Fahamu utabiri wa Marais wote wa Tanzania kutoka kwa wazee wa kale

Unamtisha mtabiri?
Tena mtabiri huyo Jeje alishafariki!!!
 
Hapa umeeleza nini, mbona bado haiekeweki?!
 
Nakumbuka Sheikh yahaya aliwahi kutabiri pia "baada ya jakaya atakuja rais mkali sana lakini hatadumu atafariki kisha atakuja rais mwanamke" miaka ile niliona kama chai kuongozwa na raisi mwanamke.... kumbe imetimia
 
Ndiyo,Farao alikuwa anawatisha watabiri,anawaambia,"Nyie watabiri tuelewane,sitaki kumsikia mtu anasema 'Farao atakufa mwaka kesho''
Si Rahisi kuzuia kilichopangwa from above,

FARAO alitoa order wauwawe watoto wote wa kiume sababu Waganga wake walimtabiria kuwa Musa amezaliwa atakayewatoa waisraeli utumwani.

Wakauwawa watoto wengi sana, bt secret mission ilikuwa hivi,

Binti wa Mfalme FARAO alikuwa na Utaratibu wa kwenda kuoga mtoni, Mamake Musa akamchukua mtoto Musa, akamweka ktk kikapu kinachoelea, akamwacha mtoto aende uelekeo wa Binti mfalme Kwa njia ya maji ya mto,

Binti FARAO akaona mtoto, akamwokota, na ni mtoto mojawapo ambaye Babake alitoa AMRI auawe,

Binti FARAO akaenda kumsihi babaye amkubali mtoto wa Adui akuzwe ndani ya IKULU ya FARAO, na FARAO akakubali.

Musa akaepuka kifo, akalelewa IKULU na muda ulipofika, Akatoka IKULU kupambana na FARAO na kuwaokoa waisraeli Kutoka mikono ya FARAO.

Jiulize, ujasiri wa mama wa FARAO ALIUTOA wapi?

Alipangalo Mungu, mwanadamu hawezi pangua.

Amen.
 
Very interesting although it is a story.
 
Dkt wa heshima? PhD? Dkt wa binadamu Au wanyama Au Dkt wa matunguli kama Dkt Manyaunyau

Una fahamu kuwa kuna Makabila mengi huko kwenu Mara

Je una fahamu chanzo cha makabila hayo kutokea?

Umesema kuwa yana ongea lugha tofauti, je ni kweli?

Wewe una fahamu lugha gani huko mkoa wa mara?

Wajita na wajita wakabwa

Naona bado upo katika utafiti na ukiufanyia utafiti huo Dar na Arusha badala ya kwenda Mara kwenyewe

Makabila haya Mengi yame tokana na Makabila machache ya
Kurya
Jita
Ruo

Haya Makabila ndio yame zaa Makabila mengine mengi unayo yaona huko

Nakushauri ufanye tafiti zaidi, nenda ukajifunze toka kwa wazee, wazee ni hazina
 
Inasemekana huko Morogoro Chief wao alitabiri ujio wa treni na magari hata mitumbwi ya Mindu dam
 
Ninyi ni wachache tunaompenda ni wengi na ndiyo wapiga kura hasa wa nchi hii.
Hasa hasa Waganga wa Kienyeji walimpenda sana Magufuri kuliko hata matunguri yao na sasa wanalia sana maana kula yao imetetereka sana baada ya Magufuri kufariki.
 
Duuuh watakuomba ushahidi mkuu
Mapigani yalikuwepo makali;watu kwa sababu watu wengi,au baadhi ya watu walikuwa wanataka Samia ajiuzulu awape nafasi ya kuunda serikali mpya. Samia akagoma. Kama alivyosema Samia,"Nilikwenda kwenye Katiba kuuliza 'kwani Katiba imeandika nini'"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…