Yes, tunapoangalia eneo linalofaa ni lazima kuwa na uhakika wa malisho ya nyuki. Hivyo kama wewe unashamba na lipo jirani na msitu isiwe mbali sana (walau Mita 200-300) shamba lako litafaa kufuga maana nyuki watenda msitunikupata malisho yao.
Umegusia la maji, hili ni muhimu sana kwa nyuki. Ni vyema eneo liwe na maji, lakini hili siyo tatizo sana maana ni rahisi kujenga mabakuli ya kunywesha maji nyuki wako. Lakini lazima.ndani kuwe na both vitakavyoelea ili nyuki wakanyage kunywa maji maana nyuki hawajui kuogelea.
View attachment 1924100
Unaweza kuchimbia beseni, au kujenga kibwawa cha saruji Kwa ajili ya nyuki kunywa maji na ukahakikisha kinakuwa na maji msimu wa kiangazi zaidi. Ila ni lazima uweke vya vya kuelewa ili nyuki wakanyage kunywa maji.
View attachment 1924101
Mfano wa vitu unavyoweza kuweka nyuki wakanyage kunywa maji.