Fahamu namna wataalamu wa mahusiano wana rate(grade) wanawake kwenye soko la mahusiano.

Fahamu namna wataalamu wa mahusiano wana rate(grade) wanawake kwenye soko la mahusiano.

Sikubaliani na wewe mkuu.

Siamini kama kuna mwanasaikolojia, mwanasosholojia, au mtaalam yeyote wa mahusiano anayepima mvuto kwa hichi kigezo, labda unithibitishie.

Mvuto upo kimtazamo, na mvuto sio muonekano pekee.

Hichi kigezo nakiona kwa wanamitandao waongo waongo wanaotengeneza maudhui kuwalenga vijana balehe.

Labda kama unatumia muktadha wa mzaha tu.
 
Ukute pisi to yeye, ingawa ni single mother ila kimuonekano (kwenye shepu) ni solid 7/10 kama huyu dada hapa chini au sio To yeye Melancholic
Screenshot_20250210-174318.jpg
 
Sikubaliani na wewe mkuu.
Okay,nakubaliana kuwa haukubaliani na mimi, nipe hoja zako nakusikiliza.
Siamini kama kuna mwanasaikolojia, mwanasosholojia, au mtaalam yeyote wa mahusiano anayepima mvuto kwa hichi kigezo, labda unithibitishie.
Nadhani utakuwa mgeni wa maswala ya mahusiano especially unaonekana kuwa sio mfuatiliaji wala msikilizaji mzuri wa podcast materials za kisasa.

Unanikumbusha jamaa yangu m'moja ambaye alikuwa akibishana na mwenzake aliyemwambia tanzania mbona gari kama Ferrari, Bentley, Rolls Royce zipo bongo zimejaa tele. Akabisha na kusema haiwezekani sababu haamini kama kuna mtanzania mwenye pesa ataweza miliki zile gari. Akaonyeshwa picha za Instagram akajiona namna ni mweupe na hajui vitu but anahisi anajua.

So the issue kwamba wewe haujui kuwa kuna hicho kipimo haimaanishi kuwa hakipo,shida ni hauna taarifa na sio mfuatiliaji. Kama unasikiliza podcast za mapsychologists ingia hapo google andika a scale of one to ten for women beauty utaona maelezo tofauti tofauti.
Mvuto upo kimtazamo, na mvuto sio muonekano pekee.
Hakuna sehemu nimesema mvuto ni muonekano pekee ila kabla haunamjua mtu tabia ni kipi huanza kuvutiwa nacho,au wewe ni kipofu unapenda watu kwa kutumia sauti zao kwanza badala ya muonekano?
Hichi kigezo nakiona kwa wanamitandao waongo waongo wanaotengeneza maudhui kuwalenga vijana balehe.
Inategemea unaongelea akina nani mimi sijaongelea hawa "self proclaimed" psychological influencers,me naongelea experienced life and relationships coaches and academically trained professionalz. Wapo wengi sana. Unamfahamu Teal Swan, Sadia Khan, Dk. Jordan Peterson, Kevin Samuels, Conor Santry, Dr. Umar Johnson kwa kuwataja wachache tu,je unawajua hawa na kufuatilia podcast materials zao?🤔
Labda kama unatumia muktadha wa mzaha tu.
Nitenge muda kabisa nakuja online kwaajiri ya kuandika mzaha,mzee upo serious kwenye hili unalosema?
 
Kwa mujibu huo kwahio wife material ni kwanzia 4 had 6 professor? Kwengne kujipa stress sio
Most wanaume wanaosettle na wanawake hucheza na group kuanzia namba 2 hadi 4 ndipo kwenye utulivu kama uchumi wako ni wa mashaka.

Ila kuanzia 5 hadi 6 hapo ni uwe kuanzia uchumi wa kati kwenda juu. 7 na 9 hapo uwe levels za Christian Ronaldo, Chris brown, mengi, uwe na pesa za uhakika maana unadeal na kazi ambazo wewe mwenyewe kumiliki unajua kuwa anatakiwa kupewa special treatments.
 
Ukute pisi to yeye, ingawa ni single mother ila kimuonekano (kwenye shepu) ni solid 7/10 kama huyu dada hapa chini au sio To yeye Melancholic
View attachment 3250653
Hii ni sita mzee. Kwa macho ya haraka. Ina tako na upaja wa maana sina uhakika .guu wa chini kama upo vema. Sura ipo kawaida,nywele kaweka feki,na mwili wake ni wakujimaintain yaani anajimaintain kuwa hivyo. Na hapa hatuna uhakika kama edit hazijahusika.
 
Nazungumzia kifaa cha kukujulisha kama huyu level namba 6 au 3
Aaah okay,hatutumii kifaa. Kama umenisoma vizuri niligusia baadhi ya sababu kwann unumweka mtu katika namba fulani.

Kwa mfano unakutana na binti anashape ila hana sura nzuri, yaani unaweza kuzisema sifa zake kuwa huyu ana sura nzuri na miguu mizuri basi. Au ana kichwa kimekaa vizuri akinyoa na lips nzuri, hapo tayari unajua huyu kwenye soko la mapenzi au kutongozana anaangukia namba 4.

Kuna yule ambaye ana mguu mzuri,kimo kizuri rangi nzuri ila hana nywele nzuri lazima avae wigi au ashonee mawiving,halafu apakae make-up na kuvaa nguo fulani fulani za kushawishi huyo anaangukia katika 5/10 yaani nusu. Kwasababu ukitoa hivyo vitu yaani nywele feki,make up na nguo uzuri wake unapungua na anakuwa havutii sana na hata wewe unaetoka nae utalazimika kumtengea bajeti ya mavazi, saloon ili aweke nywele feki na kutengeneza muonekano wa kutambia mjini,asipofanya hivyo anakuwa na dosari zanazomtoa kwenye uzuri.

Kwa kifupi, kwenye hiyo scale ya 1 to 10,wanawake wanaopatikana chini ya 5 yaani 4,3,2, na 1 hawa wote hawakimbizi katika soko hadi wajiongeze thamani kwa vitu vya ziada.

Wanaopatikana juu ya 5 yaani 6,7,8 na 9 hawa ni wazuri na wanatia efforts ndogo sana kuwa wazuri.

Unamfahamu Nancy Sumari,umeona anatumia make up au kuweka mawigi yupo natural ila anavutia na uzuri wake unaonekana kwenye picha zake nyingi,sijasema kuwa hatumii hizo vitu.

Unamuona Beyonce bila make up anakuwa mali au sio mali?

Mfikirie mwanamke unayemjua ambaye hatii make up ila ukimuona ni kesi. So inategemea.
 
Nazungumzia kifaa cha kukujulisha kama huyu level namba 6 au 3
Aaah okay,hatutumii kifaa. Kama umenisoma vizuri niligusia baadhi ya sababu kwann unumweka mtu katika namba fulani.

Kwa mfano unakutana na binti anashape ila hana sura nzuri, yaani unaweza kuzisema sifa zake kuwa huyu ana sura nzuri na miguu mizuri basi. Au ana kichwa kimekaa vizuri akinyoa na lips nzuri, hapo tayari unajua huyu kwenye soko la mapenzi au kutongozana anaangukia namba 4.

Kuna yule ambaye ana mguu mzuri,kimo kizuri rangi nzuri ila hana nywele nzuri lazima avae wigi au ashonee mawiving,halafu apakae make-up na kuvaa nguo fulani fulani za kushawishi huyo anaangukia katika 5/10 yaani nusu. Kwasababu ukitoa hivyo vitu yaani nywele feki,make up na nguo uzuri wake unapungua na anakuwa havutii sana na hata wewe unaetoka nae utalazimika kumtengea bajeti ya mavazi, saloon ili aweke nywele feki na kutengeneza muonekano wa kutambia mjini,asipofanya hivyo anakuwa na dosari zanazomtoa kwenye uzuri.

Kwa kifupi, kwenye hiyo scale ya 1 to 10,wanawake wanaopatikana chini ya 5 yaani 4,3,2, na 1 hawa wote hawakimbizi katika soko hadi wajiongeze thamani kwa vitu vya ziada.

Wanaopatikana juu ya 5 yaani 6,7,8 na 9 hawa ni wazuri na wanatia efforts ndogo sana kuwa wazuri.

Unamfahamu Nancy Sumari,umeona anatumia make up au kuweka mawigi yupo natural ila anavutia na uzuri wake unaonekana kwenye picha zake nyingi,sijasema kuwa hatumii hizo vitu.

Unamuona Beyonce bila make up anakuwa mali au sio mali?

Mfikirie mwanamke unayemjua ambaye hatii make up ila ukimuona ni kesi. So inategemea
Ndio tunakutana Ndotoni ila hana sura 1
Mzee unatomba jini.😂😂😂
 
Unapotazama mwili wa mwanamke kuna vipande lazima viwepo ili kusema demu ana mwili mkali.

Wanawake kuanzia 7 huwa wabakuwa na huo mwili wenye hizo section muhimu yaani, kichwa,shingo.

Halafu section ya chini ya shingo yaani kwa mbele ni mabega eneo la collarbone, kifua cha kike chenye maziwa yaliyosimama vema, mgongoni ni mgongo uliobonyea vizuri na kuweka tuta la uti wa mgongo na kisha mgongo wenyewe yaani mrefu hata akivaa gauni la kuacha mgongo wazi unaona kabisa huyu mtu ana mgongo mzuri, mbele tumbo linajiumba vema kuingia ndani na kuonesha section ya mbavu inayokuja kuachaia nafasi ya mifupa ya nyonga yaani hip bone, then nyonga kwa nyuma,kwa mbele kile kisection kinachovaliwa bikini,nyuma tako linalokamatana hips huku kuelekea kwenye mapaja.

Then paja lenyewe,then mguu wa chini ambao huwa inaitwa miguu ya bia au miguu mizuri .

Wanawake wengi kwenye around 5 kushuka wanaukuwa hawana body ya hivyo. Unakuta mwanamke ana kichwa shingo then hapo katika kuna fujo hazieleweki mgongo ni wapi,nyonga ni wapi, hips ni zipi then unashangaa tu miguu hii hapa mapaja na miguu ya chini ratios hazieleweki.

Tunaishi nao tu kwasababu tunataka amani. Ila wao wanajiona ni 7 kwenda juu huko.

Tunawa
 
Tatizo la mwanamke ni umri kadri unavyosonga anaweza kutoka namba 10 akatulia kwenye 2 au 3,,
Asonge aende wapi wewe...mwanamke uzuri wake unaisha pale ambapo kidume ulishamkojolea mara tatu tuu
 
Anaeza kua namba 1 kimwili ila medula yake ni 10/10 and vice versa. Hicho kigezo vp au tuna_consider tu physical appearance.
 
Back
Top Bottom