Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

Simple, Weka bili ya Maziwa Mgando, Nunua Trey la Mayai ya kisasa na Moja la Mayai ya kienyeji, Kila siku usiku baada ya Chakula Cha kawaida Hasa mida ya saa nne Chemsha yai mbili za kisasa na Moja la kienyeji kula then shushia na ziwa Mgando.

Pia Kama Ni mpenzi wa Muvi au kujisomea hakikisha unaandaa Muvi nzuri au kitabu kizuri every night ili Kama ulishinda ukiwa na msongo usiku uwe muda wako wa kurelax lengo Ni ku interrupt muda wako wa kulala ili uwe unalala Masaa machache, kwa calories utakazo kuwa umekula na Masaa machache ya kulala lazima utapata Obesity within three weeks or more.. ambao kibongo tunaita unene.. Ila pia ujiandae na Tatizo la Hormonal imbalance, lakini Kama lengo Ni kubongeka then do what you got to do.. I tried this and it worked!!
 
Mimi nimepungua uzito mno nile nini niongezeke uzito na ninenepe?

Kwetu tuna asili ya unene kaka zangu ni wanene balaa, dada zangu hivyo hivyo. Mimi nimepungua sana uzito natamani ninenepe...
Sio lazime ule tu some time roho mbaya wivu wamaendeleo uchawi kunenepa ni kazi pia ata ule wanga pipa nzima kwa siku
 
Machips, kitimoto, maziwa, mabajia, makachori, vitu vya sukari sana, usifanye mazoezi wala kutembea sana, wewe kula utakapoamka mpaka ukilala...
 
Kula ngogwe kwa wingi sanaaaaaaa acha unywaji wa soda,
kula maharage kwa wiku x4,
Kula mlenda x4 kwa wiki
Kula mchunga x4 kwa wiki

Asubuhi kunywa chai na vitumbua kama 4 kwa miezi 3 mfululizo AU
Badala ya vitumbua kula sanaa bofloo walau 2 per breakfast
NOTE: Boflo sio silesi
 
Kula nyamachoma na bia usisahau carbonated drinks hutojutia utakuwa kanene hadi raha
 
Kama unakula lakini mwili hauna shukurani
Naenda kafanye checkup ya damu
 
Mimi nimepungua uzito mno nile nini niongezeke uzito na ninenepe?

Kwetu tuna asili ya unene kaka zangu ni wanene balaa, dada zangu hivyo hivyo. Mimi nimepungua sana uzito natamani ninenepe

Nile vyakula gani? I mean simple food ambazo zinaongeza uzito.

Natamani ninenepe walau kidogo huu wembamba sio poa kabisa.

Ambao mlikua wembamba mkanenepa au mkaongezekamo kidogo nipeni mbinu mlitumia nini?
Hebu tuambie Jinsia yako kwanza
 
Kweli mna raha wakati mimi nawaza nakataje hizi 15kgs nilizoongezeka ww unawaza kuzitafuta dah ila dunia hii sio fare kabisa .! Kila jion naziangalia raba wee narudi kulala
 
Kweli mna raha wakati mimi nawaza nakataje hizi 15kgs nilizoongezeka ww unawaza kuzitafuta dah ila dunia hii sio fare kabisa .! Kila jion naziangalia raba wee narudi kulala
Ware. Unataka kupunguza uzito? Pekua simu ya mumeo wakati amelala uangalie namba alizopiga na msg zilizoingia.
Hakikisha hizo namba zote unahakiki majina sahihi kwa kujaribu kuwatumia pesa. Ukiona jina Kama Tamisemi, Haji Manairo, Mkalebela, Afisa tawala, Eng Juma na Shangazi Mdee ya hakiki halafu tulia for two days.
Thank me later
 
Ware. Unataka kupunguza uzito? Pekua simu ya mumeo wakati amelala uangalie namba alizopiga na msg zilizoingia.
Hakikisha hizo namba zote unahakiki majina sahihi kwa kujaribu kuwatumia pesa. Ukiona jina Kama Tamisemi, Haji Manairo, Mkalebela, Afisa tawala, Eng Juma na Shangazi Mdee ya hakiki halafu tulia for two days.
Thank me later

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimeruka viunzi mkuu..nyani mzee mimi lol
 
Basi pekua simu ya hausegel. Hasa miamala ya tigo pesa.
Thank me later
Hahahahahahahahahahahaahahah....muone🤣🤣🤣🤣🤣..ila ww dah😑😑😑..afu bek 3 namlipa mm then unakuta naye anatumiwa yake tena🤣🤣🤣...wanaume mbingu sio yenu
 
Back
Top Bottom