Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

Me nnaweza kuwa bonge juma3 na juma4. Alhamis na Ijumaa nikajiona kama nishapungua [emoji23][emoji23]
Sisi wengine kunenepa ni kugusa tuu, Kidgo tuu imo [emoji38][emoji38]

Mtoa Mada jaribu Gym pia kule unatengeneza mwili Safi tuu jap jitihada Must. Risk ni kwamba unaeza kuwa V shaped body usipofanya Correctly
 
Sisi wengine kunenepa ni kugusa tuu, Kidgo tuu imo [emoji38][emoji38]

Mtoa Mada jaribu Gym pia kule unatengeneza mwili Safi tuu jap jitihada Must. Risk ni kwamba unaeza kuwa V shaped body usipofanya Correctly
Mwenzako anataka kunenepa we gym unataka ukamkomaze....

Hebu tuelekeze na sisi tukaguse tu iwemo
 
Mwenzako anataka kunenepa we gym unataka ukamkomaze....

Hebu tuelekeze na sisi tukaguse tu iwemo
Si anakua na Mwili Mkubwa wakibaunsa baunsa wala hakomai Mwili
Labda kama anataka mwili wa kiboss kitamb nini, mashavu hayo hap sijui afanye
.
[emoji38][emoji38][emoji38]Asili tuu hakun la ziada
Nyumbani Hakuna mtu mwembamba wa kutisha tumeshiba shiba[emoji16]
Wewe unene utaupata tuu ngoja uzae [emoji1787][emoji1787]
 
Si anakua na Mwili Mkubwa wakibaunsa baunsa wala hakomai Mwili
Labda kama anataka mwili wa kiboss kitamb nini, mashavu hayo hap sijui afanye
.
[emoji38][emoji38][emoji38]Asili tuu hakun la ziada
Nyumbani Hakuna mtu mwembamba wa kutisha tumeshiba shiba[emoji16]
Wewe unene utaupata tuu ngoja uzae [emoji1787][emoji1787]
Mbona na mimi kwetu hakuna watu wembamba wale wakukomaa dizain za kina Ruby ama Mange?
Kwetu nyama zipo. Hayo makalio ndio sisemi lakini mimi sasa sijui ulitumika udongo gani
 
Mkuu jikubali, tatizo hujiamini, Mimi ni mwebamba na mrefu watu hunicheka na Sina tatizo lolote kiafya,kikubwa najikubali sana, hakuna siku nimekaa nikawa au kutamani kuwa mnene

Tambua, kuwa na mwili mnene kuna kuweka kwenye hatari ya 10% ya kufa kuliko mtu mtu mwembamba

Wadau habari,natafuta dawa ya kuongeza ukubwa wa mwili,yaani kunenepa.Sio dawa per se ila zile virutubisho vya kunenepesha.Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu jikubali,tatizo hujiamini,Mimi ni mwebamba na mrefu watu hunicheka na Sina tatizo lolote kiafya,kikubwa najikubali sana ,hakuna siku nimekaa nikawa au kutamani kuwa mnene

Tambua, kuwa na mwili mnene kuna kuweka kwenye hatari ya 10% ya kufa kuliko mtu mtu mwembamba



Sent using Jamii Forums mobile app
Jidanganye
Kwanza inategemea huo wembamba ni wa aina ipi ...kuna mwembamba mwenye nyama na wale waliokauka
 
Dawa ya ukweli ya kukufanya unenepe mpaka uamue kukimbilia gym ni KURIDHIKA TU NA MAISHA. Uwe na hela, usiwe na hela!

Wewe ridhika tu. Muangalie John Mnyika na Paul Makonda wa miaka 10 iliyopita, na wa sasa uone.

Ingawa kuna wengine wameumbwa hivyo. Mfano Rais Mtaafu wa Marekani Barack Obama, nk.
 
Sasa nikimpa ratiba ya Menu halafu kipato chake tia maji tia maji hakitamsaidia.
We una kisanga
Sasa mtu hata kama ana kipato fulani and then. Asubuhi mchana yuko ofisn au kwenye inshu zake then home ni jioni tu huoni hata akikwambia haitosaidia?

Vipato vina budget zake sio hela yote utamalizia kwenye msosi. Usiwe kama hukusoma hesabu za makadirio ....we kadiria mfano kwa siku maximum 10k etc
 
Back
Top Bottom