Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

Mbona na mimi kwetu hakuna watu wembamba wale wakukomaa dizain za kina Ruby ama Mange?
Kwetu nyama zipo. Hayo makalio ndio sisemi lakini mimi sasa sijui ulitumika udongo gani

Hahahahh We utakua mtoto wa mwisho No way....Nafsi yako hailidhiki ila utanenepa tuu usijari utakua kama wenzio [emoji38][emoji38]
 
Sisi wengine kunenepa ni kugusa tuu, Kidgo tuu imo [emoji38][emoji38]

Mtoa Mada jaribu Gym pia kule unatengeneza mwili Safi tuu jap jitihada Must. Risk ni kwamba unaeza kuwa V shaped body usipofanya Correctly
Naona
umeanziasha Uzi,unajiuliza maswali mweyewe, unajijibu mwenyewe na KISHA UNAJIPONGEZA MWENYEWE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…