Fahamu siri kubwa iliyopo nyuma ya namba 13

Fahamu siri kubwa iliyopo nyuma ya namba 13

Namba mbovu isio gawanyika katika ulimwengu was Anga za uajemi. Huko hakuna kitu kinacho itwa nusu. Huko ni 2,4,6,8. Hizi uku ifanya iwe makumi it's gawanyika namba chafu isio takiwa 3,7,9. Kwenye makumi nilazima nusu ihusike.
 
Namba mbovu isio gawanyika katika ulimwengu wa Anga za uajemi. Huko hakuna kitu kinacho itwa nusu. Huko ni 2,4,6,8. Hizi uku ifanya iwe makumi ina gawanyika namba chafu isio takiwa 3,7,9. Kwenye makumi nilazima nusu ihusike.
 
Ukiwa na Yesu haya mambo hayawezi kuaply
Sema
Ukiwa na Mola muumba mbingu na ardhi

Yesu hana nafasi katika ufalme wa Mola Muumba
Bali ni kiumbe kama viumbe wengine wa Mungu Muumba

acheni utani katika mambo mazito nyie Kondoo wa Yesu Kristo

Yesu ni Mtume wa Mungu kama Mitume wengine

Si Mungu
wala Mtoto wa Mungu

wala hana sifa ya kuwa Mungu Muumba hata sekunde
 
Kwa mujibu wa wanajimu,wasema kuna idadi ndogo sana duniani ya watu waliozaliwa tarehe 13,wengi wao hufariki dunia wakiwa watoto wadogo sana na endapo wakifanikiwa kukua na kuishi wanakuwa si wa kawaida.....jaribu kufatilia utabaini kwani hata Nyerere alizaliwa tarehe hiyo,fatilia kwa makini hata wewe watu wanakuchukuliaje mtaani kwenu...
Sema baadhi kuna wafanyakazi wenzangu wawili wamezaliwa hizo tarehe tena ni watu wazima 45+ lakini hakuna cha zaidi ninachokiona kwako kuliko sisi

Sema baadhi

Halafu hizo ni iman za wazungu sio zetu
 
Sema baadhi kuna wafanyakazi wenzangu wawili wamezaliwa hizo tarehe tena ni watu wazima 45+ lakini hakuna cha zaidi ninachokiona kwako kuliko sisi

Sema baadhi

Halafu hizo ni iman za wazungu sio zetu
🎅
 
(1) 13÷13=1
(2) 13+13=26
(3) 13×13=169
(4) 13-13=0

Mbona it behaves the same as other numbers, why then hate it???
 
utafiti unaonyesha kuna ukweli a hili jambo
 
Katika harakati zangu za hapa na pale nimekuja kugundua jambo kuhusu hii namba 13,huku wengi wakiihusisha namba hiyo na nguvu za kishetani...mfano mdogo karibia hoteli zote duniani hakuna chumba namba 13,badala yake wanaweka chumba namba 12A na 12B.

Kibiashara pia tarehe 13 inahusishwa kuwa ni siku ya kutoa sadaka kwa mizimu,mara nyingi siku hii inakuwa haina faida kwao,mauzo yanashuka kiasi.

Kwenye usafiri,mara nyingi watu wenye nguvu za giza hawezi kukaa siti namba 13,wengi wanaikwepa.....fanya utafiti utagundua.

Kwa wafanyakazi maofisini kuanzia siku ya 13 kunakuwaga na nuksi na mifarakano ya hapa na pale.

Ukienda Mahospitalini Kitanda namba 13 kinachukua sana uhai wa watu,kwa waliokomaa kwenye nguvu za kishetani huwezi kumlaza kitanda hicho yuko radhi akaugulie nyumbani au ahame kitanda kuliko kulala hicho kitanda.

Bado nafatilia kwenye mambo ya ndoa na kifamilia ili niweze kubaini 13 ina nafasi gani kwenye sehemu hizo.

Kama ulikuwa hujui jaribu kufatilia kuanzia leo utapata ukweli,....

Nimezaliwa tarehe 13
Ni namba ya bahati kwangu, nikifanya jambo tarehe hii sikosi!!

Ajira ya kwanza nilisaini tarehe exactly niliyozaliwa (birthday)

Ajira ya pili nilipigiwa simu ya kuitwa kazini tarehe 13

Nimeoa tarehe 13/12 ilipangwa tarehe ingine ila likatokea tukio ikaahirishwa na kupangwa tarehe hiyo!!

Ni tarehe au namba niipendayo, haina shida nami!
 
Labda ndio maana ana rap tu muda mrefu lakini hana hela.
Mafanikio ya Fid kiuchumi bado hayafikii uwezo wake kimuziki, i mean bado jamaa muziki haujamlipa,ana nyota ya AGOSTI 13!!
 
Back
Top Bottom