Fahamu matokeo ya meditation

Fahamu matokeo ya meditation

Washa mishumaa ya nta kwa muda wa saa moja au mawili kabla ya kulala hii itakufanya ulale kwa utulivu na kukumbuka ndoto zako
 
Wakati mnaaminishwa kuwa uchawi ni ushirikina sio sayansi ,hivi ni baadhi ya vyuo duniani vinavyofundisha uchawi

1.chuo kikuu cha exeter: hutoa sanaa katika sayansi ya uchawi na miujiza

hii ilikuwa shahada ya kwanza ya uchawi inayotolewa na chuo kikuu cha uingereza.

2.chuo kikuu cha edinburgh: hutoa digrii ya parapsychology, ambayo inajumuisha kozi za uchawi, paranormal, na mada zingine.

3.chuo kikuu cha Amsterdam: inatoa utaalam katika mafundisho ya siri na uchawi.

4. chuo kikuu cha newcastle: kinatoa kozi ya uchawi

5. chuo kikuu cha pennsylvania press: kilichapisha kitabu kiitwacho uchawi, matambiko
1737230346204-jpg.3205667
, na muujiza
 
Chukua mikojo weka kwenye chupa nyeupe pamoja na vijiko vitatu vya sukari

Baada ya hapo chukua kipande cha karatasi ngumu na andika jina la muhusika ambaye hutaki ahame au aondoke kwako KWA wino mwekundu Kisha weka pia kwenye hiyo chupa

Kisha kaifukie juu chini kwenye kona ya mashariki ya nyumba yako.
1737257453071.jpg
 
KUVUTA PESA

siku ya jumapili shams na saa ya shams tafuta karatasi nyeupe pepe andika namba 2121 ziwe arobaini yaani hii ni moja tu 2121 sasa ya pili 2121 hadi arobaini.ila ukiandika andika kwa kuzungusha duara usiache nafasi liwe duara .kesha hapo kati andika jina lako wewe na mama yaani salehe ashura .chukua karatasi FUSHA uvumba na manemane kwa pamoja kazi hizi saa 7 :30 mchana na nusu ukimaliza kufusha weka kwenye Kipochi chako kama herizi tu funga kitambaa cheupe shonea kama herizi au weka hivo hivo .ila Kipochi kisiwe cheusi .kiwe rangi yoyote ile nyeusi hapana .na mandishi andika kwa wino mwekundu 🤝useme Manuwizi yako ya kuvuta pesa na ukiamua kufunga herizi ndani ya herizi weka sumaku na pesa ya shaba na silver yaani mia mbili na mia tano unagandanisha na sumaku kulia shaba kushoto silver kesha weka karatasi yako funga kitambaa chako shonea .kila jumapili saa 7 :30 FUSHA herizi yako wiki nzima utapokea maokoto kama unafanya biashara UTAUZA sana
 
Pesa ni za mamon.ukifanya naye makubaliano ao mapatano unakuwa tajiri .mtu hasikudanganye.pesa zote duniani ni zashetani.
1737259739342.jpg
 
MWANZO MPAKA UFUNUO NI SISI
Sehemu ya pili (2)

Imeandaliwa na kuandikwa na Dogoli kinyamkela
1737265657839.jpg


Tunaendelea na sehemu yetu katika andiko letu Hili.
Tuna Adam (Atom) ambayo ndiyo chanzo Cha vitu vyote vya kifizikia.

Pia tuna kukata kata Atom ambayo kule ndiyo tunaambiwa kutoka kwenye ubavu wa Adam, hapa Ni tendo la kuzizidisha spishi (species) kwani Kadri atom inavyokatwa katwa ndiyo inaizidisha nguvu, au nishati kwenye maisha.

Tukija Eva mwenyewe Ni Kama mawazo, au Yale mabadiriko ya ukuaji wa spishi ( species), Ule uwezo wa kufanya maamuzi, Hivyo Basi kwa kutumia mawazo yetu tunnaweza kufanya maamuzi yalio sahihi au batili.

Nyoka tumeona kwamba yeye Ni ni uti wa mgongo, ambao ndiyo kishawishi Cha mwili.

Tumechagua kile ambacho tulikiona kinafaa ambayo Ni uovu(evil) na hapo moja kwa moja tunakuwa tumejiondoa kwenye bustani ambao Ni ule upande wa kulia unaohusika na masuala yote ya kiroho, tuko kwenye ufizikia au upande wa kushoto.

Hizi pande mbili ambazo tunazichagua na kupambana nazo ziko ndani yetu kwa kila mmoja wetu, Huu upande wa kushoto ndiyo Cain ambao unahusika na mambo ya kifizikia, kidunia, hisia, Tamaa za kiakili tulizo nazo, Lakini upande wa kulia wenyewe unahitaji turudi na kuwa wamoja na Mungu, huu upande wa kulia ndiyo Abel, upande ambao unahusika na mambo ya kiroho.

Tunaona upande wa kushoto una uwezo wa kuuua upande wa kulia ambao Ni upande wa kiroho.

Wana wa Mungu wakaingiliana na watoto wa kike wa binadamu, hapa Ni zile tamaa zetu za kihisia zikiwa zimechanganyana na Ile upande mtakatifu ndani yetu, Na hapa ndipo dini zinapoibuka, ndani ya dini Kuna Mambo mengi tu mazuri ambayo wamekuwa wakiyafanya Kama kuwasaidia wahitaji, kuomba na kuimba huku wakimtukuza Mungu, lakini zimejichanganya naa huu upande wa Cain au wa kusboto, hivyo kujiona kwambaa wao ndiyo wenye upendeleo mkubwa kutoka kwa Mungu kuliko wengine, na hapa ndiyo majivuno (egos) yanapoibuka Sasa.

Wakawa na tamaa na kuanza kuwatala watu, na majivuno yakajiingiza ndani, hivyo tumelitengeneza bomu hatari la majivuno (egos) ndani yetu ya kujiona sisi Ni Bora kuliko wale, huku wale nao wakijiona wao Ni Bora kuliko wengine.

Kwenye dini tuna Ile dhana ya mgawanyo wa mema na mabaya.

Wote tumehusika kwenye kuitaka kata Atom/manii(sperm), mgawanyo wa Adam na Eva na maelezo yote ambayo tumeyaona huko juu.

MADARAJA/HATUA ZA UFAHAMU

DUNIA/Udongo(EARTH)
Dunia inawakilisha akili na machafuko, na hapa ndiyo tunakuja kupata uwili ndani ya asili ya kila kitu ndani yetu. Bila uwili hakuna machafuko, Kama ilivyoelezewa kwenye habari ya safina ya nuhu kwamba wanyama waliingia kwa pea pea yaani mke na mume, hiyo Ni hatua ya kwanza kabisa ya uzingativu (meditation) katika hii Hali yetu ya kifizikia. huko mbeleni tutaliangalia zaidi hili.

MAJI(WATER)
Maji yanawakilisha hatua inayofuata ya ufahamu, Tunapokuwa kwenye uzingativu (meditation) Kisha maji yakaanza kutiririka au sauti ndani yetu Basi hapa tunakuwa tunapaa na kuingia kwenye viwango vya kiroho.

Na haya ndiyo mafuriko Sasa ambayo yanasafisha machafuko yooote Yale ya kiakili ndani yako, Na hii inatokea pale unapokuwa katika uzingativu (meditation) wa amani ndani yako. Na huu ndiyo ubatizo kamili, na ubatizo Wala hautokea kwa kutumbukizwa au kuzamishwa au kumwagiwa maji.

Na hapa Sasa mahusiaano yetu na ulimwengu huu yanabadirishwa na Kama tambiko Basi hii ndiyo hatua ya kwanza la zoezi la kubadirishwa kutoka kuwa wa kidunia na kuingizwa kwenye ulimwengu wa roho.

Rejea ubatizo wa yohana mbatizaji hauna tofauti na hii habari ya safina.

HEWA/UPEPO (AIR)

Hapa Sasa tunaenda viwango vya juu, tunanyanyuka kutoka ule ufahamu wa maji na kuingia kwenye ufahamu wa hewa ambao unatuwekq huru kutoka kwenye mawazo na kuunganishwa kwenye Ile amani ya ndani.

Hatua ya kwanza Ni akili (mind) ambayo iko katika mawimbi ya beta 26 (beta waves) kwa mzunguko wa sekunde moja.

Hatua ya pili na ya tatu Ni mawimbi ya alpha (alpha waves) ambayo Ina mizunguko 14 kwa sekunde moja.

Lakini tunapoja hapa kwenye hewa mapigo yanapungua mpaka na kuwa mawimbi ya theta ambayo ina mizunguko 8 kwa sekunde moja.

Na hatua ya mwisho Ni mawimbi ya Delta ambayo ina mizunguko 4 tu kwa sekunde.

Hivyo kitendo chakuwa kwenye uzingativu au utulivu wa kiroho (meditation) kisayansi kabisa kinashusha hii mizunguko ya kiakili (mind), hivyo Basi mti wa ujuzi na mambo ya kiulimwengu yenyewe yapo kwenye hii mizunguko 26 kwa sekunde moja, na matokeo yake Ni machafuko, majungu, chuki, husda, nk.

Lakini pia hataa kusikiliza muzuki kunaweza kuyashusha haya mawimbi kutoka beta mpaka alpha, lakini siyo kitu Cha kudumu, yaani utayashusha kipindi kile unasikiliza na baada ya hapo yanarudi Tena.

Inabidi tutambue lengo letu kwenye akili Ni Nini ili tuweze kumjua yuleee kristo ndani yetu ili tuweze kuwa huru na kuwa kote kwa wakati mmoja.

Kitendo Cha kutoka mawimbi ya alpha mpaka theta Ni kile kitendo Cha bahati nyekundu inapofunguka ndani yetu, Na hapo Sasa tunaingia katika nchi ya ahadi tuliyoahidiwa,kutokana na kutokuwa na mawazo yenye chuki na machafuko Na hapo tunakuwa wamoja na Ile Roho iliyo ndani yetu.

Na hiyo ndiyo maana ya tutanyakuliwa kumlaki Bwana yesu mawinguni.

MOTO

Ubatizo wa Moto unakuja baada ya ule ubatizo wa hewa, na hapa ndiyo utakaso wa roho kupitia nafsi.

Kila kitu kiwezacho kuhimili moto, mtakipitisha katika moto, nacho kitakuwa safi, pamoja na haya kitatakaswa kwa hayo maji ya farakano, na kila kitu kisichouhimili Moto mtakipitisha katika hayo maji.

Sehemu za kiroho Zina mwanzo na mwisho, lakini pia Ni za milele, Ulimwengu wa roho una hatua zake tulishafundishana huko nyuma kwamba ukitoka hatua moja unaenda nyingine, Na tuko kwenye hiyo safari wote Ila kabla ya kubatizwa kwa Moto kwanza inatakiwa uanze kubatizwa kwa maji, ubatizo tumeshauzungumzia huko juu na sio Ile ambao wengi walikuwa wanaujua.

AKILI MPYA (renewed mind)

Baada ya hizo hatua za juu kukamilika, Sasa tunaingia kwenye kuzaliwa upya, Hapo Sasa tunakuwa Wamoja na baba yetu, wamoja na Mungu wetu, hapo tunakuwa Sisi Ni yeye na yeye Ni sisi.

Hatua hizo tunafanikiwa kuzifikia na kuzivuka tukiwa katika meditation au tajajudi ya Hali ya juu, inayopelekea kunitambua sisi wa kweli, Na hapo ndiyo tunakuwa tumeufikia ule.ufahamu wa kristo ndani yetu kupitia tajajudi (meditation).

Thomaso Akamwambia " bwana sisi hatujui uendako, nasi tutaijuaje Njia??.

Yesu Akamwambia Mimi ndimi Njia ya kweli na uzima, mtu haji kwa baba Ila kwa Njia ya Mimi.

Ulikuwa nami mwalimu wako Dogoli kinyamkela

Itaendelea.
 
✨ Is Your Relationship in Conflict with Your Ancestors? Discover the Signs Amadlozi Don’t Approve! ✨ For Booking/ Consultation,- Call📱 Or WhatsApp Dogoli kinyamkela today, 📞 +255625535964
1737265778643.jpg
. ✨

Relationships are sacred, and the energy between you and your partner should be harmonious. However, if your ancestors (Amadlozi) are not in alignment with your relationship, it can bring negative energy, struggles, and misfortunes. Here are key signs to watch for if you suspect your ancestors are not in agreement:

Signs Amadlozi Don’t Approve of Your Relationship:

1. Lack of Positive Dreams: You don’t dream about each other, and when you do, the dreams are full of negativity or bad energy.
2. Misfortunes & Struggles: Constant challenges in your relationship; you both feel stuck or are struggling to move forward together.
3. Unexplained Conflicts: Regular arguments that seem to have no clear cause, leaving both of you confused and frustrated.
4. Positive Changes When Apart: Things start improving when you are separated, whether physically or emotionally.
5. Spiritual Opposition: Your partner openly opposes your spirituality or doesn’t support your spiritual practices, causing division and tension.

The Spiritual Impact of Disharmony:

When your ancestors are not in alignment with your relationship, it can lead to emotional pain, spiritual disconnection, and an inability to grow together. The energy in your relationship may feel heavy, and you might experience a sense of being spiritually blocked or even cursed.

Healing and Restoration:

If you recognize these signs, it’s essential to seek spiritual guidance and healing. With a deep understanding of ancestral connection, I can help restore balance in your relationship, remove negative energy, and guide both of you toward a harmonious union.

💫 Contact Me Today for a spiritual consultation. Let’s work together to clear the obstacles, heal your relationship, and bring peace, love, and alignment back into your life.

Don’t let spiritual disharmony control your happiness—take action now and restore balance with the guidance of your ancestors. 🌿 For Booking/ Consultation,- Call📱 Or WhatsApp Dogoli kinyamkela today, 📞 +255625535964. ✨
 
Thokozani 🕯️👏🏻🙏
As adults, we often realize the harm caused to us as children, like family curses meant to hurt our parents and stop them from finding joy in us. Some family members steal our luck so their own children can succeed, pretending to care while causing pain. Many of us struggle in life because of this.

Parents, pray for your children, take them for cleansings, and break curses in their lives. This can help reduce issues like addiction, crime, bad relationships, miscarriages, and struggles in education or work. Your children will have a better chance at a better life. Camagu 👏
1737265978505.jpg
👏
 
Kama kuna mtu unampenda na anakuzingua basi chukua karatasi aliyoandika KWA kalamu ya wino alafu ivae KWA muda wa siku tisa

Baada ya hapo ichukue kisha loweka katika maji alafu ogea

Asili ni maf
1737308642075.jpg
umbo
 
Kama unahitaji kuwa na bahati ya kifedha Basi chukua mkojo wako, changanya na sukari pamoja na mafuta ya mdalasini au KARAFUU alafu kati ya saa 12 na saa tatu asubuhi basi tumia kusafishia pochi yako unayotembea nayo pia ogea ukitazama jua linapochomoza
1737308772547.jpg
 
Ukiona mtu kafukia pesa basi ujue kuna damu ya mtu imemwagika

Usione mtu ni tajiri ukahisi anafurahia maisha😅😅😅

Siwezi kusema ila nitakuja na tahadhari ya kujikinga na watu wa namna hiyo

Siwezi kufundisha namna pesa inavyotafutwa ni hatari sana, kwani dunia haitakuwa salama na jukumu la mkushi ni kuilinda jamii

Watu wanatesa familia zao kisa utajiri ila lazima ujue kuna karma ,kifo cha tajiri wa namna hii huwa cha mateso mno

💸asili n
1737308884298.jpg
1737308882271.jpg
i mafumbo
 
Mkuu tangia Mwaka mpyaa sijagusa Kabisa nikivuka huu mwezi napiga Sherehe ..yunivesori ya kuachana na Pombe

Ule muda wa pombe unapofika tafuta kitu cha kufanya hata mazoezi ya kutembea baiskeli kukimbia nk ukishindwa kabisa Tafuta Mchepuko ...yaani mida ya zimwi la pombe ikifika wewe shwaaa kwa mchepuko
 
JICHO LA TATU👀👀👀👁👁👁👁👁👁👁

👉hii ni chakra ya sita katika ufunguzi wa chakra saba.

👉hii hupatikana katika paji la uso

🗣pia imezungumzwa katika bibilia kama ifuatavyo:

Luka 11:34-36
[34]Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote unao mwanga; lakini likiwa bovu, mwili wako nao una giza.

[35]Angalia basi, mwanga ulio ndani yako usije ukawa giza.

[36]Basi kama mwanga umeenea katika mwili wako wote, wala hauna sehemu iliyo na giza, mwili wako wote utakuwa na mwanga mtupu; kama vile taa ikumulikiapo kwa mwanga wake.

ZINGATIA👇
Kufikia chakra ya sita ambayo ni jicho la tatu sio jambo jepesi na rahisi .Inahitaji uvumilivu sana kwa kuzingatia masharti
1737708883986.jpg
ya kila chakra.
 
🖲️🖲️NAMNA YA KUSAFISHA AURA YAKO KUTOKANA NA HALI HASI🖲️🖲️

1. Kuoga kwa Chumvi ya mawe

✍️Chumvi wakala bora wa utakaso wa asili. Huondoa nguvu zako hasi na kutakasa aura yako kichawi.

2. Tembea kwenye mvua

✍️Maji ya mvua ni maji matakatifu. Kutembea huku mvua ikinyesha na kuwazia nguvu zako hasi zikioshwa na matone ya maji kunaweza kukusaidia kusafisha aura yako.

3. Kaa kwenye mwanga wa jua

✍️Mwanga wa jua ni mojawapo ya vyanzo bora vya kupokea nishati ya ulimwengu wote. Inafanya kazi kama mafuta kwa nishati yako ambayo inalisha na kupanua aura. Kwa hivyo kutembea nje kwenye jua ni afya sana kwa akili, mwili na roho haswa kutembea bila viatu kwenye nyasi.

4. Urafiki chanya

✍️Watu unaozunguka nao, wana athari kubwa kwenye aura yako. Jizungushe na watu ambao wana mtazamo mzuri na wa kutia moyo maishani.

5. Weka nia ya kufunga aura yako
Ukweli ni kwamba tunaishi pamoja na wanadamu wengine na auras zetu huvuka, kuungana na kuingiliana.

✍️Mwingiliano huu huongeza uwezekano wa aura zetu kuchanganyikana. Kwa hivyo ni muhimu kusafisha aura yako haswa ikiwa unajali nguvu za wengine.

✍️ Ili kuweka aura yako karibu na wewe, fikiria aura inakuzunguka , iliyoshikana na isiyoweza kupenyeka. Kwa njia hii, aura yako huvuka kidogo na kuifanya iwe hatarini kwa nguvu za nje.

6. Tiba ya Sauti

✍️Sauti inachukuliwa kuwa moja ya zana bora za uponyaji tangu nyakati za zamani. Sauti maalumu itasafisha nishati yako. Kusikiliza sauti hizi kabla ya kulala kunaweza kusaidia sana ustawi wako kwa ujumla.

✍️Kufahamu hizo sauti jiunge what's up group

7. Punguza muda wako na vifaa vya elektroniki

✍️Mionzi inayotolewa na vifaa vya kielektroniki inaweza kuwa hatari kwa uwanja wako wa nishati. Vifaa kama simu,computer,radio,tv, generator n.k

8. Mafuta maalumu

✍️Mafuta muhimu hubeba mtetemo mzuri . Maua yenye harufu kama vile waridi na jasmine yanaweza kuruhusu nishati chanya kuzunguka katika eneo lako la nishati.

✍️Hivyo ukiwa unapaka mafuta ya waridi na yasmini basi aura Yako itan'gaa sana.

✍️Kupata
1737709185004.jpg
mafuta haya ,jiunge what's up group.
 
Wakushi tunaaamini katika uwili badala kuamini KATIKA mungu mmoja, katika uchawi na katika maisha ya KAWAIDA.

kwa hivyo nguvu mbaya si nguvu tofauti za kipepo zinazopaswa kutokomezwa, bali ni nguvu inayotokana na kutengwa na utaratibu wa asili wa mambo.

hata hivyo, hata yale mambo ambayo ni mabaya yanaweza kutenda kama vichocheo vya mabadiliko;

kifo na mwisho ni sehemu kubwa ya mzunguko wa maisha kama vile kuzaliwa na kufa,giza na mwanga, usiku na mchana, chanya na hasi, uharibifu na uumbaji ni pande mbili za sarafu moja, kanuni ambayo inaonekana katika Imani za asili Duniani kote na mara nyingi hutumika kwenye uaguzi.

Hasi inaweza kubadilishwa kuwa
nguvu za uponyaji kupitia mila chanya.

mungu wa kike ndiye chanzo cha uumbaji wote,

MUNGU MKE na MUNGU mume
hutenda na kuitikia, si kwa kupingana, bali kama sehemu zinazosaidiana na zinazohitajika kwa ujumla.

kuna tofauti juu ya wazo hili ndani ya mafundisho ya wakushi

mila zingine huzingatia mungu wa kike kuwa wa maana zaidi kuliko mwenzake wa kiume.

wengine huwachukulia kuwa sawa, wakichukua vipengele tofauti kulingana na msimu na matambiko:

MUNGU WA kike hueshimika kama mungu wa dunia au mwezi, mtawala wa miezi ya kiangazi na MUNGU WA kiume uheshimika kama jua au mtawala wa majira ya baridi na bwana wa kuzimu baada ya kifo chake.
 
Back
Top Bottom