Sasa ujue ili iweje sasa?Hata sijui baraza la Kiswahili (BAKITA) wanafanya kazi gani.😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ujue ili iweje sasa?Hata sijui baraza la Kiswahili (BAKITA) wanafanya kazi gani.😎
Kwenye kuandika wanazinguaHawa wa JF wanakosea hadi kuandika
Kwani mimi nikijua wewe unataka iweje?😎Sasa ujue ili iweje sasa?
So ndio hapo sasa? Ebu ingia hapo 7eleven ucheze totoKwani mimi nikijua wewe unataka iweje?😎
Toto ndio nini?So ndio hapo sasa? Ebu ingia hapo 7eleven ucheze toto
Sasa mbona hueleweki?😎
Hii mbuzi ❌Gari nyingi ❌
Magari mengi ✅
Mie hii ndio sijawahi kujua usahihi wake:Kwa wasiojali kabisa suala la matumizi sahihi ya Lugha. Naombeni kuwajulisha rasmi kuwa neno sahihi ni TOFALI sio tofari.
Ni kachumbari😎Mie hii ndio sijawahi kujia usahihi wake: ni kachumbari au kachumbali
Yaani ni kama vile binzari na binzali😎Mie hii ndio sijawahi kujua usahihi wake:
ni kachumbari au kachumbali