tumejipanga maana tumeshaandaa viwatilifu na kila kitu (serikali imetuletea huku katavi) mvua hizi zinazoanz zikiisha tuu Mungu akijalia tutaanza mapema ili tupige sumu na dawa kwa zaidi ya mara 6 kabla ya mavuno. Nashukuru sana kwa maelekezo yako. MUNGU AKUBALIKI
SAfi snView attachment 1506595
Naomba niwasilishe kutaka kuelezwa zaidi juu ya kilimo cha Korosho kwa Mkoa wa Pwani. Naomba mwenye kuelewa atufahamishe mimi na wengine gharama toka awali za kupanda mikorosho katika shamba la ekari 20. Gharama na takwimu hadi kuvuna na kiasi cha mavuno kwa mwaka.
Natanguliza shukrani zangu.
WADAU WENGINE WANAOHITAJI UELEWA WA KILIMO HIKI
MICHANGO YA WADAU
Approx ni kama 30,000 hiv kwa mpulizo mmoja kila kitu wanafanya uliowaajiliGharama za viautilifu zinaweza cost bei gani kwa eka ?