Fahamu siri kubwa iliyopo nyuma ya namba 13

Fahamu siri kubwa iliyopo nyuma ya namba 13

Kwenye mpira jezi namba 13 mara nyingi huvaliwa na golikipa tena wale wanaokaa benchi.

Michael Ballack ambaye enzi anacheza alipenda kuvaa jezi namba 13 nae amekutwa na maswahibu ya mkosi wa namba hiyo kama ifuatavyo:

2002 - Ballack akiwa Bayer Leverkusen alifungwa Fainali ya Uefa Champions League na Real Madrid

2002 - Ballack na timu ya taifa ya Ujerumani walifungwa fainali ya kombe la dunia na taji hilo kwenda Brazil.

2008 - Ballack akiwa na Chelsea walifungwa fainali ya Uefa na Man Utd

2008- Ballack akiwa na Ujerumani wanafungwa fainali ya Euro dhidi ya Hispania.

Huo ni mfano wa mkosi alioupata Michael Ballack akiwa na jezi namba 13 katika hizo fainali.
Duuh hatari bonge la gundu
 
Katika harakati zangu za hapa na pale nimekuja kugundua jambo kuhusu hii namba 13,huku wengi wakiihusisha namba hiyo na nguvu za kishetani...mfano mdogo karibia hoteli zote duniani hakuna chumba namba 13,badala yake wanaweka chumba namba 12A na 12B.

Kibiashara pia tarehe 13 inahusishwa kuwa ni siku ya kutoa sadaka kwa mizimu,mara nyingi siku hii inakuwa haina faida kwao,mauzo yanashuka kiasi.

Kwenye usafiri,mara nyingi watu wenye nguvu za giza hawezi kukaa siti namba 13,wengi wanaikwepa.....fanya utafiti utagundua.

Kwa wafanyakazi maofisini kuanzia siku ya 13 kunakuwaga na nuksi na mifarakano ya hapa na pale.

Ukienda Mahospitalini Kitanda namba 13 kinachukua sana uhai wa watu,kwa waliokomaa kwenye nguvu za kishetani huwezi kumlaza kitanda hicho yuko radhi akaugulie nyumbani au ahame kitanda kuliko kulala hicho kitanda.

Bado nafatilia kwenye mambo ya ndoa na kifamilia ili niweze kubaini 13 ina nafasi gani kwenye sehemu hizo.

Kama ulikuwa hujui jaribu kufatilia kuanzia leo utapata ukweli,....
Bro najua hujafanya utafiti ila ume kremishwa tu
 
Vipi kama mtu ukijenga kiwanda halafu kikazinduliwa tarehe 13?
 
Katika harakati zangu za hapa na pale nimekuja kugundua jambo kuhusu hii namba 13,huku wengi wakiihusisha namba hiyo na nguvu za kishetani...mfano mdogo karibia hoteli zote duniani hakuna chumba namba 13,badala yake wanaweka chumba namba 12A na 12B.

Kibiashara pia tarehe 13 inahusishwa kuwa ni siku ya kutoa sadaka kwa mizimu,mara nyingi siku hii inakuwa haina faida kwao,mauzo yanashuka kiasi.

Kwenye usafiri,mara nyingi watu wenye nguvu za giza hawezi kukaa siti namba 13,wengi wanaikwepa.....fanya utafiti utagundua.

Kwa wafanyakazi maofisini kuanzia siku ya 13 kunakuwaga na nuksi na mifarakano ya hapa na pale.

Ukienda Mahospitalini Kitanda namba 13 kinachukua sana uhai wa watu,kwa waliokomaa kwenye nguvu za kishetani huwezi kumlaza kitanda hicho yuko radhi akaugulie nyumbani au ahame kitanda kuliko kulala hicho kitanda.

Bado nafatilia kwenye mambo ya ndoa na kifamilia ili niweze kubaini 13 ina nafasi gani kwenye sehemu hizo.

Kama ulikuwa hujui jaribu kufatilia kuanzia leo utapata ukweli,....
Acha kuamini ushirikina
 
Kwenye mpira jezi namba 13 mara nyingi huvaliwa na golikipa tena wale wanaokaa benchi.

Michael Ballack ambaye enzi anacheza alipenda kuvaa jezi namba 13 nae amekutwa na maswahibu ya mkosi wa namba hiyo kama ifuatavyo:

2002 - Ballack akiwa Bayer Leverkusen alifungwa Fainali ya Uefa Champions League na Real Madrid

2002 - Ballack na timu ya taifa ya Ujerumani walifungwa fainali ya kombe la dunia na taji hilo kwenda Brazil.

2008 - Ballack akiwa na Chelsea walifungwa fainali ya Uefa na Man Utd

2008- Ballack akiwa na Ujerumani wanafungwa fainali ya Euro dhidi ya Hispania.

Huo ni mfano wa mkosi alioupata Michael Ballack akiwa na jezi namba 13 katika hizo fainali.
Park Ji Sung alifanikiwa akiwa United na hiyo jezi
 
Myths tu hakuna kitu chochote....sasa kinamba ukitoka 12 si inaingia 13? Hata ukiskip ukaweke 14 still ni 13 tu labda usijenge hapo 13 uweka parking ya magari na 14 ndio ofisi/vyumba etc
 
Back
Top Bottom