Fahamu utajiri uliopo kwenye uwekezaji wa dhamana za Serikali (Treasury Bills & Bonds)

Fahamu utajiri uliopo kwenye uwekezaji wa dhamana za Serikali (Treasury Bills & Bonds)

Mkuu unayo version ya Kiingereza ya hili uzi maana sijaielewa kabisa.
 
Yes ni good investment na sababu ina very low risk lakini usisahau kuwaambia JF hiyo faida ina TAX na inflation ya TZ inafanya hii biashara kuwa unpredictable na nimesikia corruption in bidding process is rampant big cats wana insider information ambazo zinawaweka in advantage na minimum bidding amount ni kubwa sana kwa watanzania wengi kuingia kwenye hili soko, ila all in all ni good business kama una enough fund na uombe mungu inflation isile faida yako lakini is not a slam dunk
minimum bid amount ni tsh ngapi?
 
Watu wa bank wengi hawaelewi hz issue!..ukitaka maelezo zaidi cheki mtu wa finance branch yyt ya BOT iliyo karibu na ulipo boss!
Shukran.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mtu wa FinancialMarkets wa BOT Tanzania unaweza ukamjoini atueleweshe kwenye izi tressury bills. Maana pale kuna ukakasi sana.
Alafu watu wa BOT Tanzania wamekuwa wagumu sana katika matangazo yaani hata mtandao awatufundishi izi faida mfano katika treasury bills wengi wanaweka lakini faida inakuwa kidunchu saana, tatizo hata madalali awasemi ukweli
 
Kama mtu wa FinancialMarkets wa BOT Tanzania unaweza ukamjoini atueleweshe kwenye izi tressury bills. Maana pale kuna ukakasi sana.
Alafu watu wa BOT Tanzania wamekuwa wagumu sana katika matangazo yaani hata mtandao awatufundishi izi faida mfano katika treasury bills wengi wanaweka lakini faida inakuwa kidunchu saana, tatizo hata madalali awasemi ukweli
Mtu yupo ila kumjoin humu afundishe n vgumu,,kinachotakiwa kama mpo wengi na mnahitaji kujifunza hii ktu mnaenda kuomba appointment kwa mtu wa finance BOT atawafundisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nimekupata vizuri, nina swali kdg tu, hiyo CDS ni tofauti kwa instituion, namaanisha km ukishakuwa na CDS kwa kununua hisa, unafungua tena nyingine?
CDS account ni moja,,ila mfano ukinunua BOND kwenye commercial banks wanatoa CDS ID #..kwa ninavyoelewa labda kama kuna mabadiliko
Nilinunua bond za NMB mwaka jana certificate yangu inaonesha CDS ID #

Sent using Jamii Forums mobile app
 
rate za tbills hazijawahi fika 30% kama mleta mada alivyoanza, ziliwahi panda mpaka kufika 21% kwa sasa ziko kwenye 10% na 12% range ukiwekeza kwa mwaka mzima.
nimeona bids za mwezi uliopita ni around 4.5% kwa miezi 6
 
P
Jiunge bure na ajira hii ya mtandaoni upate pesa bila mtaji.

1.Ajira hii haihitaji kipato wala elimu ina hitaji muda na kifurushi cha intanet tu
2.Ukijisajili ili uweze kutoa pesa itakubidi ufikishe dola 150$ na referrals 40 kwa Mara ya kwanza,usijaribu kutoa kama hujatimiza vigezo hivyo,Ila ukisha toa kwa Mara ya kwanza baada ya hapo zitatoka kila unapo fikisha 10$ na kuendelea

3.Malipo yana fanyika kwenye account ya benki yoyote hapa nchini kwetuau West Union.

Ku pata dola 150$ ni rahisi itakuchukua saa moja na nusu kwa kufanya kazi bila kusimama.

Kazi yenyewe niku andika namba zinazoonekana na kutuma basi
Boyeza linki[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Viewing payed advertising sites vbmoney.site - Welcome!
Washilikisha na wenzako wajiunge kupitia link yako kwa kufanya hivyo utalipwa 50% ya kiasi anacholipwa

[emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161]
 
Ukiingiaa kwa kubonyeza hyo link itakupeleka kwenye hyo page nenda sehemu ya registration then ukijisajili utaanza kuitumia hapohapo ni rahisi kuna namba zitakua zinakuja kwenye screen yako utakuwa unazirudia kuziandika then unabonyeza continue kila ukibonyeza continue dollars zinaongezeka kwa 0.1 cent ukitumia nusu saa utafikisha hadi dollar 50 ambayo ni sawa na laki na kumi(110000) jaribu kuliko kutumia Massa Facebook , whatsapp na instagram bora kufanya kwa kujitengenezea pesa
 
Back
Top Bottom