Fahamu matokeo ya meditation

Fahamu matokeo ya meditation

JINSI YA KUFANYA ILI ULIMWENGU UKUSIKILIZE

Imeandaliwa na kuandikwa na Dogoli kinyamkelaView attachment 3199087

💞UMSIKILIAYE NDIYE AKUSIKILIZAYE

🗣️Kuna vitu katika jamii vikifanyika vinachukuliwa Kama uchawi au kiini macho, Siyo kwamba kiini macho hakuna, vipo na vinafanyika kila siku pasipo wengi wetu kuvitambua Kama Ni viini macho.

✍️Ulimwengu wote unaouona hauna tofauti, yaani Ni kitu kimoja Ila katika matoleo(version) tofauti tofauti. Na hapa ndipo tunakuja kupata ulimwengu mkubwa na ulimwengu mdogo, lakini yote kwa yote ulimwengu Ni mmoja tu nao Ni One-Verse badala ya Universe.

🤔Tuachane na hiyo mada maana nitakuja kuilezea siku nyingine kwa upana zaidi, Ila leo nataka niwaambie je tunawezaje kuusikiliza ulimwengu nao ukatusikiliza!!!

👌 Kwanza inabidi uelewe kwamba karibia elements zote ambazo hazionekani kwa macho ya damu na nyama Basi zinapatikana ndani ya mwili wa mwanadamu,ambazo hizo elements tukizichanganya changanganya ndiyo tunakuja kupata zile element nne za msingi.

🗣️Kwa mantiki hiyo Basi huu mwili wa damu na nyama Ni udhihilisho halisi wa vile vyote visivyoonekana.

🤝Hakuna mtu ambaye hawezi kumsikiliza rafiki yake kipenzi, Na hakuna mtu ambaye hawezi kumsikikiza ndugu yake, kwa nini kwa sababu mnasikilizana na kuelewana.

👊Sasa Kama sisi tunasikilizana marafiki kwa ndugu vipi kwa zile element ambazo ndiyo sisi wenyewe!!!

👉Katika SoMo lijalo Kuna kitu nitashea nanyi ambacho Ni maswali niliyoulizwa na watoto kutoka shule Fulani, na mengine niliulizwa na wazazi kutoka kwenye shule hiyo hiyo tukiwa kwenye moja ya semina za maadhimisho ya Uhuru.

🗣️Huu ulimwengu unaoonekana kwa macho ya damu na nyama Ni udhihilisho tu wa uleeee ulimwengu usioonekana kwa macho ya damu na nyama, na ulimwengu usioonekana ndiyo umeuumba ulimwengu unaoonekana.

🤔Katika SoMo lijalo nitaliezea hili kwa kina Sana, Sasa turudi kwenye mada yetu ya Leo, Kuna wengi sana ambao wamekuwa wakipenda Sana wasikilizwe na ulimwengu lakini hawajui wanasikilizwa vipi.

🗣️Labda nikudokeze tu kidogo kwamba wewe kuusikiliza ulimwengu hiyo Ni Sanaa Kama Sanaa zingine lakini ulimwengu kukusikiliza wewe hayo ndiyo MAAJABU Sasa.

✍️Ulimwengu unaongea na sisi kwa Njia nyingi Sana na tofauti tofauti, ulimwengu unaongea na sisi kupitia maumbo, muziki, michoro, Namba zinazojirudia, ndoto,nk.

✍️Kupitia hivyo vitu nilivyoviorozesha hapo Basi unaweza kung'amua jumbe ambazo ulimwengu unataka wewe uelewe.

🤔Kwenye maumbo na baadhi ya michoro Kuna Siri nyingi Sana za ulimwengu Ni kazi kwako kuweza kuzigundua hizo siri.

🎶Kwenye miziki tunayoisikiliza Kuna jumbe nyingi Sana za Siri ambazo ulimwengu unataka tuzifahamu hivyo Ni kazi kwetu kuzigundua hizo siri.

♾️Kwenye namba zinazojirudia na kwenye ndoto pia Kuna jumbe nyingi Sana za Siri ambazo ulimwengu unajaribu kuongea nasi na Ni jukumu letu kuzielewa Ila kila siku kila saa kila dakika ulimwengu unazungumzia na sisi.

🗣️Katika kuelewa ulimwengu unazungumza Nini hii Ni Sanaa lakini kubwaa zaidi Ni wewe kuuambia ulimwengu ukitakacho na ulimwengu ukatusikiliza na haya ndiyo MAAJABU yenyewe.

✍️Ulimwengu unahitaji uzifuate kanuni pia ili uweze kupokea maekelezo kutoka kwako, Lakini kitu kingine ili ulimwengu ukusikilize, ulimwengu unataka utambue kwamba wewe Ni ulimwengu pia.

😳Ulimwengu hautaki ujitofautishe nao maana ulimwengu unachukulia kwamba kila kitu Ni Ulimwengu.

⚛️Hivyo ukitaka ulimwengu uanze kukutii inabidi uondoe utofauti uliokuwepo Kati yako na vyote vilivyo ulimwenguni na ujione wewe Ni sehemu ya vyote yaani ujione wewe Ni vyote na vyote Ni wewe.

☯️Chochote utakachokitendea kitendee jinsi vile wewe unavyotaka kutendewa maana vyote Ni wewe na wewe Ni vyote.

🗣️Mfano unapouona mti chukulia kwamba umejiona wewe maana ndani ya mti Kuna Siri zako, unayaona maji chukulia Kama umejiona wewe maana kwenye maji Kuna Siri zako mule ambazo unatembea nazo kila siku.

✍️Unapoyaona madini chukulia Kama umejiona wewe maana madini Ni sehemu yako pia, Unapowaona wanyama na wadudu chukulia Kama umejiona wewe maana wewe Ni vyote.

✍️Hewa ilipo Basi jua Ni wewe maana wewe Ni vyote na vyote Ni wewe, Baada ya kujiona wewe kwenye vyote Sasa Kuna nishati ambayo itaanza kimiminika kuelekea kwenye kila kiumbe na kuanza kutambua kwamba Sasa wewe umekuwa mmoja wa wamiliki wa vyote kwa maana umetambua kuwa wewe Ni vyote.

🗣️Kila kiumbe kitaanzaa kukutii na mwishowee ulimwengu wote utakutii, Hapo utakuwa na uwezo wa kusema chochote nao ulimwengu wote ukakusikiliza, lakini zingatia katika Yale utakayoyataka Basi yawe ya heri kwenye mzunguko wa maisha haya ya kawaida maana Ikiwa na athari mbaya Basi ulimwengu utakutii na mwisho wa siku utakuadhibu pia.

Ulikuwa nami mwalimu wako Dogoli kinyamkela
🙏🙏🙏🧘🧘🧘🙏🙏🙏
Hivi kwa nini meditation inakuwa link sana na dini za buddhism na hinduism na sio sana kwa Abrahamic religions
 
JINSI YA KUFANYA ILI ULIMWENGU UKUSIKILIZE

Imeandaliwa na kuandikwa na Dogoli kinyamkelaView attachment 3199087

💞UMSIKILIAYE NDIYE AKUSIKILIZAYE

🗣️Kuna vitu katika jamii vikifanyika vinachukuliwa Kama uchawi au kiini macho, Siyo kwamba kiini macho hakuna, vipo na vinafanyika kila siku pasipo wengi wetu kuvitambua Kama Ni viini macho.

✍️Ulimwengu wote unaouona hauna tofauti, yaani Ni kitu kimoja Ila katika matoleo(version) tofauti tofauti. Na hapa ndipo tunakuja kupata ulimwengu mkubwa na ulimwengu mdogo, lakini yote kwa yote ulimwengu Ni mmoja tu nao Ni One-Verse badala ya Universe.

🤔Tuachane na hiyo mada maana nitakuja kuilezea siku nyingine kwa upana zaidi, Ila leo nataka niwaambie je tunawezaje kuusikiliza ulimwengu nao ukatusikiliza!!!

👌 Kwanza inabidi uelewe kwamba karibia elements zote ambazo hazionekani kwa macho ya damu na nyama Basi zinapatikana ndani ya mwili wa mwanadamu,ambazo hizo elements tukizichanganya changanganya ndiyo tunakuja kupata zile element nne za msingi.

🗣️Kwa mantiki hiyo Basi huu mwili wa damu na nyama Ni udhihilisho halisi wa vile vyote visivyoonekana.

🤝Hakuna mtu ambaye hawezi kumsikiliza rafiki yake kipenzi, Na hakuna mtu ambaye hawezi kumsikikiza ndugu yake, kwa nini kwa sababu mnasikilizana na kuelewana.

👊Sasa Kama sisi tunasikilizana marafiki kwa ndugu vipi kwa zile element ambazo ndiyo sisi wenyewe!!!

👉Katika SoMo lijalo Kuna kitu nitashea nanyi ambacho Ni maswali niliyoulizwa na watoto kutoka shule Fulani, na mengine niliulizwa na wazazi kutoka kwenye shule hiyo hiyo tukiwa kwenye moja ya semina za maadhimisho ya Uhuru.

🗣️Huu ulimwengu unaoonekana kwa macho ya damu na nyama Ni udhihilisho tu wa uleeee ulimwengu usioonekana kwa macho ya damu na nyama, na ulimwengu usioonekana ndiyo umeuumba ulimwengu unaoonekana.

🤔Katika SoMo lijalo nitaliezea hili kwa kina Sana, Sasa turudi kwenye mada yetu ya Leo, Kuna wengi sana ambao wamekuwa wakipenda Sana wasikilizwe na ulimwengu lakini hawajui wanasikilizwa vipi.

🗣️Labda nikudokeze tu kidogo kwamba wewe kuusikiliza ulimwengu hiyo Ni Sanaa Kama Sanaa zingine lakini ulimwengu kukusikiliza wewe hayo ndiyo MAAJABU Sasa.

✍️Ulimwengu unaongea na sisi kwa Njia nyingi Sana na tofauti tofauti, ulimwengu unaongea na sisi kupitia maumbo, muziki, michoro, Namba zinazojirudia, ndoto,nk.

✍️Kupitia hivyo vitu nilivyoviorozesha hapo Basi unaweza kung'amua jumbe ambazo ulimwengu unataka wewe uelewe.

🤔Kwenye maumbo na baadhi ya michoro Kuna Siri nyingi Sana za ulimwengu Ni kazi kwako kuweza kuzigundua hizo siri.

🎶Kwenye miziki tunayoisikiliza Kuna jumbe nyingi Sana za Siri ambazo ulimwengu unataka tuzifahamu hivyo Ni kazi kwetu kuzigundua hizo siri.

♾️Kwenye namba zinazojirudia na kwenye ndoto pia Kuna jumbe nyingi Sana za Siri ambazo ulimwengu unajaribu kuongea nasi na Ni jukumu letu kuzielewa Ila kila siku kila saa kila dakika ulimwengu unazungumzia na sisi.

🗣️Katika kuelewa ulimwengu unazungumza Nini hii Ni Sanaa lakini kubwaa zaidi Ni wewe kuuambia ulimwengu ukitakacho na ulimwengu ukatusikiliza na haya ndiyo MAAJABU yenyewe.

✍️Ulimwengu unahitaji uzifuate kanuni pia ili uweze kupokea maekelezo kutoka kwako, Lakini kitu kingine ili ulimwengu ukusikilize, ulimwengu unataka utambue kwamba wewe Ni ulimwengu pia.

😳Ulimwengu hautaki ujitofautishe nao maana ulimwengu unachukulia kwamba kila kitu Ni Ulimwengu.

⚛️Hivyo ukitaka ulimwengu uanze kukutii inabidi uondoe utofauti uliokuwepo Kati yako na vyote vilivyo ulimwenguni na ujione wewe Ni sehemu ya vyote yaani ujione wewe Ni vyote na vyote Ni wewe.

☯️Chochote utakachokitendea kitendee jinsi vile wewe unavyotaka kutendewa maana vyote Ni wewe na wewe Ni vyote.

🗣️Mfano unapouona mti chukulia kwamba umejiona wewe maana ndani ya mti Kuna Siri zako, unayaona maji chukulia Kama umejiona wewe maana kwenye maji Kuna Siri zako mule ambazo unatembea nazo kila siku.

✍️Unapoyaona madini chukulia Kama umejiona wewe maana madini Ni sehemu yako pia, Unapowaona wanyama na wadudu chukulia Kama umejiona wewe maana wewe Ni vyote.

✍️Hewa ilipo Basi jua Ni wewe maana wewe Ni vyote na vyote Ni wewe, Baada ya kujiona wewe kwenye vyote Sasa Kuna nishati ambayo itaanza kimiminika kuelekea kwenye kila kiumbe na kuanza kutambua kwamba Sasa wewe umekuwa mmoja wa wamiliki wa vyote kwa maana umetambua kuwa wewe Ni vyote.

🗣️Kila kiumbe kitaanzaa kukutii na mwishowee ulimwengu wote utakutii, Hapo utakuwa na uwezo wa kusema chochote nao ulimwengu wote ukakusikiliza, lakini zingatia katika Yale utakayoyataka Basi yawe ya heri kwenye mzunguko wa maisha haya ya kawaida maana Ikiwa na athari mbaya Basi ulimwengu utakutii na mwisho wa siku utakuadhibu pia.

Ulikuwa nami mwalimu wako Dogoli kinyamkela
🙏🙏🙏🧘🧘🧘🙏🙏🙏

Asante.
 
Wanasayansi wanaita dark energy na dark matter hyo dark energy wanasema ni mystery force ambayo hawajui inatokana na nini na inakadiriwa kuchukuwa 68% ya ulimwengu kisha dark matter inachukuwa 27% na hyo iliyobaki ndio 5% ndiyo inayoonekana inachukua binadamu, wanyama, mimea, nyota na sayari na kila kitu unachokiona

Duh noma sana.
 
NGUVU SABA ZA MWILI
1736706294044.jpg
 
Paka ni mnyama wa kwanza anaependwa na binadamu, paka ukimpa chakula hushukuru kwa kusimamisha wima mkia wake akiuchezesha, paka hutoa sauti nane tofauti, sauti ya njaa, sauti ya hasira, sauti ya kuumwa, sauti ya kutaka kushiriki tendo, sauti ya kuona hatari, sauti ya mama akiita watoto, sauti ya baba akiita mke wake. Paka anauwezo wa kutambua mchawi akimuona humkwaruza mguu wake, paka anauwezo wa kumtibu mtu kama uchawi kawekewa ana uwezo wa kuondoa jini katika nyumba yaani negative energy au nishati chafu akishindwa kabisa huondoka kwenye hiyo nyumba. Kwa jamii za afrika Paka weusi huonekana kama wenye nguvu za giza ila ukweli ni kua paka weusi wana nguvu kubwa kiroho na sio wabaya kama wengi wanavyozani. 🐈
1736706667714.jpg
 
Mafuta ya upako ni mafuta kama mafuta ya mnyama ngekewa ukiyapata haya utakua ni mtu wa kupendwa na kila mtu, mafuta ya tembo, mafuta ya paka ukiyapata haya hutosogelewa na wabaya, mafuta ya kuku weusi, kinyonga, bundi na fisi, mafuta haya ukiyapata na kuyatumia kwa usahihi utakua mtu sio wa kawaida ndio ile watu husema ana maajabu, halogeki, mafuta ya upako yako ya aina nyingi sio tu mzeituni/olive..
1736706869346.jpg
 
TAMBUWA KUWA UNIVERSAL ♾️ INAZINGUMZA NA WEWE KILA MARA
KILA WAKATI

UNIVERSAL INAZINGUMZA NA VIUMBE VYAKE KWA KUTUMIA ISHARA MBALI MBALI..

LEO TUANGAZIE ZAIDI KATIKA ISHARA AMBAZO ANAZIPATA MTU KUPITIA NDOTO

NDOTO YA LEO NI NDOTO YA SAMAKI.

KUOTA SAMAKI KATIKA NDOTO INATABIRI RIZIKI YAANI MALI.

IKIWA UMEONA SAMAKI KWENYE NDOTO HAPO UNAONA UTAJIRI.

IKIWA UTAKAMATA SAMAKI NDOTONI BASI TAYARI UMESHAPATA PESA ..

YAANI JAMBO LINAUMBWA KWANZA HUKO KWENYE ULIMWENGU WA ROHO NA HATIMAYE LINADHIHIRIKIA HUKU KWENYE MWILI

Maana halisi ya ndoto hii kuota SAMAKI nimekuwekea kwenye group letu pendwa la MAARIFA NI TIBA...huko utajifunza mengi yaliyosirini na unaruhusiwa kuuliza kitu Chochote.🙏 Join nasi tujifunze pamoja Sasa ni saa ya kuinuka kwa waafrica baada ya kudanganywa kwa mda mrefu nasasa tupo AQUARIUS ♒ ♒ 🏺 AGE

HII NI DHAMA YA KIMUNGU UTAWALA MPYA WA KUJITAMBUWA NA KUJUWA UKWELI UATA KAMA ULIFICHWA KIASI GANI.. ..HII SIO DHAMA YA KUAMINISHWA TENA NI DHAMA YA KUJUWA MWENYEWE

Sio mtu tu from no where anakwambia ukifka utakaa mbinguni nawew unaamini nakudhamia humo kwenye ujinga badala umuulize vizuri pakoje na yeye kashawahi kupaona?? Na je yeye kwanini hajaenda kukaa huko Kama kunaraha.??

Karibu kwenye ulimwengu wa
1736707684589.jpg
(WAFALME)
 
Changamoto kubwa ya wengi si kushindwa kufanya meditation, bali ni kitopata matokeo ya nia zao za kumeditate.

Mabingwa wa meditation kila wakati wanasisitiza faida zitokanazo na meditation, lakini sijaona hata mmoja akitaja hasara na kutoa suruhu kwa wanaofanya hivyo bila kuona mabadiliko yoyote, au kuona matokeo ya dhahiri.

MUNGU.Akinipa fursa nitaposti madhara ya meditation, sababu hakuna kisicho na madhara ukitumia vibaya, acha leo nitoe sababu za wanaohisi hawaoni matokeo.

Baada ya visa vya wanaoshindwa kuwa vingi nilirejea katika chanzo na haya ni sehemu ya niliyopata.

Mlango wa tano wa fahamu, chakra ya tano, kanisa la tano au kinara cha tano.
Katika Biblia ni kanisa lililoko Sardi.

Katika mwili wako mlango huu upo eneo lilipo koo.

Eneo lenye kuupa mwili uwezo wa kujielezea wenyewe pia kukuwezesha wewe kujielezea na Kubwa usilojua ndiyo mlango ambao unawezesha mwili kujilinda na hatari usizoziona, mambo ya kichawi, mapepo, machale n.k.

Mlango huu ukiwa wazi muhusika huwa muwazi, mkweli popote na kwa kila jambo, na maneno yake huchukuliwa kwa uzito mkubwa.

Mtu Ambaye mlango huu uko wazi mbali na kwamba hawezi kusema uongo, ukweli huohuo ambao unaweza kumdhuru mwenyewe, humfanya kutoka salama katika jambo baya.

Ndiyo wale wanaosamehewa katika jambo zito walilolifanya, kwa sababu walisema ukweli.

Mbali na hilo ni eneo zinakozalishwa hisia, taarifa dalili za mwili, dalili nzuri na mbaya juu ya jambo fulani na hata kukulinda na hatari zisizoonekana.

Mlango huu ukiwa wazi hulogeki, wala hudhuriki na vitu vibaya visivyoonekana.
Mfano wachawi wakikuvamia usiku utaamka gafla, na usingizi hauji mpaka watu au vitu vibaya viondoke au hali kuwa shwari.

Eneo hili ndiko hutokea nguvu zinazoweza kukukinga na madhara upitapo maeneo yenye roho wabaya Bila kunaswa.

Ni sehemu ya kazi za mlango wa tano, Sababu si sehemu ya mada wacha niendelee na vilivyo sehemu ya Mada.

Kila mtu ana ishara fulani za kimwili, zinazomsaidia kupata taarifa fulani kabla ya Jambo kutokea.
Mfano, kuna watu wakikaribia kupata pesa au kupoteza, huwashwa viganja vya mikono, kope za jicho hucheza n.k.

Mwingine kope, sikio, unywele hucheza akikaribia kupata taarifa ya msiba, harusi, au taarifa fulani mbaya au nzuri.

Zipo ishara nyingi zenye kutoa taarifa Ya yajayo kwa kila mwili wa mtu na ni mwili husika ndiyo unajua maana ya kila ishara Au aina ya taarifa.

Wanaojua ishara hizi, hutoa taarifa kabla ya tukio.
Mfano mimi, mboni ya chini ya jicho la kushoto ikicheza/ kuvuta, lazima msiba utokee.

Hilo ujue usijue lipo, ujue usijue hutokea. Busara ni kujua maana ya taarifa za mwili wako ili ujue kinachokujia mbele, Bila kupiga ramli kwa waganguzi.

Ishara kila mtu anazo, wengi hawajui tu ishara zao ni zipi, Sababu ishara zinatofautiana kati ya mtu na mtu.

Kwa kutojua ishara, alama au lugha ya mwili wako, ni sawa na kushindwa kusikia sauti ya Mungu baba, au Kristo walioko ndani yako, hivyo kukosa masikilizano baina yako wewe wa nje na wewe wa ndani.

Tukirudi kwenye meditation, nako pia tumetofautiana namna ya kupokea matokeo, sababu ya utofauti wa lugha Za miili.

Huyu atapata matokeo ndani ya meditation, na yule nje ya meditation.

Nikiwa na maana kuna wanaopewa matokeo katika maono, ndoto, moja kwa moja, kupitia mtu mwingine n.k.
Hivyo Namna mwingine anavyoweza kupata matokeo inaweza kutofautiana sana na wewe.

Mwili wa mtu ni kama mashine au mtambo ambao unaweka mzigo huku, matokeo unayapata upande mwingine.

Kama kupakua kitu U tube, unapakua kitu huku unakikuta katika eneo fulani la hifadhi.
Kama ni video ina sehemu yake, picha zinasehemu yake, nyaraka na kila kitu kina sehemu yake kinakohifadhiwa.

Kama hujui una weza tafuta kitu katika simu yako na usijue kimehifadhiwa wapi, sababu hujui wapi kwa kupata unachokikusidia kinachoingia na kutoka ndani ya simu.

ishara za mwili hutoa taarifa kupitia mwili bila ubongo, ikiwa na maana ni tendo ambalo liko nje ya uwezo wa mtu.

Katika mlango huohuo ndipo hupitia pia taarifa au maelezo ya kimungu ya moja kwa moja, yanayochakatwa kupitia ubongo.

Taarifa au maelezo hayo ambayo huletwa kupitia ubongo, unaweza kuyaona moja kwa moja kupitia mlango wako wa asili wa mwili wako.

Nimesema mlango wa asili wa mwili wako, nikimaanisha kila mmoja ana mlango wake wa asili wa kupokea maelekezo ya moja kwa moja ya kiMungu.

Katika post ya meditation, nilisema kuna wakati ambao anayemeditate anaweza kuona maono au kupata majibu umo ndani ya meditation.

Hili linawahusu wenye mlango wa asili wa maono, ( wenye uwezo wa kuwasiliana na roho).
Wengine wana milango ya asili ya ndoto.

Mtu huyu akimaliza kumeditate matokeo yake kwa ufasaha atayaona kupitia ndoto, kwa namna tofauti tofauti
Wenye asili ya akili au mawazo.

Mtu huyu akimeditate, matokeo yake yatakuja kwa kuzama katika fikra na kila atakachojiuliza kuhusiana na ombi lake, ataona anapata majibu, na kila kitu kinafunguka kirahisi.

Tuwe pamoja
SISI NI AFRIKA TU UMOJA.
Noma sana!
Sawa sawa
 
MWANZO MPAKA UFUNUO NI SISI
Sehemu ya kwanza (1)

Imeandaliwa na kuandikwa na Dokta Dogoli kinyamkela
1736708435396.jpg


Katika utangulizi tuliona maana ya baadhi ya maandiko Kama mashariki, maji, Eden , Adam nk.

Sasa tuendelee na SoMo letu.

Tuliona pia kuhusu pande mbili kulia na kushoto Sasa hapa tutaanza kuliweka sawa hili.

Upande wa kulia/kiume Ni Ni upande ambao unahusika na Mambo yote ya kiroho.

Na upande wa kushoto Ni upande ambao unahusika na Mambo yote ya kifizikia/kimwili/kibinadamu ( material things).

Kristo ameketi mkono wa kuume, hii inamaana yeye anahusika na mambo ya kiroho Ila Kuna mpinga kristo, chapa ya mnyama 666, haya Ni Mambo yote ya kimwili/kibinadamu au kifizikia, hili tutaelewana zaidi huko mbele katika andiko la chapa ya mnyama.

Mungu alimuumba mtu kwa mfano wake,kwa mfano wa Mungu alimuumba mwanamme na mwanamke.

Mbeleni Tena kwenye mwanzo 3:22 unasema kwamba " Bwana Mungu akasema Sasa huyu mtu amekuwa Kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya, na Sasa asije akanyoosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala akaishi milele".

Katika biblia ya kale Mungu alikuwa anaitwa Elohim, naa inasadikika kwamba Hilo ndiyo lilikuwa jina la kwanza la Mungu.

Elohim Ni neno ambalo liko kwenye uwingi, ambalo Lina kanuni au principal ya kiume na kike, Ile nishati au nguvu ambayo huwa inanyanyuka pale chini kwenye uti wa mgongo (base of the spine) Ni nguvu au nishati ya kike, ambayo katika dini haizungumzii Ila inazungumzwa hii nguvu ya kiume au nishati ya kiume tu.

Maandiko ya kwanza kabisa yalikuwa yanamzungumzia Mungu akiwa na hizo principal au kanuni zote mbili ndani yake.

Lakini dini nyingi zikaitoa hii nguvu ya kike maana hawataki ijulikane Kama nguvu ya kike nayo inahusika au Ni sehemu pia ya MUumbaji mtakatifu.

Ukiangalia katika mwanzo 2:21 unatuambia kwamba " Bwana Mungu akamletea Adam usingizi mzito naye akalala, Kisha akatwaa ubavu wake mmoja akafunika nyama mahala pake."

Hivyo Basi mwanzo inatuambia kwamba maisha yote yametokea baada ya kuikata kata hii Atom, Kama ukiiondoa electron kutoka kwenye Atom Basi huwa inaizidisha Ile nishati au nguvu ya Atom, hivyo Basi kila unapoigawanya atom Basi ndiyo unazidi kuizidisha nguvu yake.

Hivyo Basi Adam na Eva inawakilisha kuigawanya atom ili tuzidi kuuzaalisha ukuaji wa kifizikia.

Katika mwanzo 3:1 inatuambia kwamba " Basi nyoka alikuwa mwelevu kuliko wanyama wote aliowafuga bwana Mungu, Akamwambia mwanamke ,atiii hivi ndiyo alivyowaambia Mungu msile matunda yote ya bustani.

Mwelevu Ni mjuaji hivyo nyoka hapa anawakilisha vipengele vyote vya kifizikia/kimwili/kibinadamu.

Hivyo Basi Eva Ni mfano wa akili/nafsi (mind) katika dhana ya kifizikia ya Adam, Eva (akili/mind) inashawishiwa au inaingizwa majaribuni na Mambo ya kifizikia nyoka (serpent).

Hivyo Basi huwa tunaingizwa majaribuni kupitia mawazo yetu ambayo muda mwingi huwa katika Mambo ya kifizikia zaidi.

Nyoka anatushawishi kula tunda lililokatazwa kutoka kwenye mti wa ujuzi wa mema na mabaya, hapo mema na mabaya Sasa yanachanganywa na kuingiliana, hapo mchanganyo ndipo unapoanzia Sasa, tunajipoteza na kulisahau lile jukumu letu katika haya maisha.

Basi matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya msile na siku mtakayokula matakufa hakika.

Hii Ni pale tunapokuwa kwenye meditation, au ule uzingativu wa Hali ya juu na yuleee Mungu aliye ndani yetu, hapa inatakiwa tuufunge upande wa kushoto wa ubongo wetu/ mawazo.

Hakika mtakufa, hapa hakizungumziwi kifo Cha kifizikia, Ila tunapozongwa na huu upande wa kushoto wa ubongo wetu, au tunapozongwa na kuwa zaidi katika huu upande wa mawazo ya kifizikia Basi tunakuwa tumejiachanisha na upande wa kiroho ambao upande wa kulia.

Ni Nani amewaambia kwamba mko uchi, je mmekula lile tunda la ule mti nilioeaambia msile?.

Mungu hapa anatukumbusha kwamba Wala hajasema kwamba Kuna chochote kibaya juu yetu au juu yako, na je Ni Nani aliekwambia kwamba una makosa na haujafanya kilicho sahihi!!.

Hiki ndicho kinachotokea Sasa ukiwa kwenye nafsi ya chini ( lower self), ambayo inaingozwa na dini, Katiba, makanisa, misikiti, Pamoja na mashirika mengi ya kijamii ambayo yenyewe yapo kwa ajili ya kukutia hofu.na kufanya Uzidi kujiona wewe Ni wa chini tu.

DHAMBI YA ASILI
DHAMBI hii ya asili Wala sivyi Kama wengi ambavyo tunakichukulia, Wala haiusiani na masuala ya kula wa Nini, na Wala haiondoki kwa Njia ya kumwagiwa maji Kama baadhi ya dini zinavyifanya, Ila Ni kitendo Cha kujisahau sisi wa kweli kwamba sisi si hii haali ya kifizikia tuliyo nayo.

Neno DHAMBI (Sin) Ni jina la Mungu mwezi, Abraham aliishi hapa na akaambiwa aondoke kwenye huu mji, yaani aondoke katika maisha ya emotion(hisia) Kwa sababu kuishi kihisia Basi unakuwa unaishi dhambini. kumbuka matukio yetu mengi ya kihisia yanadhibitiwa au kuratibiwa na mwezi.

Ulikuwa nami mwalimu wako Dogoli kinyamkela
Itaendelea.
 
MEDITATION 🧘
🗣️Watu mbalimbali wamekuwa wakianza kupata ufahamu juu ya meditation na wengine tayari wameshaanza kujifunza kufanya kitendo kicho.

🧘🏾‍♀️Meditation ni kitedo cha muhimu kwani kina faida kubwa na wengi waliojitolea muda wao kujifunza meditation (mfano mimi), wamenufaika na meditation.

🗣️ Mwalimu wako Dogoli kinyamkela Nimeona nielezee katika Uzi huu
1736708591343.jpg
na ninaamini itawasaidia wengi wambao wangependa kujua.

***

✍️Kwanza kabisa, kabla ya kufanya meditation ni kufahamu lengo la meditation ni nini, ni muhimu ukufahamu akili ni nini, inafanyaje kazi, energy zinazomzunguka mtu, utambue vyema baadhi ya maelezo ambayo yatasaidia mtu kujua uelewa kidogo kuhusu meditation.

👊Kutambua hivyo itakusaidia kufahamu jinsi meditation inavyofanya kazi katika ufahamu.

👉Tukianza na sababu ya meditationa ni kuweza kufahamu akili yako inavyofanya kazi, kujiepusha na mateso/shida ndogondogo, huepusha hasira, hukupa uwezo mkubwa wa kuwa m'bunifu mfano kama wewe ni mchoraji, mwanamuziki n.k, inakusaidia kuwa na maamuzi sahihi katika maisha yako.

✍️ Na kama utaweza kuwa na maamuzi mazuri katika choices mbalimbali katika maisha itakusaidia sana kwani msingi wa maisha ni choices tunazoweka kila siku na kila saa.

🧘🏾‍♀️ Ukishaweka nia sahihi juu ya meditation kinachofuata ni kufahamu nini kinatakiwa kiwepo kabla ya kufanya meditation. Pia katika imani nyingine kama Wahindi na Wabudha, viongozi wao wa imani wanapata nguvu ya kiimani, ufahamu na wanafunuliwa jicho la tatu kupitia meditation.

🤔 Hata sayansi nayo inaamini Enlightenment inaweza kutokea katika meditation na kumfanya mtu afunguke kiimani.

🧬 Meditation inabadili mpaka DNA na kumpa mtu enlightenment (Ipo siku nitaelezea experience/hali ya enlightenment inakuwaje).

Kuandaa Sehemu ya Meditation.

🧘🏾‍♀️Andaa sehemu nzuri na maalum ambayo utakuwa unafanya meditation.

🛕Mfano inaweza ikawa chumbani unapolala, chagua sehemu au eneo ambalo utakaa chini vyema bila usumbufu, penye hewa nzuri na safi (fresh air), penye hali ya hewa cool au ya kawaida.

🗣️ Ni vyema kuchagua sehemu ambayo hauitumii kwa shughuli nyingine au mfano ukiwa haupiti sana eneo hilo au huweki vitu unavyotumia eneo hilo.

✍️ Ni kwa sababu itapunguza kuwazawaza pale utakapokuwa unataka kunyamazisha akili, inaepeusha kumbukumbu za eneo hilo kuja wakati wa meditation, pia ni vyema kwani meditation ni kama sala, ni kitendo kisafi hivyo ni vyema eneo la kufanyia sala na meditation kuwekwa katika hali nzuri.

📚Ukishachagua eneo unaweza ukaweka vitabu vyako vya imani katika eneo hilo, inategemeana na imani yako.

🥼 Halafu ukishamaliza kinachofuatia tafuta mto wa kukalia ambapo utaukalia. Tafuta mto mzuri ambao ukiukalia hautaumia (kwani utakuwa unakaa kwa muda mrefu). Halafu tafuta nguo za kuvaa ambazo hazibani na zilizo comfortable.

🧘🏾‍♀️Chagua wakati maalumu ambao utakuwa unameditate. Ni vyema kutumia dakika 20 na kuendelea katika kumeditate. Pia meditate kila unapoamka na kila kabla ya kulala.

🧘🏾‍♀️ Baadaye utakapoweza kumeditate vyema utaweza hata kumeditate kwa dakika moja katika kila lisaa.
Ukishajianda hivyo kinachofuatia ni kukaa na kumeditate.
🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️

👆👆 Huo hapo juu kwenye hizo emoji nilizoziweka ndiyo mkao ambao utakaokaa wakati wa kumeditate

👆Huo ni mkao mzuri katika meditation kwani una faida zifuatazo.

🧘🏾‍♀️Unakusaidia damu kuzunguka maeneo ya juu ambapo ndipo sehemu zenye umuhimu katika meditation, zinasababisha energy kutoka kwenye dunia kupitia kwenye uti wa mgongo na kukupa utulivu wakati wa meditation, pose linasaidia chakula kumeng'enywa vyema kutokana na damu kuwepo katika utumbo mdogo vyema.

🗣️Ni mkao mgumu kukaa, mwanzoni miguu huwa inakufa ganzi kutokana na kubanwa lakini amini nakwambia ukijilazimisha baada ya muda mfupi maumivu yanaisha kabisa na unaweza kukaa muda mrefu sana bila kuumia kabisa.

Kuanza meditation

✍️ Ukiwa umeshakaa, kinachofuata ni kuanza meditation. Ukishakaa, relax hakikisha kila kiuongo kimerelax, unganisha mikono yako ubebane pamoja, hisi upendo mwilini mwako, shukuru kwa afya uliyonayo, shukuru kwa jinsi mwili unavyokulindia roho yako iliyohifadhiwa na mwili, hisi furaha, peace, and love within. Halafu vuta pumzi kubwa tano. Vuta pumzi ndani taaaaratibu, halafu pause kidogo then toa pumzi njee.

✍️ TAARATIBU TENA. Wakati huo weka mawazo kwenye pumzi. Baada ya kuvuta pumzi kubwa tano endelea kuvuta pumzi kikawaida huku ukiweka akili kwenye pumzi inavyoingia na kutoka.

🧘🏾‍♀️Unaweka akili kwenye pumzi kwa lengo la kutoweka akili kwenye mawazo. Akili ya mwanadamu haiwezi kukaa bila mawazo. Unapomeditate unaweka wazo kwenye pumzi tu, unaangalia jinsi pumzi inavyoingia na kutoka na kufeel energy inayoingia na kutoka mwilini. Uwe umefunga macho.

🗣️Ni vigumu kwa mara za mwanzo kwa sababu, ni vigumu kutuliza akili katika wazo moja kwa muda mrefu ila we jitahidi kufocus kwenye pumzi tu. Baada ya muda, wakati hauwazi wala haufuati kinachokuja akilini ukiwa unaweka mawazo yako katika kutazama tu jinsi pumzi inavyoingia na kutoka mwilini utaanza kuhisi umeme unakuzunguka mwilini, au kichwa kinakuwa kizito, au umeme unapanda na kushuka kwenye uti wa mgongo na utaanza kuhisi mwili mzima umerelax, hapo utakuwa katika hisia ya meditation. Ni hisia nzuri maana zinakufanya unarelax na mwili unajitengenezea umeme wake.

Asili kweli imejaa mafumbo
by Dogoli kinyamkela

🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️

DIBAJI
Mshana Jr
 
MEDITATION 🧘
🗣️Watu mbalimbali wamekuwa wakianza kupata ufahamu juu ya meditation na wengine tayari wameshaanza kujifunza kufanya kitendo kicho.

🧘🏾‍♀️Meditation ni kitedo cha muhimu kwani kina faida kubwa na wengi waliojitolea muda wao kujifunza meditation (mfano mimi), wamenufaika na meditation.

🗣️ Mwalimu wako Dogoli kinyamkela Nimeona nielezee katika Uzi huu View attachment 3200053na ninaamini itawasaidia wengi wambao wangependa kujua.

***

✍️Kwanza kabisa, kabla ya kufanya meditation ni kufahamu lengo la meditation ni nini, ni muhimu ukufahamu akili ni nini, inafanyaje kazi, energy zinazomzunguka mtu, utambue vyema baadhi ya maelezo ambayo yatasaidia mtu kujua uelewa kidogo kuhusu meditation.

👊Kutambua hivyo itakusaidia kufahamu jinsi meditation inavyofanya kazi katika ufahamu.

👉Tukianza na sababu ya meditationa ni kuweza kufahamu akili yako inavyofanya kazi, kujiepusha na mateso/shida ndogondogo, huepusha hasira, hukupa uwezo mkubwa wa kuwa m'bunifu mfano kama wewe ni mchoraji, mwanamuziki n.k, inakusaidia kuwa na maamuzi sahihi katika maisha yako.

✍️ Na kama utaweza kuwa na maamuzi mazuri katika choices mbalimbali katika maisha itakusaidia sana kwani msingi wa maisha ni choices tunazoweka kila siku na kila saa.

🧘🏾‍♀️ Ukishaweka nia sahihi juu ya meditation kinachofuata ni kufahamu nini kinatakiwa kiwepo kabla ya kufanya meditation. Pia katika imani nyingine kama Wahindi na Wabudha, viongozi wao wa imani wanapata nguvu ya kiimani, ufahamu na wanafunuliwa jicho la tatu kupitia meditation.

🤔 Hata sayansi nayo inaamini Enlightenment inaweza kutokea katika meditation na kumfanya mtu afunguke kiimani.

🧬 Meditation inabadili mpaka DNA na kumpa mtu enlightenment (Ipo siku nitaelezea experience/hali ya enlightenment inakuwaje).

Kuandaa Sehemu ya Meditation.

🧘🏾‍♀️Andaa sehemu nzuri na maalum ambayo utakuwa unafanya meditation.

🛕Mfano inaweza ikawa chumbani unapolala, chagua sehemu au eneo ambalo utakaa chini vyema bila usumbufu, penye hewa nzuri na safi (fresh air), penye hali ya hewa cool au ya kawaida.

🗣️ Ni vyema kuchagua sehemu ambayo hauitumii kwa shughuli nyingine au mfano ukiwa haupiti sana eneo hilo au huweki vitu unavyotumia eneo hilo.

✍️ Ni kwa sababu itapunguza kuwazawaza pale utakapokuwa unataka kunyamazisha akili, inaepeusha kumbukumbu za eneo hilo kuja wakati wa meditation, pia ni vyema kwani meditation ni kama sala, ni kitendo kisafi hivyo ni vyema eneo la kufanyia sala na meditation kuwekwa katika hali nzuri.

📚Ukishachagua eneo unaweza ukaweka vitabu vyako vya imani katika eneo hilo, inategemeana na imani yako.

🥼 Halafu ukishamaliza kinachofuatia tafuta mto wa kukalia ambapo utaukalia. Tafuta mto mzuri ambao ukiukalia hautaumia (kwani utakuwa unakaa kwa muda mrefu). Halafu tafuta nguo za kuvaa ambazo hazibani na zilizo comfortable.

🧘🏾‍♀️Chagua wakati maalumu ambao utakuwa unameditate. Ni vyema kutumia dakika 20 na kuendelea katika kumeditate. Pia meditate kila unapoamka na kila kabla ya kulala.

🧘🏾‍♀️ Baadaye utakapoweza kumeditate vyema utaweza hata kumeditate kwa dakika moja katika kila lisaa.
Ukishajianda hivyo kinachofuatia ni kukaa na kumeditate.
🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️

👆👆 Huo hapo juu kwenye hizo emoji nilizoziweka ndiyo mkao ambao utakaokaa wakati wa kumeditate

👆Huo ni mkao mzuri katika meditation kwani una faida zifuatazo.

🧘🏾‍♀️Unakusaidia damu kuzunguka maeneo ya juu ambapo ndipo sehemu zenye umuhimu katika meditation, zinasababisha energy kutoka kwenye dunia kupitia kwenye uti wa mgongo na kukupa utulivu wakati wa meditation, pose linasaidia chakula kumeng'enywa vyema kutokana na damu kuwepo katika utumbo mdogo vyema.

🗣️Ni mkao mgumu kukaa, mwanzoni miguu huwa inakufa ganzi kutokana na kubanwa lakini amini nakwambia ukijilazimisha baada ya muda mfupi maumivu yanaisha kabisa na unaweza kukaa muda mrefu sana bila kuumia kabisa.

Kuanza meditation

✍️ Ukiwa umeshakaa, kinachofuata ni kuanza meditation. Ukishakaa, relax hakikisha kila kiuongo kimerelax, unganisha mikono yako ubebane pamoja, hisi upendo mwilini mwako, shukuru kwa afya uliyonayo, shukuru kwa jinsi mwili unavyokulindia roho yako iliyohifadhiwa na mwili, hisi furaha, peace, and love within. Halafu vuta pumzi kubwa tano. Vuta pumzi ndani taaaaratibu, halafu pause kidogo then toa pumzi njee.

✍️ TAARATIBU TENA. Wakati huo weka mawazo kwenye pumzi. Baada ya kuvuta pumzi kubwa tano endelea kuvuta pumzi kikawaida huku ukiweka akili kwenye pumzi inavyoingia na kutoka.

🧘🏾‍♀️Unaweka akili kwenye pumzi kwa lengo la kutoweka akili kwenye mawazo. Akili ya mwanadamu haiwezi kukaa bila mawazo. Unapomeditate unaweka wazo kwenye pumzi tu, unaangalia jinsi pumzi inavyoingia na kutoka na kufeel energy inayoingia na kutoka mwilini. Uwe umefunga macho.

🗣️Ni vigumu kwa mara za mwanzo kwa sababu, ni vigumu kutuliza akili katika wazo moja kwa muda mrefu ila we jitahidi kufocus kwenye pumzi tu. Baada ya muda, wakati hauwazi wala haufuati kinachokuja akilini ukiwa unaweka mawazo yako katika kutazama tu jinsi pumzi inavyoingia na kutoka mwilini utaanza kuhisi umeme unakuzunguka mwilini, au kichwa kinakuwa kizito, au umeme unapanda na kushuka kwenye uti wa mgongo na utaanza kuhisi mwili mzima umerelax, hapo utakuwa katika hisia ya meditation. Ni hisia nzuri maana zinakufanya unarelax na mwili unajitengenezea umeme wake.

Asili kweli imejaa mafumbo
by Dogoli kinyamkela

🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️🧘🏾‍♀️

DIBAJI
Mshana Jr
Noma sana!
 
Braza huu uzi mzuri sana sema natamani ungekuwa unamaliza somo moja kabla ya kuingia lingine. Mfano lile la kwanza kabisa uliloezea chakra ya koo, ulisema utaendelea lakini ukaja na somo lingine. Mie nauliza je chakra ya koo naifunguaje?
Halafu somo la pili la spiritual meditation, je nafanyaje ili nijue mimi ni nani?
Sisi wengine vichwa maji, masomo yakichanganywa changanywa hatuelewi😜
 
Back
Top Bottom