Fahamu namna ya utegaji Nyuki ili waingie kwenye mzinga

Fahamu namna ya utegaji Nyuki ili waingie kwenye mzinga

Haina madhara yoyote zaidi ya harufu inayoweza kuwavitia nyuki, haiwashi hivyo sidhani kama unaweza kutumika kama silaha.


Umemuelewa??!!---- silaha ya "maangamizi" ni chambo cha kuwavuta madem★.🤣
 
Umesema nyuki ana mazao sita, mbali na asali mengine ni yapi hayo? Soko lake likoje nalo?
Nadhani sikupata wasaa wa kukujibu swali hili, masoko yapo lakini pamoja na kuwepo lazima tuelezane umweli, soko la bidhaa yoyote lazima upambane nalo haiwezekani ukiwa na Asali hapo baasi wateja watakuja tu, laaa hasha, lazima wajue unapatikanaje na uhakika was mzigo wako wanapohktaji, hasa kwa wasoko makubwa na yale ya nje
 
Dawa nzuri ni mafuta ya kiboko tu sitawambia tena ila mtakuja nishukuru
 
Back
Top Bottom