Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata uwanjani jezi hiyo adimu.Katika harakati zangu za hapa na pale nimekuja kugundua jambo kuhusu hii namba 13,huku wengi wakiihusisha namba hiyo na nguvu za kishetani...mfano mdogo karibia hoteli zote duniani hakuna chumba namba 13,badala yake wanaweka chumba namba 12A na 12B.
Kibiashara pia tarehe 13 inahusishwa kuwa ni siku ya kutoa sadaka kwa mizimu,mara nyingi siku hii inakuwa haina faida kwao,mauzo yanashuka kiasi.
Kwenye usafiri,mara nyingi watu wenye nguvu za giza hawezi kukaa siti namba 13,wengi wanaikwepa.....fanya utafiti utagundua.
Kwa wafanyakazi maofisini kuanzia siku ya 13 kunakuwaga na nuksi na mifarakano ya hapa na pale.
Ukienda Mahospitalini Kitanda namba 13 kinachukua sana uhai wa watu,kwa waliokomaa kwenye nguvu za kishetani huwezi kumlaza kitanda hicho yuko radhi akaugulie nyumbani au ahame kitanda kuliko kulala hicho kitanda.
Bado nafatilia kwenye mambo ya ndoa na kifamilia ili niweze kubaini 13 ina nafasi gani kwenye sehemu hizo.
Kama ulikuwa hujui jaribu kufatilia kuanzia leo utapata ukweli,....
Ha ha ha ha, mkuu usitishike wapelekee tu.13 kila mwezi marejesho bank naumia sana
TobaaaaaaWanasema pia China na Amerika hakuna ghorofa lenye floor ya 13 eti inajump kutoka 12 hadi 14....
Thanks for such an incredible analysis. There is a promising smell on the evident of number 13 to be unlucky number.If you visit China or America, you will find that most hotels and buildings don’t have a thirteenth floor. You will see floor number twelve and you will see floor number fourteen but there will be no thirteenth floor in the middle since it is considered unlucky. Even the house after number twelve is number 12 ½ and not 13. After 12 ½ comes the house number 14. Did you know that there are people who are ‘scared’ of the number 13? The fear is called triskaidekaphobia.
If you think about it, there have been a number of incidents that have fuelled this belief. You could take the Apollo 13 for example. This was the single unsuccessful mission by the superpower United States of America. It was supposed to land on the moon but it failed. On April 13, 1970 an oxygen tank exploded and this caused the ground crew and the flight crew to go through a number of intense and difficult days. The astronauts were, however, safe. The mission may have failed but it has made its mark in the history of the world.
Another example is the Columbia Space Shuttle. This one went into space on 1/16/2003. Add all the numbers and you will get the number 13. During its re-entry into Earth, it exploded. All the crewmembers aboard the shuttle died.
You can also think about the analysis made by The Telegraph, the leading United Kingdom newspaper, in 2005. They analyzed the lottery balls that won right form the year 1994, which marked the beginning of the UK National Lottery. Their analysis showed that number 13 was indeed an unlucky number. It was drawn only 120 times since 1994 to 2004. The luckiest ball was found to be 38. It was drawn for whopping 182 times.
Even Microsoft considers the number 13 very unlucky and that is the reason why there is no version 13 of Microsoft office. The version 12 is Microsoft Office 2007 and the next version Microsoft Office 2010 is actually version 14. Thus, the company skipped number 13 all together.
Michael Ballack aliidai namba 13...!Wajerumani hawatumii no 13.
Elia Nathanael(kama sikosei) alikuwa anaivaa jezi namba 13 akiwa Simba SC.Hata uwanjani jezi hiyo adimu.
Amen.Ukiwa na Yesu haya mambo hayawezi kuaply
hawazipi majina,ndo mana mtoa mada kasema hakuna chumba namba 13 kwenye mahotel but kwa kuhesabu unaweza kupata room ya 13 but inakua named 12B....you feel me dude?Hapo kwenye ghorofa utajengaje bila kupitia mtiririko wa namba? Kwa kuzipa majina sawa ila kiuhalisia no. 13 inakuwepo.
Mm huwa siamini hizi imani kbsa.
Ichi kitu hata apa bongo nimekiona ulivyoongea ndo nimekumbuka. Voda HQ pale Paloma, Morocco. Lile jengo kwenye lift yake hakuna namba 13.Wanasema pia China na Amerika hakuna ghorofa lenye floor ya 13 eti inajump kutoka 12 hadi 14....
Nyie mtakuwa mmejizaa wenyew...[emoji32]Dah! na sie tuliozaliwa tarehe 13 tufanyeje sasa? maana dah!
Uwenda sio binadam....[emoji18]Sasa Ngosha Fid Q
Aliyezaliwa Agosti 13 inakuwaje?
Hata magari ya mashindano, hakuna gari inayobandikwa namba 13 ubavuni.Katika harakati zangu za hapa na pale nimekuja kugundua jambo kuhusu hii namba 13,huku wengi wakiihusisha namba hiyo na nguvu za kishetani...mfano mdogo karibia hoteli zote duniani hakuna chumba namba 13,badala yake wanaweka chumba namba 12A na 12B.
Kibiashara pia tarehe 13 inahusishwa kuwa ni siku ya kutoa sadaka kwa mizimu,mara nyingi siku hii inakuwa haina faida kwao,mauzo yanashuka kiasi.
Kwenye usafiri,mara nyingi watu wenye nguvu za giza hawezi kukaa siti namba 13,wengi wanaikwepa.....fanya utafiti utagundua.
Kwa wafanyakazi maofisini kuanzia siku ya 13 kunakuwaga na nuksi na mifarakano ya hapa na pale.
Ukienda Mahospitalini Kitanda namba 13 kinachukua sana uhai wa watu,kwa waliokomaa kwenye nguvu za kishetani huwezi kumlaza kitanda hicho yuko radhi akaugulie nyumbani au ahame kitanda kuliko kulala hicho kitanda.
Bado nafatilia kwenye mambo ya ndoa na kifamilia ili niweze kubaini 13 ina nafasi gani kwenye sehemu hizo.
Kama ulikuwa hujui jaribu kufatilia kuanzia leo utapata ukweli,....