Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

Hapana mkuu, niko free na vyakula vyote.

Basi pengine kuna matatizo katika mfumo wako wa umeng'enyaji wa chakula mkuu, au vidonda vya tumbo kama ambavyo umeambiwa hivyo kufanya absorption ya nutrients kutoka katika vyakula unavyokula iwe ineffective to some %.
Otherwise anza kula sana vyakula vya protein na punguza matunda na veggies kwenye diet yako.
 
Mbona rais Kagame yupo vizuri na ni mwembamba.

Nje ya MADA: Nasikia wanaume wembamba wamejaliwa "kichwa cha chini" kinakuwa kikubwa sana
 
Basi pengine kuna matatizo katika mfumo wako wa umeng'enyaji wa chakula mkuu, au vidonda vya tumbo kama ambavyo umeambiwa hivyo kufanya absorption ya nutrients kutoka katika vyakula unavyokula iwe ineffective to some %.
Otherwise anza kula sana vyakula vya protein na punguza matunda na veggies kwenye diet yako.
Matunda kama ni kikwazo naweza acha kabisa na suala la vyakula vya protein nitalifikiria zaidi.
 
kula vidonge vya kunenepesha nguruwe, au kula chakula chao kinaitwa bigpig hakika ndani ya wiki moja utajisahau
 
Mbona rais Kagame yupo vizuri na ni mwembamba.

Nje ya MADA: Nasikia wanaume wembamba wamejaliwa "kichwa cha chini" kinakuwa kikubwa sana
Kichwa cha chini ni sahihi kabisa na mpaka unajiogopa, lakin hiyo siyo sababu ya kukufanya ufurahie maisha.
Kagame yule ni mzee mi bado kijana kabisa.
 
158cm uzito 59kg umri 30 age sasa sijui nipo sawa au nishida
 
Mi nina 75 kg nimepima jana imeniumiza sana, maana nlikiwa nimejipa goli nisivukishe 75 nina 175cm
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 mpaka sasa, urefu wangu ni 180cm, uzito wangu ni 60kg mimi ni mwembamba sana ( bones) hali hii naona ni kero kwangu kwa sababu wembamba siyo asili yangu ni hali ambayo imeanza kunipata tangu nilivyofikisha miaka 25 nilivyokuwa chini ya hapo nilikuwa nina kg kati ya 64-66kgs

Naomba ushauri nifanyeje ili niweze kuongezeka unene (uzito) angalau nifikishe 65+kg, ili nifurahie maisha? Chakula najitahidi sana kula na napenda kula, pia nilikuwa napenda kufanya mazoezi ya mbio kila siku jioni nilikimbia kutoka mwenge to Afrikana na kurudi, baada ya kumwona daktari kanizuia kabisa ili nimantain uzito, nina mwaka na nusu nimeacha mazoezi kabisa lakini bado uzito wangu umesimamia 60kg.

Je, unapiga sana punyeto? Kama ndivyo tafadhali wacha mara moja na ujiangalizie kwa kipindi cha mwezi hivi.
 
Mkuu mi naona kama unajifutia magonjwa kwa kutaka kuwa mnene,kikubwa jikubali,Mimi Niko kama wewe ulivyo,ila najikubali sana na sitaki unene,ukitaka unene jianda kuugua presha,kisukari nk ikiwa utashindwa kuuhudumia huo unene,ahsante,safari njema ya kuutafuta unene
 
Mkuu mi naona kama unajifutia magonjwa kwa kutaka kuwa mnene,kikubwa jikubali,Mimi Niko kama wewe ulivyo,ila najikubali sana na sitaki unene,ukitaka unene jianda kuugua presha,kisukari nk ikiwa utashindwa kuuhudumia huo unene,ahsante,safari njema ya kuutafuta unene
Nimekuelewa mkuu.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 mpaka sasa, urefu wangu ni 180cm, uzito wangu ni 60kg mimi ni mwembamba sana ( bones) hali hii naona ni kero kwangu kwa sababu wembamba siyo asili yangu ni hali ambayo imeanza kunipata tangu nilivyofikisha miaka 25 nilivyokuwa chini ya hapo nilikuwa nina kg kati ya 64-66kgs

Naomba ushauri nifanyeje ili niweze kuongezeka unene (uzito) angalau nifikishe 65+kg, ili nifurahie maisha? Chakula najitahidi sana kula na napenda kula, pia nilikuwa napenda kufanya mazoezi ya mbio kila siku jioni nilikimbia kutoka mwenge to Afrikana na kurudi, baada ya kumwona daktari kanizuia kabisa ili nimantain uzito, nina mwaka na nusu nimeacha mazoezi kabisa lakini bado uzito wangu umesimamia 60kg.
Koroga cement uchanganye na hamira hapo sawa in a week utajikataaa[emoji125][emoji125]
 
Kama imani yako inaruhusu jaribu kupata Kitimoto angalau Mara mbili kwa wiki, majibu utayapata baada ya mwezi mmoja tu.
 
Back
Top Bottom