Fahamu vipimo mbalimbali vya picha vinavyotumika hospitalini kuchuguza magonjwa

Fahamu vipimo mbalimbali vya picha vinavyotumika hospitalini kuchuguza magonjwa

NHIF inacover huduma zote ila kwa MRI utahitaji kibali chao kabla ya kufanya.

Package za bima nyingine sizifahamu.
Sio kweli...NHIF mbona sikuwa na hicho kibali unasemea? Nachojua kuna form tu niliweka sign myb kama ndio kiwe kibali chenyewe lakn nilipewa Hosp pale pale
 
MRI Kwa Tanzania ipo Muhimbili tuuu????
 
Halafu utakuta thread kama hii haina wachangiaji
emoji40.png
Ni kwa sababu ubongo (brain) unahitajika kufanya kazi siyo ugwe mgongo (spinal cord).. 😀😀
 
je na kipimo cha ultra sound na echo vina tofaut na gharama zake zikoje mkuu pamoja na ecg.
 
Back
Top Bottom