Fahamu namna Maduka yanayotumia uchawi, yanavyoweza kumpumbaza mteja

Fahamu namna Maduka yanayotumia uchawi, yanavyoweza kumpumbaza mteja

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Wandugu hiki sio kitu kigeni kwa nchi zetu za kiafrika watu hutafuta utajiri kwa namna yoyote Ile muhimu wafanikishe mambo Yao!

Bila Shaka umewahi kusikia kuhusu kafara ya biashara au jini wa biashara ..ambapo mtu ili ammiliki huyu jini wa biashara ni lazima afanye kafara

Zipo kafara nyingi lakini lengo la kafara zote hizi ni kutafuta namna ya kupata mali isiyo halali au wizi wa kiuchawi

Leo nimzungumzie mteja anavyoweza kujikuta akiwa dukani au ofisini kwa mtu anayetumia uchawi kuuza ''' kwanza kabisa hata wewe huenda hali hii imewahi kukutokea

Umewahi kuingia dukani kwa lengo la kununua bidhaa ya 20000, na ukajikuta ghafla unaanza kununua vitu hovyo hata havipo kwenye mpangilio wako?

Kitendo Cha kuingia TU dukani tayari yule jini anajua mfukoni unakiasi gani na achofanya huyo jini ni kukupumbaza Kuhakikisha kwamba hiyo pesa huondoki nayo kabisa unaweza kusahau hata kilichokupeleka na ukaanza kununua vitu vya ghalama na wakati mwingine Hauna hata kazi navyo utanunua saa utanunua laptop utanunua glass za maua utanunua simu na hivyo vyote havikuwemo kabisa kwenye hiyo bajeti utalipia pesa unaachiwa nauli unatoka unaenda lakini ghafla unaanza kuhisi umetumia pesa nje na malengo baadae unagundua ulivyovinunua huna kazi navyo Kwa kipindi hicho ...kesho yake asubhi unaanza kuviuza Tena kwa bei yoyote!! Ukiona hali hiyo ujue duka ulikokuwa umeingia halikuwa salama kwako jaribu kuomba mungu Kila unapokuwa na malengo Fulani kuyatimiza ni vigumu kwani u chawi upo
 
Hiyo ni disorder inayosababishwa na kukosa planning kwenye manunuzi yako. Kwa jina la kitaalamu inaitwa impulsive shopping.Hakuna cha jini wala subiani ni wewe mwenyewe mnunuaji kutokuwa na mipangilio kwenye ununuaji wako.Ni lazima manunuzi yako yaendane na mahitaji yako.
 
Kibaya zaidi ni waharibifu wa noti, wanazifinya na kuzimega pembeni. Wengine anakurudishia chenji bila kukushikisha mkononi, anazipigiza dirishani uchukue mwenyewe. Wapo wanaowasha ubani madukani mwao mpaka inakuwa kero ya hiyo harufu. Wengine jua likizama unataka chumvi, ukitamka neno chumvi unajibiwa hakuna huku unaiona, wanataka utamke dawa ya jiko ndiyo upewe, ni ushirikina mtupu
 
Kama dawa hizo zinavuta wateja kwanini uende sasa kufanyia biashara kariakoo au sehemu yenye concentration kubwa ya watu! Ambapo watu wengi wenye uhitaji wa mahitaji mbalimbali watapita kununua bidhaa.... Si uende huko ndanindani ukafungue biashara yako uone kama kuna mtu atakufuata kisa umeweka dawa.

Dawa nyingi za waganga zipo kisaikolojia zaidi kuliko kiuhalisia
 
Mimi huwa nagombana nao sana, haswa ninavyokwendaga na mtu kununua vitu unakuta mmeplan kununua vitu kazaaa alafu unamuona mtu anatrip trip dukani na mzuia hiki rudisha tunachukua hiki basi mwenye duka anatamani akumeze kuwa fit kiroho ni big deal wachawi ni wengi
 
Yaani una elfu hamsini umeenda kariakoo kununua kisimu mara unaanza kununua vyongu vya maua? Inawezekanaje
 
Wandugu hiki sio kitu kigeni kwa nchi zetu za kiafrika watu hutafuta utajiri kwa namna yoyote Ile muhimu wafanikishe mambo Yao! Bila Shaka umewahi kusikia kuhusu kafara ya biashara au jini wa biashara ..ambapo mtu ili ammiliki huyu jini wa biashara ni lazima afanye kafara ..zipo kafara nyingi lakini lengo la kafara zote hizi ni kutafuta namna ya kupata mali isiyo halali au wizi wa kiuchawi ..Leo nimzungumzie mteja anavyoweza kujikuta akiwa dukani au ofisini kwa mtu anayetumia uchawi kuuza ''' kwanza kabisa hata wewe huenda hali hii imewahi kukutokea .. umewahi kuingia dukani kwa lengo la kununua bidhaa ya 20000, na ukajikuta ghafla unaanza kununua vitu hovyo hata havipo kwenye mpangilio wako? Kitendo Cha kuingia TU dukani tayari yule jini anajua mfukoni unakiasi Gani .. na achofanya huyo jini ni kukupumbaza Kuhakikisha kwamba hiyo pesa huondoki nayo kabisa .. unaweza kusahau hata kilichokupeleka na ukaanza kununua vitu vya ghalama na wakati mwingine Hauna hata kazi navyo.utanunua saa ..utanunua laptop ..utanunua glass za maua utanunua simu na hivyo vyote havikuwemo kabisa kwenye hiyo bajeti .. utalipia pesa unaachiwa nauli unatoka unaenda lakini ghafla unaanza kuhisi umetumia pesa nje na malengo ..baadae unagundua ulivyovinunua huna kazi navyo Kwa kipindi hicho ...kesho yake asubhi unaanza kuviuza Tena kwa bei yoyote!! Ukiona hali hiyo ujue duka ulikokuwa umeingia halikuwa salama kwako jaribu kuomba mungu Kila unapokuwa na malengo Fulani kuyatimiza ni vigumu kwani u chawi upo
Andika kwa haya mkuu. Unatutesa wasomaji.
 
Wandugu hiki sio kitu kigeni kwa nchi zetu za kiafrika watu hutafuta utajiri kwa namna yoyote Ile muhimu wafanikishe mambo Yao! Bila Shaka umewahi kusikia kuhusu kafara ya biashara au jini wa biashara ..ambapo mtu ili ammiliki huyu jini wa biashara ni lazima afanye kafara ..zipo kafara nyingi lakini lengo la kafara zote hizi ni kutafuta namna ya kupata mali isiyo halali au wizi wa kiuchawi ..Leo nimzungumzie mteja anavyoweza kujikuta akiwa dukani au ofisini kwa mtu anayetumia uchawi kuuza ''' kwanza kabisa hata wewe huenda hali hii imewahi kukutokea .. umewahi kuingia dukani kwa lengo la kununua bidhaa ya 20000, na ukajikuta ghafla unaanza kununua vitu hovyo hata havipo kwenye mpangilio wako? Kitendo Cha kuingia TU dukani tayari yule jini anajua mfukoni unakiasi Gani .. na achofanya huyo jini ni kukupumbaza Kuhakikisha kwamba hiyo pesa huondoki nayo kabisa .. unaweza kusahau hata kilichokupeleka na ukaanza kununua vitu vya ghalama na wakati mwingine Hauna hata kazi navyo.utanunua saa ..utanunua laptop ..utanunua glass za maua utanunua simu na hivyo vyote havikuwemo kabisa kwenye hiyo bajeti .. utalipia pesa unaachiwa nauli unatoka unaenda lakini ghafla unaanza kuhisi umetumia pesa nje na malengo ..baadae unagundua ulivyovinunua huna kazi navyo Kwa kipindi hicho ...kesho yake asubhi unaanza kuviuza Tena kwa bei yoyote!! Ukiona hali hiyo ujue duka ulikokuwa umeingia halikuwa salama kwako jaribu kuomba mungu Kila unapokuwa na malengo Fulani kuyatimiza ni vigumu kwani u chawi upo
Hata CCM kuna majini maana wanafuja hera za walipa kodi
 
Wandugu hiki sio kitu kigeni kwa nchi zetu za kiafrika watu hutafuta utajiri kwa namna yoyote Ile muhimu wafanikishe mambo Yao! Bila Shaka umewahi kusikia kuhusu kafara ya biashara au jini wa biashara ..ambapo mtu ili ammiliki huyu jini wa biashara ni lazima afanye kafara ..zipo kafara nyingi lakini lengo la kafara zote hizi ni kutafuta namna ya kupata mali isiyo halali au wizi wa kiuchawi ..Leo nimzungumzie mteja anavyoweza kujikuta akiwa dukani au ofisini kwa mtu anayetumia uchawi kuuza ''' kwanza kabisa hata wewe huenda hali hii imewahi kukutokea .. umewahi kuingia dukani kwa lengo la kununua bidhaa ya 20000, na ukajikuta ghafla unaanza kununua vitu hovyo hata havipo kwenye mpangilio wako? Kitendo Cha kuingia TU dukani tayari yule jini anajua mfukoni unakiasi Gani .. na achofanya huyo jini ni kukupumbaza Kuhakikisha kwamba hiyo pesa huondoki nayo kabisa .. unaweza kusahau hata kilichokupeleka na ukaanza kununua vitu vya ghalama na wakati mwingine Hauna hata kazi navyo.utanunua saa ..utanunua laptop ..utanunua glass za maua utanunua simu na hivyo vyote havikuwemo kabisa kwenye hiyo bajeti .. utalipia pesa unaachiwa nauli unatoka unaenda lakini ghafla unaanza kuhisi umetumia pesa nje na malengo ..baadae unagundua ulivyovinunua huna kazi navyo Kwa kipindi hicho ...kesho yake asubhi unaanza kuviuza Tena kwa bei yoyote!! Ukiona hali hiyo ujue duka ulikokuwa umeingia halikuwa salama kwako jaribu kuomba mungu Kila unapokuwa na malengo Fulani kuyatimiza ni vigumu kwani u chawi upo
Nilienda shoping nikazungukaa Madukani hadi muda wa lunch ukafikà nikaenda kula hotel!
Baadaye nikazunguka tena hadi maduka yakafungwa nikarudi nyumbani na hela yangu!
Sijui na ni uchawi! Au?
 
Hivi mnajua ili uuze sana inahitaji uwe na bidhaa zaidi ya 100 yaani kila atakacho taka mteja wewe unacho

Na kama huna agiza na kuongeza bidhaa
Hivi Bakhressa au MO wana bidhaa ngapi?
Ukipata jibu Anza biashara ya bila uchawi
 
Back
Top Bottom