Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
- Thread starter
- #141
..........SISI NI NANI (WHO ARE WE)❓........
✍️✍️✍️✍️What define us?✍️✍️✍️✍️
Sehemu ya kwanza.
Muandishi ni 👇👇
🤜Na Dogoli kinyamkela
Sisi ni viumbe Nuru(we are light being),sisi ni Nuru yenyewe, sisi ni Chanzo(source), sisi ni mmoja/moja(we are one),sisi ni MUNGU, sisi ni ADAM/ATUM/ATOM...
Mliosoma Atomic physics mtanielewa japo hamkupewa lishe nzima Leo napaacha..
Ebu nijaribu hivi!!.....
MWILI ili uweze Kuitwa MWILI unaudwa na Muunganiko wa Viungo vingi ambavyo ni
🔸Kichwa...
🔸Shingo..
🔸Mikono...
🔸Kiwiliwili...
🔸Miguu..nakadharika,nakadharika
mfano...👇
◾Kichwa kina Ubongo,masikio,macho, kinywa(Midomo,ulimi,meno),Nywele,n. K
◾Mikono Ina viganja,viwiko,vidole na kucha..
◾Kiwiliwili Kuna Tumbo, Moyo, Ini, mbavu, njia za haja kubwa na ndogo n. K....
◾Miguu Ina mapaja, magoti, ugoko na kanyagio
👉Hivi vyote vikiunganishwa huitwa MWILI( mmoja/moja) unaotokana na Viungo vingi, kwahiyo Viungo hivyo vinapata sifa ya Kuitwa MWILI/BODY kwa sababu Viungo hivyo vimesababisha uwepo wa mwili na bila Viungo hivyo huyo kiumbe mkubwa MMOJA mwenye Viungo vingi akikosa hivyo Viungo hawezi kuwepo, hakutokuwepo kitu kiitwacho MWILI.
👉Kwa mfano Kichwa Kikijiona chenyewe kuwa ni mkuu kuliko Viungo/sehemu zote za mwili, Ebu fikiria Tumekikata kichwa Kisha tukakiweka pembeni, Sasa JE Kuna yeyote atakiita kichwa kuwa ni MWILI? Kwa hakika hapana Bali jamii itasema "HIKI NI KICHWA CHA MWILI WA BINADAMU" Kwamba tayari kimepoteza sifa ya kuwa MWILI. sijui mfano huu ninaeleweka?
👉Sasa hata Katika Dhana(nadharia) ya Mungu, we are all gods and Goddess. Kwamba sote ni Mungu wa kike kwa kiume, Na kitenda wili na Fumbo la Imani ni Kwamba tunafikiri sisi ni tofauti kwa kutazama mwonekano wetu wa sura za nje, kumbe sisi sote ni mmoja yule yule kivipi?
👉Anaitwa THE ONE Yani MMOJA, sindio MUNGU ni mmoja kwa mujibu wa Imani/Dini yako? Sasa sisi sote Kwa pamoja ni KIUMBE MMOJA MKUBWA (MUNGU) hatembei, haendi mbele Wala nyuma Bali yeye ni UFAHAMU (consciousness) mmoja tu yupo tuli/ametulia. Kwamba tunaona sisi ni viumbe tofauti tunaofanya kazi tofauti mfano Huyu anakula, yule analima na Mwingine anaendesha Gari na yule Amelala... Lakini kumbe ni Kiumbe MMOJA tu anayeyafanya hayo yote kwa Pamoja. Ukiingia kwenye injili ya Siri iliyofichwa na kutolewa kwenye biblia na msahafu iitwayo injili ya Yohana(THE SECRET GOSPEL OF JOHN) utamuona huyo THE ONE ameelezewa kwa uzuri kabisa humo
👉Tukirudi nyuma nilisema sheria namba moja Katika sheria za ulimwengu(universal laws) iitwayo "Sheria ya umoja wa Mungu(THE LAW OF DIVINE ONENESS) inasema kila kitu kimeunganishwa na kitu kingine hivyo hakuna utengano Kwa sababu kila kitu ndani yake kina Chanzo ambacho ni nishati/energy ama Katika Dini huiita " ROHO" na uzuri Wana Dini pasipo shakha huamini Mungu ni Roho ijapokuwa Huwa hawajui kuwa wanaomtafuta nje yumo ndani yao kwani sisi sote ni viumbe vya Kiroho tunavaa hii miili yetu ya kifizikia kwa Kusudio maalumu Kwamba tupo Katika ulimwengu wa utashi wa chini(3D) ili kukuza Ufahamu wetu ili tushift/tuhame kuelekea Katika ulimwengu(Dimensions) za juu zaidi na tusiendelee Kuzaliwa hapahapa Duniani, ni muhimu kutambua kuwa neno KUFA halipo Bali tuseme kushift frequence(kubadili mwonekano wetu na hata mazingira Kwa sababu nishati/nguvu/energy can neither be created nor destroyed Yani nishati(Roho) haikuumbwa na Wala Haina mwisho(haifi),Ndiomaana tunasema Universal energy au Cosmic energy ndiye muumbaji Yani MUASISI WA VITU VYOTE, Yaani Alpha (zero Quantum Energy)
✍️Wewe mgeni, wewe MTU wa Dini Ebu jiulize maswali haya machache Tena jiulize ukiwa mbele ya kioo, fanya hivi👇
◾Kaa mbele ya kioo chako...
◾Ongea na mtu aliye mbele yako anayefanania na wewe kwa 100%
◾Jiulize Mimi ni Nani?
◾Hizi nguo nilizo zivaa ni za Nani? Hakika utajijibu kuwa ni zako lakini ukitambua kuwa wewe sio hizo nguo.
◾Jiulize huu mkono ni wa nani, hakika unauakika kuwa ni mkono wako huo Ila unajua kuwa wewe sio huo mkono,
◾Jiulize Tena huo mwili unaouona Katika hicho kioo ni WA Nani? Kwa ufasaha akilini utajijibu kuwa huu ni MWILI WANGU, Sasa kwanini Automatically unajitenga na huo mwili?
Sasa swali Kama huo ni mwili wako, JE wewe ni Nani, wewe ni kitu gani haswa❓
Jitafute..... 🚶
Somo litaendelea......
Imeandikwa na Dogoli kinyamkela... ✍️
Kalibun jijini Whatsapp 👇🏼👇🏼
✍️✍️✍️✍️What define us?✍️✍️✍️✍️
Sehemu ya kwanza.
Muandishi ni 👇👇
🤜Na Dogoli kinyamkela
Sisi ni viumbe Nuru(we are light being),sisi ni Nuru yenyewe, sisi ni Chanzo(source), sisi ni mmoja/moja(we are one),sisi ni MUNGU, sisi ni ADAM/ATUM/ATOM...
Mliosoma Atomic physics mtanielewa japo hamkupewa lishe nzima Leo napaacha..
Ebu nijaribu hivi!!.....
MWILI ili uweze Kuitwa MWILI unaudwa na Muunganiko wa Viungo vingi ambavyo ni
🔸Kichwa...
🔸Shingo..
🔸Mikono...
🔸Kiwiliwili...
🔸Miguu..nakadharika,nakadharika
mfano...👇
◾Kichwa kina Ubongo,masikio,macho, kinywa(Midomo,ulimi,meno),Nywele,n. K
◾Mikono Ina viganja,viwiko,vidole na kucha..
◾Kiwiliwili Kuna Tumbo, Moyo, Ini, mbavu, njia za haja kubwa na ndogo n. K....
◾Miguu Ina mapaja, magoti, ugoko na kanyagio
👉Hivi vyote vikiunganishwa huitwa MWILI( mmoja/moja) unaotokana na Viungo vingi, kwahiyo Viungo hivyo vinapata sifa ya Kuitwa MWILI/BODY kwa sababu Viungo hivyo vimesababisha uwepo wa mwili na bila Viungo hivyo huyo kiumbe mkubwa MMOJA mwenye Viungo vingi akikosa hivyo Viungo hawezi kuwepo, hakutokuwepo kitu kiitwacho MWILI.
👉Kwa mfano Kichwa Kikijiona chenyewe kuwa ni mkuu kuliko Viungo/sehemu zote za mwili, Ebu fikiria Tumekikata kichwa Kisha tukakiweka pembeni, Sasa JE Kuna yeyote atakiita kichwa kuwa ni MWILI? Kwa hakika hapana Bali jamii itasema "HIKI NI KICHWA CHA MWILI WA BINADAMU" Kwamba tayari kimepoteza sifa ya kuwa MWILI. sijui mfano huu ninaeleweka?
👉Sasa hata Katika Dhana(nadharia) ya Mungu, we are all gods and Goddess. Kwamba sote ni Mungu wa kike kwa kiume, Na kitenda wili na Fumbo la Imani ni Kwamba tunafikiri sisi ni tofauti kwa kutazama mwonekano wetu wa sura za nje, kumbe sisi sote ni mmoja yule yule kivipi?
👉Anaitwa THE ONE Yani MMOJA, sindio MUNGU ni mmoja kwa mujibu wa Imani/Dini yako? Sasa sisi sote Kwa pamoja ni KIUMBE MMOJA MKUBWA (MUNGU) hatembei, haendi mbele Wala nyuma Bali yeye ni UFAHAMU (consciousness) mmoja tu yupo tuli/ametulia. Kwamba tunaona sisi ni viumbe tofauti tunaofanya kazi tofauti mfano Huyu anakula, yule analima na Mwingine anaendesha Gari na yule Amelala... Lakini kumbe ni Kiumbe MMOJA tu anayeyafanya hayo yote kwa Pamoja. Ukiingia kwenye injili ya Siri iliyofichwa na kutolewa kwenye biblia na msahafu iitwayo injili ya Yohana(THE SECRET GOSPEL OF JOHN) utamuona huyo THE ONE ameelezewa kwa uzuri kabisa humo
👉Tukirudi nyuma nilisema sheria namba moja Katika sheria za ulimwengu(universal laws) iitwayo "Sheria ya umoja wa Mungu(THE LAW OF DIVINE ONENESS) inasema kila kitu kimeunganishwa na kitu kingine hivyo hakuna utengano Kwa sababu kila kitu ndani yake kina Chanzo ambacho ni nishati/energy ama Katika Dini huiita " ROHO" na uzuri Wana Dini pasipo shakha huamini Mungu ni Roho ijapokuwa Huwa hawajui kuwa wanaomtafuta nje yumo ndani yao kwani sisi sote ni viumbe vya Kiroho tunavaa hii miili yetu ya kifizikia kwa Kusudio maalumu Kwamba tupo Katika ulimwengu wa utashi wa chini(3D) ili kukuza Ufahamu wetu ili tushift/tuhame kuelekea Katika ulimwengu(Dimensions) za juu zaidi na tusiendelee Kuzaliwa hapahapa Duniani, ni muhimu kutambua kuwa neno KUFA halipo Bali tuseme kushift frequence(kubadili mwonekano wetu na hata mazingira Kwa sababu nishati/nguvu/energy can neither be created nor destroyed Yani nishati(Roho) haikuumbwa na Wala Haina mwisho(haifi),Ndiomaana tunasema Universal energy au Cosmic energy ndiye muumbaji Yani MUASISI WA VITU VYOTE, Yaani Alpha (zero Quantum Energy)
✍️Wewe mgeni, wewe MTU wa Dini Ebu jiulize maswali haya machache Tena jiulize ukiwa mbele ya kioo, fanya hivi👇
◾Kaa mbele ya kioo chako...
◾Ongea na mtu aliye mbele yako anayefanania na wewe kwa 100%
◾Jiulize Mimi ni Nani?
◾Hizi nguo nilizo zivaa ni za Nani? Hakika utajijibu kuwa ni zako lakini ukitambua kuwa wewe sio hizo nguo.
◾Jiulize huu mkono ni wa nani, hakika unauakika kuwa ni mkono wako huo Ila unajua kuwa wewe sio huo mkono,
◾Jiulize Tena huo mwili unaouona Katika hicho kioo ni WA Nani? Kwa ufasaha akilini utajijibu kuwa huu ni MWILI WANGU, Sasa kwanini Automatically unajitenga na huo mwili?
Sasa swali Kama huo ni mwili wako, JE wewe ni Nani, wewe ni kitu gani haswa❓
Jitafute..... 🚶
Somo litaendelea......
Imeandikwa na Dogoli kinyamkela... ✍️
Kalibun jijini Whatsapp 👇🏼👇🏼