Fahamu namna timu ambazo hazitaanzia hatua ya awali mashindano ya klabu bingwa Afrika zinavyopatikana

Fahamu namna timu ambazo hazitaanzia hatua ya awali mashindano ya klabu bingwa Afrika zinavyopatikana

Simba ni nafasi ya 7. Kama hujui takwimu acha kuandika magazeti uchwara
kwa matokeo ya msimu huu Simba inashika nafasi ya 9 ila kwa matokeo ya msimu wa kufikikirika Simba inashika nafasi ya 7 tambua tu kuwa mashindano ya CAF champions league msimu ujao 2023/2024) inachukua performance ya msimu huu (2022/2023) na wala haitochukia matokeo ya msimu wa kufikikirika.

IMG_20230713_101056.jpg
 
Ni watu wachache sana wataelewa hiki ulichoandika. Binafsi nimekuelewa.
Huu uzi utapima mashabiki vs wapenda timu. Hata ukisoma comments unaona jinsi watu wanaikimbia kuzijibu hoja wamebakia kumu attack mleta uzi kaleta gazeti lakini hakuna aliyeweza hata kusahisha hoja zake.
 
Natoa somo kwa wajinga na wapumbavu wasiojua kitu. Vipi nawewe ni miongoni mwa hao waliopo kwenye kundi la wasiojua rank na namna inavyotokea hadi timu isianzie hatua ya awali? Mipira mnajifunzia kwa wachambuzi badala ya kuufatilia mpira.
🚮
 
Kuna kundi kubwa la watu wamekuwa wamekariri tu kuwa msimu fulsni timu nane hazitoanzia hatua ya awali lakini hajui hata ni vipi inapatikana na pia hajui kama idadi aliyotaja inaweza kuwa sahihi au isiwe sahihi.


Mwisho nahitimisha kuwa hakuna msimamo au guarantee ya kuanzia hatua ipi katika michuano ya klabu bingwa mpaka ijulikane wanachama wangapi watashiriki michuano ya klabu bingwa msimu husika.
Naomba kupewa ufafanuzi kuhusu kilichoandikwa!
 
Sasa kwann uandike mgazeti wote ule,mwenzio kaandika mistari michache tu umeelewa.
Unafikiri sisi hatuna kazi nyingine za kufanya?[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Nani aliyekulazimisha kusoma? Huyo tumeelewana kati ya mimi na yeye. Je wewe umemuelewa na kukubaliana na alichokisema?
 
Naona unazidi kujichanganya..sijui unajua unachokisema..eleza kwa maneno machache ueleweke
Njoo na link inayoonesha msimu huu Simba inashika nafasi ya saba, mnaishi kwa kusikiliza watu pasipo kufatilia mambo. Hiyo nafasi ya saba ni assumption tu ya msimu wa 2024/2025 ambapo matokeo ya msimu wa 2023/2024 bado haijulikani timu zitavuna kipi. Angalia msimo wa msimu huu VS msimamo wa assumption ya msimu kwaajili ya mashindano ya msimu miwili mbele ( 2024/2025) kwenye attachment.
View attachment 2686504View attachment 2686505
 
Naomba kupewa ufafanuzi kuhusu kilichoandikwa!
Ni kwamba timu zinarukishwa hatua ni kwavile nchi zingine ambazo ni wanachama pia wa CAF hawapeleki timu zao mashindano ya CAF hivyo hupunguza idadi ya timu kutofika 64. CAF wanalazimika kubalansi ili timu ziwe 32 katika hatua inayofuata.
 
Naona unazidi kujichanganya..sijui unajua unachokisema..eleza kwa maneno machache ueleweke
Najua nachokisema na ndio maana nime attach na uthibitisho mbalimbali naongea vitu ninavyokua na uhakika navyo. Je kabla ya ku comment umesoma alichokiandika niliyemjibu kisha ndipo usome nilichomjibu?
 
Kuna kundi kubwa la watu wamekuwa wamekariri tu kuwa msimu fulsni timu nane hazitoanzia hatua ya awali lakini hajui hata ni vipi inapatikana na pia hajui kama idadi aliyotaja inaweza kuwa sahihi au isiwe sahihi.

Sasa uzi huu faida kwa member anayeongoza kwa nyuzi za udaku, uongo na fitna na pia na wachambuzi na wana michezo mbalimbali wasiojua ni kwanini kuna timu zinatokea hazianzii hatua ya awali.

Shirikisho la soka barani Africa (CAF) ina jumla ya wanachama 54, na katika hao kuna wanachama 12 ambao wanapaswa kuingiza timu mbili mbili katika mashindano ya klabu bingwa, na wanachama 42 waliobaki wao wanaingiza timu moja moja tu klabu bingwa.

Katika mashindano ya klabu bingwa timu zinapaswa kutoana ili zibakie timu 32 ambazo zitacheza mtoano ili zipatikane timu 16 za kucheza hatua ya makundi.

Kutoanza kwa baadhi ya timu katika hatua ya awali ni kutokana na wanachama wengine kutoshiriki michuano ya klabu bingwa kutokana na sababu zao mbalimbali ikiwemo uchumi, na miindo mbinu yao hivyo kutokuwasilisha timu zao kucheza michuano hiyo.
Laiti kama ikitokea kuwa wanachama 52 wameamua kushiriki michuano ya ngazi ya vilabu, itafanya kuwe na idadi ya timu zifuatazo;
Association 12 timu mbili mbili = timu 24
Association 40 timu moja moja = timu 40
Hivyo jumla itakuwa ni timu 64 zitakazoshiriki klabu bingwa
Kwa mazingira ya namna hiyo ikitokea, hakutakuwa na timu yoyote amvayo haitoanzia hatua ya awali. Timu zote zitapaswa kucheza kwanzia hatua ya awali, kisha zitatoana na kubakia timu 32 ambazo zitacheza hatua inayofuata.

Naomba nije kumjibu GENTAMYCIME hoja yake ya kwamba Simba na timu zingine saba hazitaanzia hatua ya awali.

Cha kwanza ieleweke kuwa kuelekea msimu wa 2023/2024 zitachukuliwa performance ya misimu mitano ambayo itaanzia msimu wa 2018/2019 mpaka msimu wa 2022/2023 ambapo Simba inashika nafasi ya 9, hivyo haitokuwa Simba na timu 7 kwasababu Simba haishiki nafasi ya 8 bali ilipaswa kusemwa Simba na timu 8. Tuje sasa kwenye uhalisia je ili Simba isianzie hatua ya awali msimu ujao ni mazingira yapi yatokee?

Ni endapo itatokea timu 55 pekee zinazoshiriki michuano ya klabu bingwa msimu wa 2023/2024 badala ya timu 64, kwa maana ya wanachama 43 pekee ndio walioshiriki michuano ya CAF ngazi ya vilabu kati ya wanachama 54.

Kutokana na mazingira ya hapo juu, endapo wanachama ataongezeka kutoka kwenye hiyo idadi ya 43 ndivyo na idadi ya timu ambazo hazitoanzia hatua ya awali zitapungua. Na endapo idadi ya wanachama kutoka 43 watazidi kupungua, itasababisha idadi ya timu zisizoanzia hatua ya awali kuongezeka.

Mwisho nahitimisha kuwa hakuna msimamo au guarantee ya kuanzia hatua ipi katika michuano ya klabu bingwa mpaka ijulikane wanachama wangapi watashiriki michuano ya klabu bingwa msimu husika.
naomba kusahihisha!

CAF ina wanachama 56 na sio 54 kama ulivyoandika hapo (kumbuka kuna Zanzibar na visiwa vingine nafikiri ni re-union vinaingizwa kama wanachama ingawa sio nchi),

kwaio kama vyama vyote vitashiriki kutakua na timu 68 (24+44), hivyo kutakua na raundi 3, ile ya timu 8, kisha timu 64 kisha timu 16.....

kuhusu simba angalia walio juu yake kama wote wapo champions league,
 
Nani aliyekulazimisha kusoma? Huyo tumeelewana kati ya mimi na yeye. Je wewe umemuelewa na kukubaliana na alichokisema?
Kuna watu humu jukwaani wana matatizo ya kisaikolojia. Hivyo unatakiwa tu kuwachukulia.
 
naomba kusahihisha!

CAF ina wanachama 56 na sio 54 kama ulivyoandika hapo (kumbuka kuna Zanzibar na visiwa vingine nafikiri ni re-union vinaingizwa kama wanachama ingawa sio nchi),

kwaio kama vyama vyote vitashiriki kutakua na timu 68 (24+44), hivyo kutakua na raundi 3, ile ya timu 8, kisha timu 64 kisha timu 16.....

kuhusu simba angalia walio juu yake kama wote wapo champions league,
kwa kuongezea, kwa timu zinazoshiriki CCL msimu huu wa 23-24 Simba ni ya 7!

juu yake kuna Raja na Berkane ambao hawatashiriki CL kulingana na nafasi walizopo kwenye ligi yao ya ndani, hivyo ni sahihi kusema Simba yupo namba 7 kwa timu zilizopo CL
 
naomba kusahihisha!

CAF ina wanachama 56 na sio 54 kama ulivyoandika hapo (kumbuka kuna Zanzibar na visiwa vingine nafikiri ni re-union vinaingizwa kama wanachama ingawa sio nchi),

kwaio kama vyama vyote vitashiriki kutakua na timu 68 (24+44), hivyo kutakua na raundi 3, ile ya timu 8, kisha timu 64 kisha timu 16.....

kuhusu simba angalia walio juu yake kama wote wapo champions league,
🙏🙏 Mkuu wewe ni mpenzi wa mpira, nashukuru kwa masahihisho hapo kwenye raundi ya timu 8. Ni vigezo vipi vitakavyotumika kuzipata timu za kucheza hiyo raundi ya timu 8?
 
Kuna kundi kubwa la watu wamekuwa wamekariri tu kuwa msimu fulsni timu nane hazitoanzia hatua ya awali lakini hajui hata ni vipi inapatikana na pia hajui kama idadi aliyotaja inaweza kuwa sahihi au isiwe sahihi.

Sasa uzi huu faida kwa member anayeongoza kwa nyuzi za udaku, uongo na fitna na pia na wachambuzi na wana michezo mbalimbali wasiojua ni kwanini kuna timu zinatokea hazianzii hatua ya awali.

Shirikisho la soka barani Africa (CAF) ina jumla ya wanachama 54, na katika hao kuna wanachama 12 ambao wanapaswa kuingiza timu mbili mbili katika mashindano ya klabu bingwa, na wanachama 42 waliobaki wao wanaingiza timu moja moja tu klabu bingwa.

Katika mashindano ya klabu bingwa timu zinapaswa kutoana ili zibakie timu 32 ambazo zitacheza mtoano ili zipatikane timu 16 za kucheza hatua ya makundi.

Kutoanza kwa baadhi ya timu katika hatua ya awali ni kutokana na wanachama wengine kutoshiriki michuano ya klabu bingwa kutokana na sababu zao mbalimbali ikiwemo uchumi, na miindo mbinu yao hivyo kutokuwasilisha timu zao kucheza michuano hiyo.
Laiti kama ikitokea kuwa wanachama 52 wameamua kushiriki michuano ya ngazi ya vilabu, itafanya kuwe na idadi ya timu zifuatazo;
Association 12 timu mbili mbili = timu 24
Association 40 timu moja moja = timu 40
Hivyo jumla itakuwa ni timu 64 zitakazoshiriki klabu bingwa
Kwa mazingira ya namna hiyo ikitokea, hakutakuwa na timu yoyote amvayo haitoanzia hatua ya awali. Timu zote zitapaswa kucheza kwanzia hatua ya awali, kisha zitatoana na kubakia timu 32 ambazo zitacheza hatua inayofuata.

Naomba nije kumjibu GENTAMYCIME hoja yake ya kwamba Simba na timu zingine saba hazitaanzia hatua ya awali.

Cha kwanza ieleweke kuwa kuelekea msimu wa 2023/2024 zitachukuliwa performance ya misimu mitano ambayo itaanzia msimu wa 2018/2019 mpaka msimu wa 2022/2023 ambapo Simba inashika nafasi ya 9, hivyo haitokuwa Simba na timu 7 kwasababu Simba haishiki nafasi ya 8 bali ilipaswa kusemwa Simba na timu 8. Tuje sasa kwenye uhalisia je ili Simba isianzie hatua ya awali msimu ujao ni mazingira yapi yatokee?

Ni endapo itatokea timu 55 pekee zinazoshiriki michuano ya klabu bingwa msimu wa 2023/2024 badala ya timu 64, kwa maana ya wanachama 43 pekee ndio walioshiriki michuano ya CAF ngazi ya vilabu kati ya wanachama 54.

Kutokana na mazingira ya hapo juu, endapo wanachama ataongezeka kutoka kwenye hiyo idadi ya 43 ndivyo na idadi ya timu ambazo hazitoanzia hatua ya awali zitapungua. Na endapo idadi ya wanachama kutoka 43 watazidi kupungua, itasababisha idadi ya timu zisizoanzia hatua ya awali kuongezeka.

Mwisho nahitimisha kuwa hakuna msimamo au guarantee ya kuanzia hatua ipi katika michuano ya klabu bingwa mpaka ijulikane wanachama wangapi watashiriki michuano ya klabu bingwa msimu husika.
hapa wale walikuaga wanajibu swali tofauti na lililoulizwa na baraza watatoka kappa [emoji23][emoji1787] sana sana watakuzadia matusi ya kutosha.
 
Kuna kundi kubwa la watu wamekuwa wamekariri tu kuwa msimu fulsni timu nane hazitoanzia hatua ya awali lakini hajui hata ni vipi inapatikana na pia hajui kama idadi aliyotaja inaweza kuwa sahihi au isiwe sahihi.

Sasa uzi huu faida kwa member anayeongoza kwa nyuzi za udaku, uongo na fitna na pia na wachambuzi na wana michezo mbalimbali wasiojua ni kwanini kuna timu zinatokea hazianzii hatua ya awali.

Shirikisho la soka barani Africa (CAF) ina jumla ya wanachama 54, na katika hao kuna wanachama 12 ambao wanapaswa kuingiza timu mbili mbili katika mashindano ya klabu bingwa, na wanachama 42 waliobaki wao wanaingiza timu moja moja tu klabu bingwa.

Katika mashindano ya klabu bingwa timu zinapaswa kutoana ili zibakie timu 32 ambazo zitacheza mtoano ili zipatikane timu 16 za kucheza hatua ya makundi.

Kutoanza kwa baadhi ya timu katika hatua ya awali ni kutokana na wanachama wengine kutoshiriki michuano ya klabu bingwa kutokana na sababu zao mbalimbali ikiwemo uchumi, na miindo mbinu yao hivyo kutokuwasilisha timu zao kucheza michuano hiyo.
Laiti kama ikitokea kuwa wanachama 52 wameamua kushiriki michuano ya ngazi ya vilabu, itafanya kuwe na idadi ya timu zifuatazo;
Association 12 timu mbili mbili = timu 24
Association 40 timu moja moja = timu 40
Hivyo jumla itakuwa ni timu 64 zitakazoshiriki klabu bingwa
Kwa mazingira ya namna hiyo ikitokea, hakutakuwa na timu yoyote amvayo haitoanzia hatua ya awali. Timu zote zitapaswa kucheza kwanzia hatua ya awali, kisha zitatoana na kubakia timu 32 ambazo zitacheza hatua inayofuata.

Naomba nije kumjibu GENTAMYCIME hoja yake ya kwamba Simba na timu zingine saba hazitaanzia hatua ya awali.

Cha kwanza ieleweke kuwa kuelekea msimu wa 2023/2024 zitachukuliwa performance ya misimu mitano ambayo itaanzia msimu wa 2018/2019 mpaka msimu wa 2022/2023 ambapo Simba inashika nafasi ya 9, hivyo haitokuwa Simba na timu 7 kwasababu Simba haishiki nafasi ya 8 bali ilipaswa kusemwa Simba na timu 8. Tuje sasa kwenye uhalisia je ili Simba isianzie hatua ya awali msimu ujao ni mazingira yapi yatokee?

Ni endapo itatokea timu 55 pekee zinazoshiriki michuano ya klabu bingwa msimu wa 2023/2024 badala ya timu 64, kwa maana ya wanachama 43 pekee ndio walioshiriki michuano ya CAF ngazi ya vilabu kati ya wanachama 54.

Kutokana na mazingira ya hapo juu, endapo wanachama ataongezeka kutoka kwenye hiyo idadi ya 43 ndivyo na idadi ya timu ambazo hazitoanzia hatua ya awali zitapungua. Na endapo idadi ya wanachama kutoka 43 watazidi kupungua, itasababisha idadi ya timu zisizoanzia hatua ya awali kuongezeka.

Mwisho nahitimisha kuwa hakuna msimamo au guarantee ya kuanzia hatua ipi katika michuano ya klabu bingwa mpaka ijulikane wanachama wangapi watashiriki michuano ya klabu bingwa msimu husika.
Sudani hawapo
 
Back
Top Bottom