Fahamu zaidi kuhusu gari aina ya kuhusu Nissan Juke

Fahamu zaidi kuhusu gari aina ya kuhusu Nissan Juke

Kwani vina bei kubwa hivyo vigari...?
kama inge kuwa android tungeita super amoled sasa sijua kwa gari inaitwaje? pamoja usura kidog chenga laki kama kana usua flan ivi.pia hata vi minicopper no vidude flan ivi lakin unaweza ukavimba tu fresh
 
kama inge kuwa android tungeita super amoled sasa sijua kwa gari inaitwaje? pamoja usura kidog chenga laki kama kana usua flan ivi.pia hata vi minicopper no vidude flan ivi lakin unaweza ukavimba tu fresh
Mkuu ile gari Juke haina show wala nini aisee, labda hio mini cooper unaweza kusema hivyo...
 
Mkuu ile gari Juke haina show wala nini aisee, labda hio mini cooper unaweza kusema hivyo...
sasa iyo bei inatoka wapii mkuu labda ingine na interial labda imetumia quality tools bei yake haishuki miaka lak.mincopper ni kampuni gan
 
Aisee tunatofauti mitizamo sana,nissan juke ina sura mbaya balaa daah na zile taa zake zilivyokaa hamu ndo inaisha kabisaa.
Mkuu huwa unayaelewa sana magari naomba kulifahamu gari aina ya progress
Upande was cc
Spears
Bei
Nipo nasubiri
 
mkuu taratibu kampuni za watu izo
aah kwaio?

[emoji23][emoji23][emoji23]

Chura ni chura tu we utajuaje labda walilenga kua na maana ya chura?
Mfano BMW wana gari yao imedizainiwa muonekanao wa Panther so tusiseme?
 
Mkuu huwa unayaelewa sana magari naomba kulifahamu gari aina ya progress
Upande was cc
Spears
Bei
Nipo nasubiri

Hio machine iko poa kabisa mzee baba,ingawa wabongo watakwambia ni jini mafuta mzee baba.

Na hizi ndinga foleni za dar ndo zinafanya yaonekane yanakula wese lkn ukiwa nalo mikoani huko hakuna foleni unapiga nalo misele kawaida tu mkuu.

Progress ina engine kama 4 hivi:

1.1JZ-GE hii ina cc 2500

2.JZ-GE hii ina cc 3000

Hizi ulaji wake ni kama vile brevis,cresta,mark 2/Verossa zenye engine kama hizo hapo juu,CC 2500 zinatosha kabisa kwa misele/safari/mbio.

CC 3000 kula wese inakula heavy kiaina.

Na hizo hapo juu ndizo engine common hapa bongo.

3.1JZ-FSE hii ni cc 2500

4.2JZ-FSE hii ni cc 3000

Hii engine ya 3&4 zenyewe zinatumia technology ya D4 ambayo wanalalamika zinabagua mafuta(ukiweka mafuta machafu tu inaanza kuzingua),sijawahi kutumia hizo gari yenye D4 so hayo malalamiko hua nayasikia tu kwa mafundi,lk pia wabongo ukitaka kuuza gari yako ukawaambia tu hii ina D4 jua imekula kwako maana wameshalibatiza jina baya.

Khs service parts zinaingilia na hayo magari mengine kwa hio ni zinapatikana tu,kwny body parts kama taa hapo ndipo sina uhakika kama ziko nyingi huko madukani.

Inshort mimi napenda hayo magari yanayoitwa jini mafuta,kwa hio kama mimi ningekua wewe ningelinunua bila kujiuliza mara 2.
 
Hio machine iko poa kabisa mzee baba,ingawa wabongo watakwambia ni jini mafuta mzee baba.

Na hizi ndinga foleni za dar ndo zinafanya yaonekane yanakula wese lkn ukiwa nalo mikoani huko hakuna foleni unapiga nalo misele kawaida tu mkuu.

Progress ina engine kama 4 hivi:

1.1JZ-GE hii ina cc 2500

2.JZ-GE hii ina cc 3000

Hizi ulaji wake ni kama vile brevis,cresta,mark 2/Verossa zenye engine kama hizo hapo juu,CC 2500 zinatosha kabisa kwa misele/safari/mbio.

CC 3000 kula wese inakula heavy kiaina.


Na hizo hapo juu ndizo engine common hapa bongo.

3.1JZ-FSE hii ni cc 2500

4.2JZ-FSE hii ni cc 3000

Hii engine ya 3&4 zenyewe zinatumia technology ya D4 ambayo wanalalamika zinabagua mafuta(ukiweka mafuta machafu tu inaanza kuzingua),sijawahi kutumia hizo gari yenye D4 so hayo malalamiko hua nayasikia tu kwa mafundi,lk pia wabongo ukitaka kuuza gari yako ukawaambia tu hii ina D4 jua imekula kwako maana wameshalibatiza jina baya.

Khs service parts zinaingilia na hayo magari mengine kwa hio ni zinapatikana tu,kwny body parts kama taa hapo ndipo sina uhakika kama ziko nyingi huko madukani.

Inshort mimi napenda hayo magari yanayoitwa jini mafuta,kwa hio kama mimi ningekua wewe ningelinunua bila kujiuliza mara 2.



ambazo engine zake hizi ni common tu maana zipo kwny magari kama brevis,cresta,mark 2.
Aisee thanks big broo ndio maana naziona chache sana mjini hahaha RAIA wanaogopa Ku ride majini
 
Aisee thanks big broo ndio maana naziona chache sana mjini hahaha RAIA wanaogopa Ku ride majini
Hahah pamoja mkuu,watu wako very sensitive kwny suala la wese mzee baba.

Wabongo wakishaliita tu ni jini mafuta tegemea kuyaona machache road.
 
Kwani vina bei kubwa hivyo vigari...?
I don't know what the hell is going on with this NISSAN JUKE...[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Nissan juke ina engine ya cc 1490 HR 15 Na gear box ni cvt...
Injini yake na gear box yake ndiyo hivyo vilivyofungwa kwenye NISSAN NOTE,NISSA N TIIDA, NISSAN WINGROAD NA NYINGINEZO NYIINGI...

Yaani kanavaliana parts zote muhimu na ile Nissan note yangu isipokuwa body parts tu...[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Cha ajabu hutu tugari tuna bei kubwa sana na kwa Arusha naona wahindi wamewanunulia sana Wake/Madem zao..

Nimejaribu kudadisi ni nini hasa kinachoipa bei sijapata zaidi ya huko nchi za ulimwenguni users wengi wanasema Style yake ni unique, ground clearance yakutosha, Kamekaa kama katoto ka SUV..

Bei yake si yakitoto..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee thanks big broo ndio maana naziona chache sana mjini hahaha RAIA wanaogopa Ku ride majini
Nadhani kigezo cha sura au muonekano wake ndiyo unaofanya yawe machache mjini...
Nadhani watu hawavutiwi na muonekano wake...
Kigezo cha kuwa ni jini mafuta nakataa...watu wasingesukuma mark x, brevis, crown, fuga na mengine ya jamii hii..

Muonekano tu mzee baba ndiyo unaofanya hii gari isikubalike mjini...

Kuna mchaga mmoja hapa anayo nyeusi imechoka body, na yeye alivyo mweusi...akikaa ndani walahi hutaitamni hiyo gari..

Lakini kipendacho roho....[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
images%20(20).jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Screenshot_20200507-232838.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kigezo cha sura au muonekano wake ndiyo unaofanya yawe machache mjini...
Nadhani watu hawavutiwi na muonekano wake...
Kigezo cha kuwa ni jini mafuta nakataa...watu wasingesukuma mark x, brevis, crown, fuga na mengine ya jamii hii..

Muonekano tu mzee baba ndiyo unaofanya hii gari isikubalike mjini.
Una lipimp ile kiñyama sportlims hivi hii ni kampuni ya toyota?
 
Back
Top Bottom