Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha haUzi bila picha ni kutumia Akili za watu bila malipo
Hapo lazima anenepeAsubuhi kula mayai matatu,glass ya maziwa fresh,chapati mbili na supu nzito ya mbuzi,mchana piga ugali na nusu kilo ya kitimoto shusha na bia mbili,usiku kula wali nYama shusha na bia.Njoo baada ya mwezi ulete mrejesho.
😂😂😂 subiri😂 😂 😂 😂 😂 😂
Good Lord, how did I forget kuwa nina shabaha kiwango hiki?? Hadi gizani???
Tupewe mrejeshoNimeufufua Tena uzi
Anza high and prolonged dozi ya Prednisone anzia 60mg uwe unashuka taratibu.
Ila at your own risk, lazima uwe una check sukari every two weeks otherwise diabetes njenje.
Kuna mdau hapa aliweka dawa.Tupewe mrejesho
Kinachotesa baadhi ya watu ni 'culture' tu ya waafricaHata kwenye hizo picha zinaonesha huyo mwembamba yupo sexy and free.
Kuongeza nyama si mbaya, kula milo kamili ongezea na maziwa
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
mkuu mimi nahitaji 60 tu angalau zinipe muonekanoTulio na hizo 60 tunataka tufike 70 halafu Kuna Bata zenye 70 zinataka zirudi 60..[emoji28]
Kweli maisha mchanganyikao
Mkuu we tulia hapohapo zinakutosha hizo usiige kunya kwa tembo utachanika naniliu..[emoji23]
Hebu tufafanulie kwanza muonekano gani hasa unaoutaka,Kitambi kikubwa,matako yaongezeke,kifua,uso ujajae,mikono au...!Wakuu
Nahitaji niwe na mwili wenye uzito wa kufikia kilo 60 angalau niweze kuwa na muonekano
kwa sasa niko na kilo 54 na mrefu kiasi, nitumie mbinu gani niweze kuongeza uneno na hatimaye uzito wa mwili maana njia ya kula kitimoto, kunywa maziwa na matunda kila uchwao imefeli najiona palepale
msaada tafadhali
we utakuwa na tatizo!Hebu tufafanulie kwanza muonekano gani hasa unaoutaka,Kitambi kikubwa,matako yaongezeke,kifua,uso ujajae,mikono au...!
Nilijua hutanielewa ila fanya uchunguzi utapata majibu,kuna watu wanapenda kuwa na matako makubwa sio yale extreme ila ya kiwango flani ili wakivaa suruali zikae vizuri,uwe na amani mkuu...we utakuwa na tatizo!
tako liondoe kwenye ufafanuzi wako
Aiseee huyo si mwanaume!Nilijua hutanielewa ila fanya uchunguzi utapata majibu,kuna watu wanapenda kuwa na matako makubwa sio yale extreme ila ya kiwango flani ili wakivaa suruali zikae vizuri,uwe na amani mkuu...