Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

330m bati
3600ft 2by4
1620ft 2by2
yaani nyumba ya 12*10m inatumia bati 300?
 
Ando Limited ni superbrand miaka minne mfululizo kwa bizaa zao east africa. Na nimeona nyumba zaidi ya miaka 10 hazioneshi dalili hata kidogo ya kupauka
Na kunajamaa angu ameezekea Alaf Limited
Lakini zimesha anza kupaika. Nipeni uzoecu wenu
Weweweeee sio kweli Alaf alitumia Babu mpaka kitukuu kinatumia uliza kwanza Simba Dumu ina miaka mingapi ndio uje hapa Alaf itadumu na kudumu[emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haahaa mafundi mna mineno sana[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise umenipa fundisho. Ebwana sasa wee kiservant kota unaweza jenga kwa bei gani?
Total sqm isizidi 60.
 
Fundi rafiki yangu anajenga nyumba mbili tambarare kwenye kichanga mwanza mara ya kwanza fundi alimwambia mawe tripu Kumi kila msingi mifuko 30 cement msingi wa kwanza akachimba cm 60 akamwambia aongeze mawe trip 6 chini kulikuwa na mawe ndo maana hakuendelea.sasa presure imekuja huu msingi wa pili fundi kachimba cm 90 kaweka mawe trip 16 kamwambia rafiki aongeze tripu 10 jumla ziwe 26 hapa rafiki anawaza amfukuze asubiri likizo asimamie
 
Mkuu tafuta qualified engineer hakikisha akupe cv zake usiokote okote mafundi kwa kutaka mteremko mwisho wa siku garama zake zitakukosti zaidi unavyofikiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…