OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #21
Kwenye vikao vya menejimenti nyaraka zinaandaliwa idara husika. Kwenye vikao vya bodi nyaraka huandaliwa na menejimenti kupitia idara.Nani wanaoandaa na kuziandika hizo nyaraka, ajenda na makablasha?
Ingekuwa hivyo tusingekuwa hivi tulivyo tungekuwa tumepiga hatua kubwa sana kimaendeleoIna maana hawapati muda wa Ku review?
Na Ku compare maamuzi hayo na sehemu mbali mbali ulimwenguni? Especially nchi tunazofanana nazo??
Labda waandaaji huwa wanakuwa wamemaliza details zote...so hakuna haja ya kutafuta data zaidi...!!
Nawaza tuu
Wewe jamaa tunaomba utupishe kwanza na attacks zako za udini. Tupishe plzUMEKASIRIKA SANA,MTUME MWAMPOSA HAPENDI HAYO MAMBO,HARAKA NA UPESI HEBU KIMBIA KWA MTUME NA NABII UKAKANYAGE MAFUTA YA UPAKO UPATE NAFUU YA MOYO,HARAKISHA...
DuuhRais wetu aliwatangazia waandishi wa habari kuwa atazuru kituo cha afya cha Chanika kinachofadhiriwa na Poland, si kweli! Kituo kile kilifadhiriwa na Serikali ya Korea kisini. 😢
Kumpiga shetani kwa mawe huku nimejifunga lubega ndiyo gumzo mjini.Mwamposa ntamtumia maokoto kwenye lipa-namba.Awe mtulivu.