My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
[emoji28][emoji28][emoji28] tehNi wewe mkuu,
Ukisubiri nije Mimi Basi utasubiri Hadi masihi atarudi[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28] tehNi wewe mkuu,
Ukisubiri nije Mimi Basi utasubiri Hadi masihi atarudi[emoji23]
Nyingi SanaGharama gani ? [emoji2][emoji2]
Parachichi jero, ndizi za jero (huku nilipo unapata 5 sokoni..magenge ya kawaida 3Hiyo Ina gharama kubwa kuliko hata kilo ya kitimoto kila siku[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku nilipoParachichi jero, ndizi za jero ( huku nilipo unapata 5 sokoni..magenge ya kawaida 3
Mtindi nusu Lita 1200 nini tena?
Naelekea kumaliza mti. Kwa sasa yamebaki ya juu Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata uchumaji wake ni tatizo.Saint Anne,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] emu nitumie maparachichi basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha bora sehemu nyingine asee, shingoni jau sana
Mbona kisanga 😱
Mbona kisanga [emoji33]
Hizi smoothies si hazina tofauti sana na milkshakes?
Kwahiyo jamaa hana akili sio 😁
Tafuta hela unene utakuja wenyeweNaomba kujua sehemu naweza kupata dawa/protein ya kuongeza mwili. Nina kg 51 wakati urefu wangu ni futi 5 na inchi 5
Napatikana arusha
Silo swali nililoulizaTafuta hela unene utakuja wenyewe