Ha ha ha ha ha π π π π
We acha kuchora wenzako wa hilo kundi. We hapo upo zako namba 6 unawacheka wenzako, hilo tako na mshepu plus rangi ya mtume na nywele hizo unakuwaje namba 1?πππ
Hahaha huwa unapenda kubashiri jinsi nilivyo kwenye Uhalisia ilihali huna uhakika, mimi ndio nakuambia sasa hiyo namba sita umenipendelea mno, mimi ni namba moja mkuu kama unabisha sawa π€£π€£