Soso J
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 1,976
- 1,223
Uwenda sio binadam....[emoji18]
hahahaha umetisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwenda sio binadam....[emoji18]
Ngumu kumeza 🙁🙁🙁🙁🙁Ndege zote za Kimataifa huwa hazifanyi safari siku ya Ijumaa 13th......na zikifanya hivyo kuna hatari ya kupata balaa
Duuh hatari bonge la gunduKwenye mpira jezi namba 13 mara nyingi huvaliwa na golikipa tena wale wanaokaa benchi.
Michael Ballack ambaye enzi anacheza alipenda kuvaa jezi namba 13 nae amekutwa na maswahibu ya mkosi wa namba hiyo kama ifuatavyo:
2002 - Ballack akiwa Bayer Leverkusen alifungwa Fainali ya Uefa Champions League na Real Madrid
2002 - Ballack na timu ya taifa ya Ujerumani walifungwa fainali ya kombe la dunia na taji hilo kwenda Brazil.
2008 - Ballack akiwa na Chelsea walifungwa fainali ya Uefa na Man Utd
2008- Ballack akiwa na Ujerumani wanafungwa fainali ya Euro dhidi ya Hispania.
Huo ni mfano wa mkosi alioupata Michael Ballack akiwa na jezi namba 13 katika hizo fainali.
kwa mujibu wa mtoa mada anasema watu wakiozaliwa 13 n wachache sana duniani na wakibahatika kuishi wanakuwa si wa kawaida....we ukoje?[emoji23] mi nmezaliwa 13 ila kuna ndugu yangu kazaliwa 13 na yuko safi tu
Kutokuwa kawaida kivipi,mi nipo kawaida kabisa mbonakwa mujibu wa mtoa mada anasema watu wakiozaliwa 13 n wachache sana duniani na wakibahatika kuishi wanakuwa si wa kawaida....we ukoje?
Bro najua hujafanya utafiti ila ume kremishwa tuKatika harakati zangu za hapa na pale nimekuja kugundua jambo kuhusu hii namba 13,huku wengi wakiihusisha namba hiyo na nguvu za kishetani...mfano mdogo karibia hoteli zote duniani hakuna chumba namba 13,badala yake wanaweka chumba namba 12A na 12B.
Kibiashara pia tarehe 13 inahusishwa kuwa ni siku ya kutoa sadaka kwa mizimu,mara nyingi siku hii inakuwa haina faida kwao,mauzo yanashuka kiasi.
Kwenye usafiri,mara nyingi watu wenye nguvu za giza hawezi kukaa siti namba 13,wengi wanaikwepa.....fanya utafiti utagundua.
Kwa wafanyakazi maofisini kuanzia siku ya 13 kunakuwaga na nuksi na mifarakano ya hapa na pale.
Ukienda Mahospitalini Kitanda namba 13 kinachukua sana uhai wa watu,kwa waliokomaa kwenye nguvu za kishetani huwezi kumlaza kitanda hicho yuko radhi akaugulie nyumbani au ahame kitanda kuliko kulala hicho kitanda.
Bado nafatilia kwenye mambo ya ndoa na kifamilia ili niweze kubaini 13 ina nafasi gani kwenye sehemu hizo.
Kama ulikuwa hujui jaribu kufatilia kuanzia leo utapata ukweli,....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanasema pia China na Amerika hakuna ghorofa lenye floor ya 13 eti inajump kutoka 12 hadi 14....
Acha kuamini ushirikinaKatika harakati zangu za hapa na pale nimekuja kugundua jambo kuhusu hii namba 13,huku wengi wakiihusisha namba hiyo na nguvu za kishetani...mfano mdogo karibia hoteli zote duniani hakuna chumba namba 13,badala yake wanaweka chumba namba 12A na 12B.
Kibiashara pia tarehe 13 inahusishwa kuwa ni siku ya kutoa sadaka kwa mizimu,mara nyingi siku hii inakuwa haina faida kwao,mauzo yanashuka kiasi.
Kwenye usafiri,mara nyingi watu wenye nguvu za giza hawezi kukaa siti namba 13,wengi wanaikwepa.....fanya utafiti utagundua.
Kwa wafanyakazi maofisini kuanzia siku ya 13 kunakuwaga na nuksi na mifarakano ya hapa na pale.
Ukienda Mahospitalini Kitanda namba 13 kinachukua sana uhai wa watu,kwa waliokomaa kwenye nguvu za kishetani huwezi kumlaza kitanda hicho yuko radhi akaugulie nyumbani au ahame kitanda kuliko kulala hicho kitanda.
Bado nafatilia kwenye mambo ya ndoa na kifamilia ili niweze kubaini 13 ina nafasi gani kwenye sehemu hizo.
Kama ulikuwa hujui jaribu kufatilia kuanzia leo utapata ukweli,....
Unajua maana ya ushirikina wewe magego?Acha kuamini ushirikina
I don't care what u know....fu.ck your way...Bro najua hujafanya utafiti ila ume kremishwa tu
Park Ji Sung alifanikiwa akiwa United na hiyo jeziKwenye mpira jezi namba 13 mara nyingi huvaliwa na golikipa tena wale wanaokaa benchi.
Michael Ballack ambaye enzi anacheza alipenda kuvaa jezi namba 13 nae amekutwa na maswahibu ya mkosi wa namba hiyo kama ifuatavyo:
2002 - Ballack akiwa Bayer Leverkusen alifungwa Fainali ya Uefa Champions League na Real Madrid
2002 - Ballack na timu ya taifa ya Ujerumani walifungwa fainali ya kombe la dunia na taji hilo kwenda Brazil.
2008 - Ballack akiwa na Chelsea walifungwa fainali ya Uefa na Man Utd
2008- Ballack akiwa na Ujerumani wanafungwa fainali ya Euro dhidi ya Hispania.
Huo ni mfano wa mkosi alioupata Michael Ballack akiwa na jezi namba 13 katika hizo fainali.
Ndo maana anakwambia kiubishiubishi[emoji23] [emoji23]Sasa Ngosha Fid Q
Aliyezaliwa Agosti 13 inakuwaje?
Ndo namsubiri niwe nae, alisema anarudi!Ukiwa na Yesu haya mambo hayawezi kuaply