FAHAMU: Utajiri wa IVAN (Ex wa Zari) kabla ya kifo chake, alisaidia watu na kutumia hela kwa anasa

Hivi zari kilichomtoa kwa ivan ni nini hasa?

Wewe ulivyoona alichokuwa anafanya Ivan, ungekaa kama ni mtu mwenye roho?? Nadhani aliona atamtwanga risasi bure. Sasa anakuja jilambia mali za chee kama zitakaa lakini. Tatizo huwa zina bumbuluka ka theluji mchana
 
Alaf anasa zote bdo watu wanamlau zari kuachana nae
 
Angejenga shule wasijiweza wasome bure, au hospitali wasiojiweza watibiwe bure ningeeleewa.
Sina imani kama kugawa fedha hivyo ni ishara ya utajiri maana hata bongo kuna wanaogawa pia na hatuoni tofauti.
 
Mkuu umetumia kigezo kipi kusema utajiri! Mie naona neno sahihi hapa ilikuwa "jionee maisha ya anasa ya marehem Ivan kabla ya kifo chake"
 
Death don't give a https://jamii.app/JFUserGuide about your status.
When your time is up, he does his job "KILLING YOUR ASS".
 
Kumbe jamaa alikuwa ndio TASAF ya huko.
 
kumbukeni jamn na kutoa sadaka makanisani tuache anasa fedha na mali zote mmiliki mkuu n mungu
 
May all beings attain enlightenment.

Habari za kutembea na minoti ni ujima.

Nas alisema katia "Come Get Me".

"Catch me flyin, high in the aircraft winin
- and dinin, you die, then we laugh, you bitch-ass
to rich-ass to gauze up, your stab wounds
While I'm gettin head, in a Lear jet, bathroom
With all my goons, all my ice, and suitcases
full of paper, not money it's bank statements
The Illmatic that explains how we rock
Yachts and co-ops, we buy the hood and sell you a block.

 
Hapa ni ukwasi yaani rich na sio tajiri yaani wealth, ndio kinachoonekana. Akina Gates hawafanyi mambo yao kwa njia hii.
 
Jamaa alikuwa tapeli tuu, kwanza alianza kama mganga wa kienyeji huko SA then akafungua chuo akawa anawatapeli waganda, pia vyuo vyake vilikuwa maharufu kwa ajili ya kuwapatia watu visa za SA, wengi walienda kama wanafunzi waliishia kuuza drugs na ukahaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…