Fahamu,mwanamke haridhiki wala hatosheki

Fahamu,mwanamke haridhiki wala hatosheki

Tatizo wengi wetu unaenda dukani bila list ya manunuzi;umekutana na mtu from no where mnaanzisha mahusiano na wakati wewe mwenyewe inawezekana hujajiandaa kisaikolojia kukaa na mtu;kama tunapofanya manunuzi tunakuwa na budget hata mahusiano;usiingie kwenye mahusiano kisa umri unaruhusu kuna mengi ya kuzingatia;mf;kiuchumi;muda husika;n.k
 
Mambo mengine hata sitaki kuyawaza...

Upuuzi tuu [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Usijidanganye mwanamme mwenzangu kuwa kuna siku utamridhisha mwanamke kwa lolote,kuanzia kwenye kumgegeda mpaka masuala ya kawaida,
wanawake wengi wao akili yao kama kuku,ukimpa mchele juu atapekua na chini zaidi.
Kwa hiyo mwanamme mwenzangu penda 45 tu,zingine jipende mwenyewe au wapende wanao,kama hayajakukuta siku yakikukuta ndio utajua.
Usione baadhi ya watu wanaishi single man ukawaona wajinga,waulize wakwambie.
Na nyie wanawake mnahangaika nini? Ona sasa mnafanywa incubator,mnazalishwa mtu anasepa,wewe unalea mtoto akifika miaka saba baba mtoto anabeba mwanae,utazalishwa na wangapi?
najua ushalizwa pole sna mkuu ndo ukubwa huo..
 
Kuacha hawawezi wamebaki kulalamika kama wamelazimishwa
Na mwanaume mlalamishi siku zote huwa hajikubali, muda wote anahisi atapigwa mizinga mara atachapiwa yaan tabu tupu.kuwa na mwanaume km huyu bora ukose.
 
Usijidanganye mwanamme mwenzangu kuwa kuna siku utamridhisha mwanamke kwa lolote,kuanzia kwenye kumgegeda mpaka masuala ya kawaida,
wanawake wengi wao akili yao kama kuku,ukimpa mchele juu atapekua na chini zaidi.
Kwa hiyo mwanamme mwenzangu penda 45 tu,zingine jipende mwenyewe au wapende wanao,kama hayajakukuta siku yakikukuta ndio utajua.
Usione baadhi ya watu wanaishi single man ukawaona wajinga,waulize wakwambie.
Na nyie wanawake mnahangaika nini? Ona sasa mnafanywa incubator,mnazalishwa mtu anasepa,wewe unalea mtoto akifika miaka saba baba mtoto anabeba mwanae,utazalishwa na wangapi?
Hahaha
 
Usijidanganye mwanamme mwenzangu kuwa kuna siku utamridhisha mwanamke kwa lolote,kuanzia kwenye kumgegeda mpaka masuala ya kawaida,
wanawake wengi wao akili yao kama kuku,ukimpa mchele juu atapekua na chini zaidi.
Kwa hiyo mwanamme mwenzangu penda 45 tu,zingine jipende mwenyewe au wapende wanao,kama hayajakukuta siku yakikukuta ndio utajua.
Usione baadhi ya watu wanaishi single man ukawaona wajinga,waulize wakwambie.
Na nyie wanawake mnahangaika nini? Ona sasa mnafanywa incubator,mnazalishwa mtu anasepa,wewe unalea mtoto akifika miaka saba baba mtoto anabeba mwanae,utazalishwa na wangapi?
Kweli kabisa mkuu,kuna mwanamke alikuwa anajua kutupanga wanaume!Kuna Jamaa tulijuana kwamba tunatembea nae!Tukapanga tumshangaze.Kwa kweli hawana Aibu,alikuwa katulia yeye ndio akawa main speaker!......
 
Usijidanganye mwanamme mwenzangu kuwa kuna siku utamridhisha mwanamke kwa lolote,kuanzia kwenye kumgegeda mpaka masuala ya kawaida,
wanawake wengi wao akili yao kama kuku,ukimpa mchele juu atapekua na chini zaidi.
Kwa hiyo mwanamme mwenzangu penda 45 tu,zingine jipende mwenyewe au wapende wanao,kama hayajakukuta siku yakikukuta ndio utajua.
Usione baadhi ya watu wanaishi single man ukawaona wajinga,waulize wakwambie.
Na nyie wanawake mnahangaika nini? Ona sasa mnafanywa incubator,mnazalishwa mtu anasepa,wewe unalea mtoto akifika miaka saba baba mtoto anabeba mwanae,utazalishwa na wangapi?
Bora hata hao ambao baba wa watoto wanafahamika mpaka kuja kuchukua mtoto akifika miaka saba kuna ambao hawamjui hata baba mtoto nani wanataabika mtaani vibaya wanawake tunajielewa wenyewe
 
Back
Top Bottom