Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Kwa wasiojali kabisa suala la matumizi sahihi ya Lugha. Naombeni kuwajulisha rasmi kuwa neno sahihi ni TOFALI sio tofari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio JF hata sehemu nyingi wanazouza matofali wanandika matofari!kabisa suala la matumizi sahihi ya Lugha. Naombeni kuwajulisha rasmi kuwa neno sahihi ni TOFALI sio tofari.
Wanakera sana.Sio JF hata sehemu nyingi wanazouza matofali wanandika matofari!
Kura nimekura pa kurara je?a wasiojali kabisa suala la matumizi sahihi ya Lugha. Naombeni kuwajulisha rasmi kuwa neno sahihi ni TOFALI sio tofari.
Hawa wa JF wanakosea hadi kuandikaMara nyingi L na R zikiwa kwenye neno Moja utamkaji wake hua changamoto sio kwamba wanaokosea wanafanya makusudi
Wala siyo kigoma,mijitu mingi tu haijui kuandika na kutamka kiswahili,utasikia raza,apa,apana,ao,kazalika nk, unajiuliza huko shule wafundishwa nini siku hizi!? Kutwa wako shule,hawajui jiografia hata ya nchi yao,wala historia,shule waingia alfajir watoka jioniLambilambi-rambirambi
Tofari-Tofali
Ni watu kutokea mkoa wa kigoma
Ongezea na hilia wasiojali kabisa suala la matumizi sahihi ya Lugha. Naombeni kuwajulisha rasmi kuwa neno sahihi ni TOFALI sio tofari.
HahahaaaOngezea na hili
Ni mwandishi sio muandishi😅
Huu ni uvamizi na unaijeruhi Lughawe mwenyewe Kiswahili haujui vyema
Don't mention it kawaida tu
Hata sijui baraza la Kiswahili (BAKITA) wanafanya kazi gani.😎Huu ni uvamizi na unaijeruhi Lugha
mimi naibaka!Huu ni uvamizi na unaijeruhi Lugha