Fahamu utabiri wa Marais wote wa Tanzania kutoka kwa wazee wa kale

Fahamu utabiri wa Marais wote wa Tanzania kutoka kwa wazee wa kale

Hapa umeeleza nini, mbona bado haiekeweki?!
Inaeleweka. JICHO KUBWA atakuja baada ya Samia. Kama Majaliwa (ai VP Mpango)ni JICHO KUBWA. Baada ya hapo atakuja JIWE na giza.
(naona hapa tutapata matatizo tusipoacha verbal diarhea)
 
Dkt wa heshima? PhD? Dkt wa binadamu Au wanyama Au Dkt wa matunguli kama Dkt Manyaunyau

Una fahamu kuwa kuna Makabila mengi huko kwenu Mara

Je una fahamu chanzo cha makabila hayo kutokea?

Umesema kuwa yana ongea lugha tofauti, je ni kweli?

Wewe una fahamu lugha gani huko mkoa wa mara?

Wajita na wajita wakabwa

Naona bado upo katika utafiti na ukiufanyia utafiti huo Dar na Arusha badala ya kwenda Mara kwenyewe

Makabila haya Mengi yame tokana na Makabila machache ya
Kurya
Jita
Ruo

Haya Makabila ndio yame zaa Makabila mengine mengi unayo yaona huko

Nakushauri ufanye tafiti zaidi, nenda ukajifunze toka kwa wazee, wazee ni hazina
Makabila mengi ya mara yanajitegemea. Si kweli kwamba yametokana na Kurya, Jita na Luo.
Ila kwa kuwa wameishi maeneo mamoja kuna uwezekanao wa kusikilizana.

Mfano. Historia kwa kifupi sana. Wazanake walitokea huko Rwanda, Wajita orijino wametokea maeneo ya Misri na Ethiopia wakashuka Uganda na kuingia Musoma, japo kuna wajita walotokea mashariki mwa Tanzania.

Wakwaya ni wenyeji wa Musoma mjini. Wajita walichangamana na wakwaya kidogo hivyo kuna baadhi ya maneno wanafanana, japo ni makabila mawili tofauti na mila tofauti. Wajita orijino wengi wao walikuwa warefu wanapua ndefu. Wamegawanyika katika koo kubwa tatu.

Wajaluo wametokea huko Sudan nakufuata mto Nile. Kuna Waruri, wapo maeneo ya Mgango, hawa pia watu uwajumuisha kama wajita lakini wanautofauti mkubwa. Mfano nyekundu Mruri uita kaang'aru wakati mjita uita tuk' rasi. Na mengineyo mengi.

Niishie hapa ni makabila kibao yapatayo 24. Wana mila na desturi tofauti. Hila mkoa wa Mara wanapendana kwani uitana wa Port kuonesha wanatokea sehemu moja. Mkurya atafahamu baadhi ya kijita na mjita atafahamu kikurya au kijaluo. Haya ndo maisha ya wana Mara.
 
2023-na kuendelea, Dunia itapitia kipindi kigumu na DHIKI ambayo haikuwahi Kutokea duniani.

Mungu atabomoa nyumba ya zamani Ili kujenga mpya.

Israel ni Taifa la AHADI, bt TANZANIA ni Taifa la AGANO.

Uchumi wa Dunia utaanguka, VITI vikubwa havitakalika, watu watavisusia.

Hayo ni maandalizi ya Kristo kuja kutawala Duniani miaka ELFU. KITI Cha enzi kitakuwa TANZANIA sababu ndiyo Nchi ya AHADI sawasawa na Ezekiel 30.

Tutegemee viboko vya kutosha Kutoka juu, maana mtoto anayependwa, huadhibiwa sana.

Amen.
Israel sio Taifa teule wala halina Ahadi yoyote ya Muumba wa dunia labda lina ahadi ya shetan kuliweka hapo middle east kuudanganya ulimwengu kuhusu asili ya uteule ni upi na kucontrol Uchumi wa wanyonge wa middle east, hili liko wazi...na kristo hawezi kurudi kiwepesi hivi kama watu dunian bado hawamjui hata muonekano wake ulikuwa vipi ama mnadhan ndiye yule afananae na wale wazungu wenu wa filam na picha za Hollywood?.

Leo hii kristo atokee hatakama mmekidhi kufuata sheria za dini+biblia je mtamjua? Hapa atawakana kuwa hawajui kama ambavyo hamumjui kwa kutengeneza sanamu na picha feki akilini mwenu ambazo si taswira yake.

Kiufupi dunia haitoisha leo wala kesho bali kuna miaka mingiiii itapitaa,

Matukio yanayotendeka dunian leo hii si mapya wala hayana maajabu kama yale yaliyotendeka zama zilizopita.

[emoji117] Ulimwengu wa sasa umestaarabika kidogo kuna utu, majanga ya dunia kutokea kwake itategemea na Imani+misimamo ya Waafrika+watu weusi dunian, maana hawa ndio wanaofanya dunia iende vip kulingana na misimamo yao kiakil+kimwil, kinafsi na kiroho,

[emoji117] Naandika hiv namaana kuwa waafrika leo hii wakiamua kuungana na kuamua lao moja, hakuna wa kupinga dunia nzima na ulimwengu utaenda kulingana na uamuzi wa waafrika taka usitake na hapo ndipo utakuja ule mwisho wa dunia, maana kila jambo litarudi ktk uhalisia na wapo watakaojaribu kupinga uwamuzi huo kwa njia za Vita(armagedon war) lakn haitawezekana maana umoja wa waafrika huo utaushinda uadui wa kuwapinga na hapa ndipo Ule ujio wa Kristo wa kwel (kudumane mula/jokisabe the true Black man Savior) utatimia atakapowashindia watu weusi na jamii za watu weupe zitakaowasapoti hawa watu weusi dhidi ya Uhayawani wa wapinzani(wakoloni+vibaraka wa wakolon watu weusi)

Na huo ndio utabiri ambao Vatican iliubadili ili kuficha ukweli wa mambo na kuwaletea biblia ambazo zimechakachua maandiko kwa maslahi yao wenyewe.

Tanzania pia ni Taifa teule ingawa Afrika nzima ni Teule, Tz itakuja kuwa kimbilio la Watu dunian kama ilivyo jina lake la Ardhi Salama ndiomaana hata leo hii huioni Tz ikiwa na migogoro dunian ama kujulikana sana dunian hii moja ya sababu za maandaliz hapo baadae, hata wanaolalamika kwann Tz haijulikan sana dunian, hizi ni sababu za kiusalama kiroho, hapo baadae mtaelewa nachoandika kama mtakuwa bado hai, maana itachukua miaka mingi haya kutimia.

Kiwepesi tu Afrika ndio muamuzi wa mwisho wa Kutimia kwa Utabili wa mwisho wa dunia, namaana kuwa waafrika wakiendelea kulegea kuujua ukweli, hata mwisho utachelewa kufika maana unasubiri maamuzi yetu na utayari wetu wa kubadirika na kuujua ukweli(ndioamaan wazungu wanawaficha historia yenu ili kuepuka mwisho huo),

[emoji117] Haya mambo babu zetu waliyajua ndiomaana walikataa urafiki na hao wana wa shetan(wazungu+watu weupe/wanefili/uzao wa shetan/aliens)

Hiki kizazi chetu cha mashindikanaa na viburi+ujuaji ndio tunajifanya wajuaji kwa kuasi/kupinga sheria za asili ndiomaana mabaya yanatukuta, umasikin na kutawaliwa.

Tuamke wajamaeni tujitahidi kutumia mitandao hii kwa usahihi, Huyo mnaemuita Kristo Ujio wake wa Mwenzie wa Pili umeshatimia, na nyie mko bize na mamipira+anasa na maujinga ya kila aina huku hatujui kuwa dunian kuna Mgeni Aliyetabiliwa miaka mingi hata kwenye biblia zenu maandiko yapo japo wamechakachua wazungu kwa kufichafcha tusijue nini kinaendelea.

Niishie hapa nisiwachoshe wavivu.
 
Dkt wa heshima? PhD? Dkt wa binadamu Au wanyama Au Dkt wa matunguli kama Dkt Manyaunyau

Una fahamu kuwa kuna Makabila mengi huko kwenu Mara

Je una fahamu chanzo cha makabila hayo kutokea?

Umesema kuwa yana ongea lugha tofauti, je ni kweli?

Wewe una fahamu lugha gani huko mkoa wa mara?

Wajita na wajita wakabwa

Naona bado upo katika utafiti na ukiufanyia utafiti huo Dar na Arusha badala ya kwenda Mara kwenyewe

Makabila haya Mengi yame tokana na Makabila machache ya
Kurya
Jita
Ruo

Haya Makabila ndio yame zaa Makabila mengine mengi unayo yaona huko

Nakushauri ufanye tafiti zaidi, nenda ukajifunze toka kwa wazee, wazee ni hazina
Ndugu yangu Chillah; hata sijui nikujibu lipi maana naona umeamua kunidhalilisha kwa maswali yako kama mimi ni Dkt wa mifugo au matunguli au wa heshima au PhD. Hata hivyo nitakujibu kama ifuatayo mimi ni mtaalamu wa fani ya Economic sciences /Tourism na Hospitality management ngazi ya PhD naomba niishie hapa niache niendelee na ujinga wangu wa kuandaa documentary ya cultural tourism ya Mkoa wa Mara labda kuna siku ujinga wangu utasaidia mkoa wetu kuongeza idadi ya watalii na kuboresha uchumi wetu.
 
Shida inakuja jiwe ni nani? Maana hata katika kitabu cha daniel mwishoni lilikuja jiwe kupiga miguu ya sanamu ya Nebuchadnezzar na kuanguka. Sasa nataka kujua huyu jiwe ni nani haswa
 
Ndugu yangu Chillah; hata sijui nikujibu lipi maana naona umeamua kunidhalilisha kwa maswali yako kama mimi ni Dkt wa mifugo au matunguli au wa heshima au PhD. Hata hivyo nitakujibu kama ifuatayo mimi ni mtaalamu wa fani ya Economic sciences /Tourism na Hospitality management ngazi ya PhD naomba niishie hapa niache niendelee na ujinga wangu wa kuandaa documentary ya cultural tourism ya Mkoa wa Mara labda kuna siku ujinga wangu utasaidia mkoa wetu kuongeza idadi ya watalii na kuboresha uchumi wetu.
Kama kuna neno ujinga basi unaweza highlight na kuonesha Nime kuzarau

Ila maswali huwa yapo kujua unae zungumza nae ni nani? Je kaandika hiyo title Dkt Au haipo hapo kwa bahari mbaya?

MaDkt ni wengi, wapo waheshima, wapo wa mitishamba, wapo binadamu Au wanyama na wapo ambao umejipambanua wa falsafa PhD kama sikosei

Mwisho nika kushauri Ufike eneo husika ukutane na wazee na uweze kupata hazina waliyo nayo kuhusu wao
 
Makabila mengi ya mara yanajitegemea. Si kweli kwamba yametokana na Kurya, Jita na Luo.
Ila kwa kuwa wameishi maeneo mamoja kuna uwezekanao wa kusikilizana.

Mfano. Historia kwa kifupi sana. Wazanake walitokea huko Rwanda, Wajita orijino wametokea maeneo ya Misri na Ethiopia wakashuka Uganda na kuingia Musoma, japo kuna wajita walotokea mashariki mwa Tanzania.

Wakwaya ni wenyeji wa Musoma mjini. Wajita walichangamana na wakwaya kidogo hivyo kuna baadhi ya maneno wanafanana, japo ni makabila mawili tofauti na mila tofauti. Wajita orijino wengi wao walikuwa warefu wanapua ndefu. Wamegawanyika katika koo kubwa tatu.

Wajaluo wametokea huko Sudan nakufuata mto Nile. Kuna Waruri, wapo maeneo ya Mgango, hawa pia watu uwajumuisha kama wajita lakini wanautofauti mkubwa. Mfano nyekundu Mruri uita kaang'aru wakati mjita uita tuk' rasi. Na mengineyo mengi.

Niishie hapa ni makabila kibao yapatayo 24. Wana mila na desturi tofauti. Hila mkoa wa Mara wanapendana kwani uitana wa Port kuonesha wanatokea sehemu moja. Mkurya atafahamu baadhi ya kijita na mjita atafahamu kikurya au kijaluo. Haya ndo maisha ya wana Mara.


 
niache niendelee na ujinga wangu wa kuandaa documentary ya cultural tourism ya Mkoa wa Mara
Jaribu kuwasiliana na Madaraka Nyerere, anaweza kuchangia mawazo kufanikisha hiyo documentary.

Yupo Facebook kwa jina Godfrey Madaraka.
 
Jaribu kuwasiliana na Madaraka Nyerere, anaweza kuchangia mawazo kufanikisha hiyo documentary.

Yupo Facebook kwa jina Godfrey Madaraka.
Asante sana ndugu Gagnija kwa maelekezo yako natumaini Madaraka nae atakuwa amesoma humu ndani, nitamtafuta kwa vyovyote vile kwani Butiama inahusika vile vile. Butiama ina mchango sehemu kuu nne 1. Political 2. Educational 3. Religious 4. Cultural / historical kote Mwalimu anahusika. Bila ya shaka wengi wanafahamu mchango wa Mwalimu kwenye ukombozi wa Afrika na pia siasa zake za ujamaa na kujitegemea kuna mengi ya kuvutia. Kwenye elimu Mwalimu anatambulika vyuo vingi duniani ambapo alipewa degree nyingi za heshima na kufanya midahalo mingi huko tunaweza kuwapata wanafunzi watalii watakaozuru maktaba zake. Mwaka 1984 nikiwa mwanafunzi wa Diploma nchini Austria tukiwa Vienna tulizuru UNIDO city huko tulionyeshwa Africa na watu wake. Tulionyeshwa Mwalimu kama Africa Great Statesman ambayo ili cover historia ya mwalimu, hotuba zake, ziara zake nchi mbali mbali na mahusiano yake kisiasa na nchi za East na West. Nilitegemea royal tour ingejumuisha vitu kama hivi. Upande wa dini tunafahamu hatua nzuri iliyofikiwa katika mchakato wa Mwalimu kutangazwa Mtakatifu hapa tunategemea kupata watalii wa nje na ndani alafu mwisho kwenye cultural / historical kuna hazina kubwa ya kuchota kutoka kwa wazanaki na pia historia ya chifu Burito katika utawala wake n.k. Spidi yangu imepungua kidogo kwa sababu nilipoanza nilikuwa nimeajiriwa kwa hiyo nilikuwa natumia resources zangu bila athari yoyote lakini kipindi kirefu sasa nimestaafu sina kipato cha uhakika ninajikongoja. Hata hivyo nawasiliana na ndugu wa Mara consult ambao wanashirikiana na Padre labda tunaweza kushirikiana. Vile vile kuna chuo kikuu kimoja cha Australia kimeonyesha dalili ya ku support kama project ya Post Doctoral. Ni wazi kwamba tuna mengi sana ya kuongea na kama tukifanikiwa basi tunaweza kuuweka Mkoa wa Mara kwenye utalii duniani, asante sana.
 
Back
Top Bottom